28 Novemba, 2025

Wabunge wa Afrika Mashariki wapongeza ushindi wa Rais Samia

Pongezi hizo zinakuja wiki moja kabla ya wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) hawajakutana jijini Nairobi.

09507b825869712e05d5d8ae32dddd7f72c6394a4ad5843623a8724824652adf

28 Novemba, 2025

Rais wa Guinea-Bissau awasili Senegal baada ya jeshi kufanya mapinduzi

Senegal imethibitisha kuwa Embalo aliwasili mjini Dakar “akiwa salama” baada ya mapinduzi kuzuia kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi nchini Guinea-Bissau.

5f06381aba93101475b78f0f3658fccabcb47529a45f2a0917dc62c176ae6a5e

27 Novemba, 2025

Umoja wa Afrika wataka Rais wa Guinea-Bissau aachiwe mara moja

Umoja wa Afrika umetoa wito wa kuachiliwa “mara moja na bila masharti” kwa Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, baada ya jeshi kuchukua mamlaka ya nchi hiyo kwa nguvu.

dcd49da11e878c506eb3b777d05dbd05fcaa0eabdb57fb46d654b96f1032c1f9

27 Novemba, 2025

Rais Kagame aishutumu DRC kwa kuchelewesha makubaliano ya amani ya Washington

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameishutumu serikali ya Congo kwa kuchelewesha kutia saini makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza mzozo katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

2025 07 04t152108z 187436490 rc28s7a633r0 rtrmadp 3 congo rwanda

27 Novemba, 2025

Kiongozi wa mapinduzi Guinea-Bissau, atangazwa kuwa ‘Rais wa mpito’

Maafisa, wanaojiita “Kamandi Kuu ya Kijeshi kwa Urejeshaji wa Usalama wa Kitaifa na Utulivu wa Umma,” wamechukua madaraka katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

1a830ad8df08ce4747a9547ac6e85cb55897b19009e5b19e2e28b65129311e0e

27 Novemba, 2025

Mwanamke Mjerumani afungwa jela DRC kwa wizi wa benki

Honorine Porsche kwanza alikiri kuchukuwa pesa lakini baadaye akadai kuwa aliibiwa na maafisa wa usalama walioingia kwenye benki hiyo.

869f61581243f3558d389a0c661e8e9400de016bae754f2d36e0ae5f43e68ce2

27 Novemba, 2025

Trump aipiga marufuku Afrika Kusini kuhudhuria mkutano wa G20 Miami 2026

Trump ametaja madai “mauaji ya halaiki” dhidi ya wakulima wazungu nchini Afrika Kusini na kukataa kuwapokeza rasmi urais wa G20 kama sababu za kuizuia nchi hiyo kuhudhuria mkutano wa mwakani.

38b5d146e9390feb54e006e432ae0814709b05b0388fae6207c5031d87c28403

26 Novemba, 2025

Rais wa Nigeria atangaza hali ya dharura kufuatia utekaji uliokithiri

Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ametangaza hali ya dharura ya usalama nchini kote kufuatia msururu wa mauaji na utekaji wa watu.

683a82403c464959c6b252987212fe83cfee1480fb5355d3eccde9858e8d43a1

26 Novemba, 2025

Kiongozi wa jeshi la Sudan atoa wito kwa Trump asaidie kusitisha vita nchini humo

Kamanda wa jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, ambaye anapigana dhidi ya kikosi hasimu cha wapiganaji wa RSF tangu Aprili 2023, amemwomba Rais wa Marekani, Donald Trump, kusaidia kuleta amani.

2025 05 31t164331z 517999672 rc24tea7t9k6 rtrmadp 3 sudan politics primeminister

26 Novemba, 2025

Jeshi lasitisha mchakato wa uchaguzi nchini Guinea-Bissau, latangaza kuchukua udhibiti

Maafisa wa jeshi wanaojiita “Uongozi wa Juu wa Kijeshi kwa Marejesho ya Utulivu” wamesitisha uchaguzi, vipindi vya vyombo vya habari, huku wakilitaka taifa “liwe na utulivu,” kwa mujibu wa chombo cha habari cha serikali.

b68714857c5bd422cc926a868a4e9ab37cff4332815464383ed1d9cb5723e1ad main
Inapakia...