Libya yaongeza uzalishaji wa mafuta hadi kiwango cha rekodi

Libya yazalisha mapipa milioni 1.37 kwa siku mwaka 2025.
25 Januari, 2026
Somalia yashukuru Uturuki kwa msaada wa usalama na kupambana na ugaidi

Waziri Mkuu Hamza Abdi Barre asema Uturuki ni mshirika wa kimkakati.
25 Januari, 2026
Wanawake waathirika wakuu wa ukatili wa vita Sudan

Wizara imerekodi zaidi ya visa 1,800 vya ubakaji hadi Oktoba 2025.
25 Januari, 2026
Uturuki na Nigeria kujadili biashara na ushirikiano wa ulinzi

Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Nigeria watakutana kujadili biashara na ulinzi.
25 Januari, 2026

Polisi wa Kenya wanawakamata washukiwa 2 na zaidi ya Kilo 110 za meno ya tembo, mpaka wa Namanga

Misri inaitaka Israel iondoke Gaza, na kufungua tena kivuko cha Rafah

Mashambulizi ya bomu yasababisha watu wengi kuhama makazi yao Sudan Kusini

Mkuu wa WHO anasema Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa uanachama

Mkuu wa afya Afrika atangaza dharura ya afya ya mpox imekwisha
24 Januari, 2026
WHO yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa ya maji katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko
Mafuriko yameathiri maeneo ya Malawi, Msumbiji, Afrika Kusini, Tanzania, Zambia na Zimbabwe. WHO imeomba mahitaji ya dharura ya kibinadamu kama makazi, maji salama na upatikanaji wa huduma muhimu za afya.

24 Januari, 2026
Rais wa Côte d’Ivoire Ouattara amteua kaka yake kama makamu wa waziri mkuu
Kakake rais, Tene Birahima Ouattara, atashikilia nafasi hiyo mpya pamoja na wizara ya ulinzi.

24 Januari, 2026
Mgodi wa dhahabu wa Sudan ulioporomoka na kuua watu sita huku makumi kadhaa wakisalia kukwama
Shughuli za uokoaji zinaendelea nchini Sudan huku makumi ya wachimba migodi wakisalia kukwama chini ya vifusi vya migodi.

24 Januari, 2026
Msumbiji inaomba msaada wa kibinadamu baada ya mafuriko mabaya zaidi katika miongo kadhaa
Mamlaka zinaamini mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea katika miongo kadhaa yamesababisha watu 600,000 kuyahama makazi yao huku takriban waathiriwa 13 wakiripotiwa kufariki katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.

23 Januari, 2026
Tanzania: Utekelezwaji wa Bima ya Afya kwa Wote kuanza Januari 26
Kitita cha huduma muhimu kwa awamu ya kwanza kitaanza kutumika Januari 26, 2026, kwa kundi la wananchi watakaogharamiwa na serikali, kulingana na Waziri wa Afya wa nchi hiyo, Mohamed Mchengerwa.

23 Januari, 2026
Mkuu wa Majeshi Uganda asema wamewaua wapinzani 30
Rais wa Uganda Yoweri Museveni, mwenye umri wa miaka 81, alishinda muhula wake wa saba kwa kupata asilimia 72 ya kura dhidi ya mpinzani wake Bobi Wine ambaye amepata asilimia 25, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi nchini Uganda.

23 Januari, 2026
Rais Putin wa Urusi ampongeza Rais Museveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni alipata asilimia 71.6 ya kura katika uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe 15 Januari, na hivyo kushinda muhula wa saba madarakani.

23 Januari, 2026
Morocco yasema mshikamano wa Afrika hautavunjwa na matukio ya fainali ya AFCON
Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco alisema siku ya Alhamisi kuwa undugu wa Afrika utaendelea kushamiri licha ya kile alichokiita vitendo “vya kusikitisha” vilivyotia doa fainali ya AFCON dakika za mwisho kati ya Morocco na Senegal.

23 Januari, 2026
Afrika Kusini yazidisha ukaguzi wa usafiri wa shule baada ya ajali mbaya
Magari 60 ya shule yamezuiwa baada ya ukaguzi wa usalama.

22 Januari, 2026
Rwanda kufanyia majaribio kliniki zenye kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI)
Nchini Rwanda, muhudumu mmoja wa afya huhudumia wagonjwa 1,000, ambao ni uwiano tofauti na ule pendekezwa wa wahudumu wa afya wanne kwa kila wagonjwa 1,000.



