Jeshi la Sudan linasema kuwa limezuia mashambulizi ya RSF kwenye mji muhimu

Jeshi la Sudan lilisema siku ya Jumanne kuwa limezuia mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye mji wa kimkakati wa Kordofan kusini, siku moja baada ya RSF kutangaza kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu kwa upande mmoja.
26 Novemba, 2025
Kampuni ya mafuta ya serikali ya Uganda yagundua hifadhi mpya ‘muhimu’

Kampuni ya Kitaifa ya Mafuta ya Uganda (UNOC) inayomilikiwa na serikali imetambua visima tisa vya mafuta katika mtaa wa Kasuruban na “akiba mpya ya mafuta ghafi”, ilisema Jumanne.
26 Novemba, 2025
Wasichana wa shule waliotekwa Nigeria wameachiwa huru

Wasichana 24 waliotekwa katika shule kaskazini-magharibi mwa Nigeria wiki iliyopita wameachiwa huru, msemaji wa gavana wa jimbo la Kebbi alisema siku ya Jumanne.
25 Novemba, 2025
Watu 10 zaidi watekwa nyara Nigeria

Watekaji nyara wamewateka wanawake na watoto 10 katika tukio jipya la utekaji nyara nchini Nigeria, polisi wamesema siku ya Jumanne.
25 Novemba, 2025

Wafuasi 300 wa upinzani wamekamatwa wakati wa kampeni nchini Uganda

Ndege iliyobeba msaada wa chakula yaanguka Sudan Kusini, watatu wafariki

Mwanajeshi wa zamani wa Uingereza anayesakwa nchini Kenya kwa mauaji anyimwa dhamana

Marekani yaondoa ushuru wa 15% kwa kakao ya Ghana, mauzo ya nje

Volcano ya Ethiopia yalipuka baada ya utulivu wa miaka 12,000
25 Novemba, 2025
Jukumu la Afrika kama ‘mzalishaji wa malighafi litafikia kikomo hivi karibuni,’ mkuu wa AU anasema
Umoja wa Afrika (AU) Jumatatu ulitoa wito wa kuwepo kwa uwakilishi wa kudumu wa Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na uwakilishi sawa katika taasisi za fedha za kimataifa.

25 Novemba, 2025
RSF ya Sudan yatangaza kwa upande mmoja kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu
Mkuu wa Kikosi cha Haraka cha Sudan (RSF), Mohamed Dagalo, alisema Jumatatu kwamba wanamgambo wake wataingia mara moja katika mapatano ya kusitisha vita kwa miezi mitatu ili kuruhusu misaada ya kibinadamu.

25 Novemba, 2025
RSF ya Sudan yatangaza usitishaji vita kwa miezi mitatu bila ya makubaliano ya pamoja
Kiongozi wa wapiganji wa RSF alisema Jumatatu jioni kwamba wapiganaji wake watasitisha mapigano kwa kipindi cha miezi mitatu kwa misingi ya kibinadamu.

24 Novemba, 2025
Jeshi la Sudan lazima shambulio jipya la wapiganaji wa RSF Kordofan Magharibi
Jehsi la Sudan mjini Babnousa vimekabili na kurudisha nyuma shambulio la wapiganaji wa RSF huku mapigano makali yakiendelea katika majimbo yote ya Kordofan.

24 Novemba, 2025
Watoto watekwa nyara Nigeria
Kanisa Katoliki na Jumuiya ya Kikristo ya Nigeria linasema wanafunzi 50 kati ya zaidi ya 300 waliotekwa nyara kutoka shule ya Kikatoliki ya Nigeria wametoroka na kuungana na wazazi wao.

24 Novemba, 2025
Taasisi ya Thabo Mbeki yakosoa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania
Taarifa hiyo inakuja siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kuzindua tume itakayochunguza vurugu zilizotokea siku na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, huku akiipa tume hiyo siku 90 za kufanya uchunguzi huo.

24 Novemba, 2025
Gavi, Unicef watia saini mkataba wa kupunguza bei ya chanjo ya malaria
Gavi inakadiria kushuka kwa bei hiyo kutaokoa dola milioni 90, ambazo zinaweza kufadhili dozi milioni 30 zaidi kwa hadi watoto milioni 7 zaidi katika miaka mitano ijayo.

24 Novemba, 2025
Rais wa Nigeria amesema waumini 38 waliotekwa nyara kanisani Nigeria wameokolewa
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alisema Jumapili kwamba waumini 38 waliotekwa wakati watu wenye silaha walipovamia ibada ya kanisa wiki jana na kuua watu wawili, wameokolewa.

23 Novemba, 2025
Mkutano wa kilele wa G20 ‘wamalizika vyema’ licha ya kukosekana Marekani baada ya Trump kususia
Rais Trump, ambaye anataraiwa kupkea uenyekiti wa G20 kwa mwaka ujao, alisusia kuhudhuria kwa madai kuwa Afrika Kusini inawadhulumu Wazungu wa Afrikaanm jambo ambalo Afrika Kusini imekana

23 Novemba, 2025
Afrika kulipa ‘gharama kubwa’ licha ya uhusika mdogo kusababisha mabadiliko ya tabianchi: UN
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anasema kuwa Afrika italipa “gharama kubwa ” kwa mabadiliko ya tabianchi licha ya kuwa imefanya “kidogo sana” kuyasababisha.




