19 Novemba, 2025

Trump kuanza jitihada za kusitisha vita Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump alisema Jumatano kuwa ataanza “kufanyia kazi” vita vya Sudan, baada ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, aliyekuwa ziarani Marekani, kumwomba kusaidia kumaliza mgogoro huo.

b610e68ec706cb48305033bba8baa60dbddc5c7b2f817f30c122093e61045460 main

19 Novemba, 2025

Maafisa 2 wa Kenya wamefariki baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa na kundi la al-Shabab

Maafisa wawili wa Kikosi cha Ulinzi wa Mipakani nchini Kenya wamefariki siku ya Jumatano baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini (IED) na wanamgambo wa al-Shabab wanaotoka Somalia, kwa mujibu wa polisi wa Kenya.

84ab8e3a99de7df0646fc86f2dd16b08d2eaed6b823616ba247564eeda3597a6

19 Novemba, 2025

Arsenal kusitisha ushirikiano wake na Visit Rwanda

Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo ilitangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026.

f520b4c3953356b07910e8b0e702671410a173625d5cffe8fe2be55c2a17bfca main 1

19 Novemba, 2025

Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa kwa jenerali wa jeshi

Brigedia huyo wa jeshi ndiye afisa wa ngazi ya juu kuuawa katika vita hivyo vya muda mrefu tangu 2021.

d3a1fe197e60a831c39ec4e894eb29ee0869b0e5094c213e8768cba248cb6eab

19 Novemba, 2025

Wataalamu wa Afrika watoa wito wa kukaguliwa tathmini ya viwango vya mikopo kwa bara

Wataalamu wa Afrika Mashariki Jumanne lilimwambia Kundi la 20 la uchumi mkuu kuongeza usimamizi wa mashirika ya ukadiriaji mikopo, ambayo waliwashtaki kwa kutumia mbinu zisizo wazi na za upungufu zinazoadhiri gharama za mikopo kwa serikali za Afrika.

2025 11 13t212113z 389372777 rc2mjs901h35 rtrmadp 3 usa bankruptcies main

19 Novemba, 2025

Eswatini yapokea dola milioni 5.1 kupokea wahamiaji waliofurushwa Marekani, waziri anasema

Eswatini ilipokea dola milioni 5.1 kutoka kwa serikali ya Marekani chini ya makubaliano ya kuwapokea raia wa nchi ya tatu waliofukuzwa na utawala wa Trump, waziri wake wa fedha alisema Jumanne.

07c2fcf5ed192ddff3cd2db4d34dea688b8bf953c8cd1a38b3d2458745e61caf main

19 Novemba, 2025

Gabon yatia saini makubaliano ya kihistoria ya ufadhili wa hali ya hewa kwa misitu ya mvua ya Congo

Serikali ya Gabon na muungano wa wafadhili wametia saini makubaliano yenye lengo la kulinda kilomita za mraba 34,000 za misitu ya mvua ya Bonde la Kongo nchini humo.

2025 04 02t091303z 1 lynxnpel310ct rtroptp 3 gabon election main

18 Novemba, 2025

Jeshi la Somalia limewauwa magaidi 11 wa Al Shabab na kuzuia shambulio la kujitoa muhanga

Jeshi la Somalia pamoja na wanajeshi washirika wamewaua magaidi 11 wa Al Shabab katika operesheni tofauti katika mikoa ya Mudug na Bakool, na pia kuzuia shambulio la kujitoa muhanga, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi iliyotolewa siku ya Jumanne.

9aace1378beb34aa95f79382f7e493c1e8d85333a1e763f4615dd9bbd0ffffb6 main

18 Novemba, 2025

Tanzania huenda ikakabiliwa na changamoto kupata mikopo kutoka nje, amesema Rais Samia

Uwezo wa Tanzania kupata mikopo kutoka taasisi za kimataifa huenda ukakumbana na changamoto baada ya sifa yake kuharibika kimataifa, amesema Rais Samia Suluhu Hassan siku ya Jumanne wakati wa kuwaapisha mawaziri.

215e729c227d163ce9c006b9df3c3537b719e44ec5b6b5bdddd10074b947dab1 main

18 Novemba, 2025

Sura mpya Baraza la Mawaziri Tanzania

Taifa hilo limeshuhua kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri, Novemba 18 huku kukiwa na maingizo mapya katika baraza hilo lenye jumla ya wizara 27.

28c04f0394ce8eb383177a714ec622475768239c208c4aab4941497c761309b4
Inapakia...