8 Oktoba, 2025

Upinzani CAR unasema hautoshiriki kwenye uchaguzi wa urais wa Disemba 2025

Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati unasema utasusia uchaguzi wa Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera anawania muhula wa tatu.

b71d988cbbfb179c778fcfcfc8cdf10801a1661229129c9c6a844b54d6e435e0

8 Oktoba, 2025

Somalia yaimarisha jeshi lake kwa ushirikiano na Rwanda

Mataifa yote mawili yamekubaliana kuhusu usalama katika kanda na fursa za kuimarisha uhusiano wa kijeshi.

986801ff45a591d710a171d0ef2bcc60a0b3be851f501bb2d2a467fa24cbbd82

8 Oktoba, 2025

Waandamanaji Madagascar wakataa mazungumzo na Rais

Rajoelina alilifuta baraza lake la mawaziri wiki iliyopita kwa nia ya kuzima machafuko hayo, akimteua waziri mkuu mpya na kutangaza mipango ya mazungumzo ya kitaifa yanayotarajiwa kuanza Jumatano alasiri.

2025 10 06t212017z 1 lynxnpel950z9 rtroptp 3 madagascar protests primeminister

8 Oktoba, 2025

Shirika la Msalaba Mwekundu lasema takriban 90% ya vituo vya afya DRC havina dawa

Uhaba wa wafanyakazi uliathiri 40% ya vituo vilivyofanyiwa utafiti, 13% havikuwa na kazi kabisa na nyingi ziliripoti uhaba wa usambazaji wa mara kwa mara kuanzia Januari, wakati M23 ilipoteka Goma, jiji kubwa zaidi katika kanda.

1759924922834 sg7x2m 559866ea456696020936b261dcec6b08c18995cc682982681fedcd6148af9572

8 Oktoba, 2025

Bunge la EALA lapongeza nchi wanachama wa EAC kwa kuandaa CHAN 2024

Pongezi hizo zinakuja baada ya Tanzania, Kenya na Uganda, kuandaa michuano ya CHAN kwa pamoja.

2819102dbf441b8c3a8bffa008991d7553c830940afb6c78e9f762484d68236f

8 Oktoba, 2025

Tembo 500 wahamishwa nchini Tanzania

Zoezi hilo, linakuja baada ya wataalamu wa Ikolojia kutoka shirika hilo kuyafuatilia makundi hayo kwa ukaribu zaidi.

01d5c106f5e71934808682bf5a0667f1ba4caf2c90bffc42ea53a0a60e147d5f main

8 Oktoba, 2025

Somalia kuanzisha somo la Kiswahili katika shule na vyuo vikuu

Rais Hassan Sheikh Mohamud alivitaka vyuo vikuu vya Somalia kutetea ufundishaji na matumizi ya Kiswahili kama msingi wa umoja na ushirikiano wa kikanda.

72582c5b5c87454015075db5199c3c9778a910da496b73fed668ec233dbe2984

8 Oktoba, 2025

Polisi wa Tanzania kuchunguza madai ya kutekwa kwa mkosoaji wa serikali

Katika taarifa ya Septemba 29, serikali ilikataa madai ya Human Rights Watch kwamba inawakandamiza wakosoaji wake kabla ya uchaguzi na kutaja utekaji nyara “chanzo kikuu cha wasiwasi kwa serikali”.

c58be3a99c8cef4f5c34fddb640146aa2aa3658950dcb8299c30c7f060ce97f1

8 Oktoba, 2025

Kikosi cha Kudumu cha Afrika Mashariki chazindua mazoezi ya kwanza ya baharini nchini Djibouti

Hatua hii inaashiria kiwango kipya cha uratibu wa kikanda katika usalama wa baharini na mwitikio wa dharura.

868a8a28e9be0a360ebd85d303deee9e632708ec68d0352cd1fda18162dc1834 main 1

8 Oktoba, 2025

Rais wa Madagascar apanga ‘mazungumzo ya kitaifa’ kufuatia maandamano

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amesema anapanga kufanya “mazungumzo ya kitaifa” na makundi mbalimbali siku ya Jumatano.

2025 10 06t212017z 1 lynxnpel950z9 rtroptp 3 madagascar protests primeminister main
Inapakia...