Watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau wateua maafisa watano wa jeshi kwa serikali

Watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau waliunda serikali siku ya Jumamosi siku kadhaa baada ya kuchukua madaraka kwa mapinduzi, wakati Rais aliyepinduliwa Umaro Sissoco Embalo akiwasili katika mji mkuu wa Jamhuri ya Congo Brazzaville.
30 Novemba, 2025
Marais wa DRC, Rwanda kutia saini mkataba wa amani mjini Washington wiki ijayo

Marais wa DRC na Rwanda watasafiri hadi Washington wiki ijayo kutia saini mkataba wa amani na kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump, vyanzo vitatu vimeiambia Reuters.
30 Novemba, 2025
KWS imekanusha madai kuwa ujenzi wa hoteli umevuruga uhamaji wa nyumbu katika Maasai Mara

Hoteli hii ndiyo kielelezo cha hivi punde zaidi katika mpasuko mpana zaidi wa sekta ya utalii wa wanyamapori Afrika Mashariki.
30 Novemba, 2025
Takriban watu 20 wanahofiwa kufariki baada ya boti kupinduka kaskazini magharibi mwa DRC

Takriban watu 20 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya mashua kupinduka kaskazini magharibi mwa Congo, kulingana na wakaazi wa eneo hilo.
30 Novemba, 2025

Watu saba wauawa nchini Kenya, wakiwemo askari polisi wa akiba, katika tukio la wizi wa ng’ombe

Umoja wa Afrika umesitisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi

RSF nchini Sudan watuhumiwa kuigeuza hospitali ya Kordofan Magharibi kuwa kambi ya kijeshi

Binti wa Zuma ajiuzulu ubunge Afrika Kusini

Mwanasiasa Adolf Hitler ashinda kwa mara ya 5 mfululizo Namibia
28 Novemba, 2025
Wabunge wa Afrika Mashariki wapongeza ushindi wa Rais Samia
Pongezi hizo zinakuja wiki moja kabla ya wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) hawajakutana jijini Nairobi.

28 Novemba, 2025
Rais wa Guinea-Bissau awasili Senegal baada ya jeshi kufanya mapinduzi
Senegal imethibitisha kuwa Embalo aliwasili mjini Dakar “akiwa salama” baada ya mapinduzi kuzuia kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi nchini Guinea-Bissau.

27 Novemba, 2025
Umoja wa Afrika wataka Rais wa Guinea-Bissau aachiwe mara moja
Umoja wa Afrika umetoa wito wa kuachiliwa “mara moja na bila masharti” kwa Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, baada ya jeshi kuchukua mamlaka ya nchi hiyo kwa nguvu.

27 Novemba, 2025
Rais Kagame aishutumu DRC kwa kuchelewesha makubaliano ya amani ya Washington
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameishutumu serikali ya Congo kwa kuchelewesha kutia saini makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza mzozo katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

27 Novemba, 2025
Kiongozi wa mapinduzi Guinea-Bissau, atangazwa kuwa ‘Rais wa mpito’
Maafisa, wanaojiita “Kamandi Kuu ya Kijeshi kwa Urejeshaji wa Usalama wa Kitaifa na Utulivu wa Umma,” wamechukua madaraka katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

27 Novemba, 2025
Mwanamke Mjerumani afungwa jela DRC kwa wizi wa benki
Honorine Porsche kwanza alikiri kuchukuwa pesa lakini baadaye akadai kuwa aliibiwa na maafisa wa usalama walioingia kwenye benki hiyo.

27 Novemba, 2025
Trump aipiga marufuku Afrika Kusini kuhudhuria mkutano wa G20 Miami 2026
Trump ametaja madai “mauaji ya halaiki” dhidi ya wakulima wazungu nchini Afrika Kusini na kukataa kuwapokeza rasmi urais wa G20 kama sababu za kuizuia nchi hiyo kuhudhuria mkutano wa mwakani.

26 Novemba, 2025
Rais wa Nigeria atangaza hali ya dharura kufuatia utekaji uliokithiri
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ametangaza hali ya dharura ya usalama nchini kote kufuatia msururu wa mauaji na utekaji wa watu.

26 Novemba, 2025
Kiongozi wa jeshi la Sudan atoa wito kwa Trump asaidie kusitisha vita nchini humo
Kamanda wa jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, ambaye anapigana dhidi ya kikosi hasimu cha wapiganaji wa RSF tangu Aprili 2023, amemwomba Rais wa Marekani, Donald Trump, kusaidia kuleta amani.

26 Novemba, 2025
Jeshi lasitisha mchakato wa uchaguzi nchini Guinea-Bissau, latangaza kuchukua udhibiti
Maafisa wa jeshi wanaojiita “Uongozi wa Juu wa Kijeshi kwa Marejesho ya Utulivu” wamesitisha uchaguzi, vipindi vya vyombo vya habari, huku wakilitaka taifa “liwe na utulivu,” kwa mujibu wa chombo cha habari cha serikali.




