25 Novemba, 2025

Jukumu la Afrika kama ‘mzalishaji wa malighafi litafikia kikomo hivi karibuni,’ mkuu wa AU anasema

Umoja wa Afrika (AU) Jumatatu ulitoa wito wa kuwepo kwa uwakilishi wa kudumu wa Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na uwakilishi sawa katika taasisi za fedha za kimataifa.

635f2a30bef16e2a8064c9232a77803542df7f53af33092592598d7ea1aedecb main

25 Novemba, 2025

RSF ya Sudan yatangaza kwa upande mmoja kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu

Mkuu wa Kikosi cha Haraka cha Sudan (RSF), Mohamed Dagalo, alisema Jumatatu kwamba wanamgambo wake wataingia mara moja katika mapatano ya kusitisha vita kwa miezi mitatu ili kuruhusu misaada ya kibinadamu.

21dbc9df4102fd95e13c5bd798e0a04c9f83218fa89f18bcbabeb0cd64275fcb main

25 Novemba, 2025

RSF ya Sudan yatangaza usitishaji vita kwa miezi mitatu bila ya makubaliano ya pamoja

Kiongozi wa wapiganji wa RSF alisema Jumatatu jioni kwamba wapiganaji wake watasitisha mapigano kwa kipindi cha miezi mitatu kwa misingi ya kibinadamu.

c37dd512c47db57c48376c8dc319b95aa991d5390e363c4a5e2cd63851f6fdaf

24 Novemba, 2025

Jeshi la Sudan lazima shambulio jipya la wapiganaji wa RSF Kordofan Magharibi

Jehsi la Sudan mjini Babnousa vimekabili na kurudisha nyuma shambulio la wapiganaji wa RSF huku mapigano makali yakiendelea katika majimbo yote ya Kordofan.

cceba84e921b156d6e3f82e0957b79d805fda7c046ba680533e434c892c8788f

24 Novemba, 2025

Watoto watekwa nyara Nigeria

Kanisa Katoliki na Jumuiya ya Kikristo ya Nigeria linasema wanafunzi 50 kati ya zaidi ya 300 waliotekwa nyara kutoka shule ya Kikatoliki ya Nigeria wametoroka na kuungana na wazazi wao.

2025 11 23t170424z 1 lynxmpelam0cd rtroptp 3 nigeria security

24 Novemba, 2025

Taasisi ya Thabo Mbeki yakosoa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Taarifa hiyo inakuja siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kuzindua tume itakayochunguza vurugu zilizotokea siku na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, huku akiipa tume hiyo siku 90 za kufanya uchunguzi huo.

1a4408c972d621745c4146b3b57fa21283c1d3c721d8a6ae0ef962fc2b62f4b3

24 Novemba, 2025

Gavi, Unicef ​​watia saini mkataba wa kupunguza bei ya chanjo ya malaria

Gavi inakadiria kushuka kwa bei hiyo kutaokoa dola milioni 90, ambazo zinaweza kufadhili dozi milioni 30 zaidi kwa hadi watoto milioni 7 zaidi katika miaka mitano ijayo.

f3185d750a2b30d21bfe19e6ab3b9cb4131ffca016bb2c0103e26139baff7788

24 Novemba, 2025

Rais wa Nigeria amesema waumini 38 waliotekwa nyara kanisani Nigeria wameokolewa

Rais wa Nigeria Bola Tinubu alisema Jumapili kwamba waumini 38 waliotekwa wakati watu wenye silaha walipovamia ibada ya kanisa wiki jana na kuua watu wawili, wameokolewa.

ea471fad433581ad660df29522ea39c0fe8b925ce87f92d5987eab567f90299b

23 Novemba, 2025

Mkutano wa kilele wa G20 ‘wamalizika vyema’ licha ya kukosekana Marekani baada ya Trump kususia

Rais Trump, ambaye anataraiwa kupkea uenyekiti wa G20 kwa mwaka ujao, alisusia kuhudhuria kwa madai kuwa Afrika Kusini inawadhulumu Wazungu wa Afrikaanm jambo ambalo Afrika Kusini imekana

36096e700e37b1f780039c0d6f9da6702e3aea3dad1d83fad9e40c9e2d77a86f

23 Novemba, 2025

Afrika kulipa ‘gharama kubwa’ licha ya uhusika mdogo kusababisha mabadiliko ya tabianchi: UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anasema kuwa Afrika italipa “gharama kubwa ” kwa mabadiliko ya tabianchi licha ya kuwa imefanya “kidogo sana” kuyasababisha.

south africa g20 20251 main
Inapakia...