15 Novemba, 2025

Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji

Maaskofu wa Tanzania wamelaani mauaji hayo na kuitisha uchunguzi unaoshirikisha wadau wa ndani na wa nje huku wakiiomba serikali iwe tayari kutekeleza ripoti itakayotolewa

728f16311cd2b0b11c7b1d1d0758989324538dbb7e0ca05a54c48cc83510668b

15 Novemba, 2025

Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei

Azimio, lililoandikwa na Marekani, lilipata kura 12 huku mataifa mengi wanachama yakiibua wasiwasi kuhusu lugha mpya ya mamlaka ya ujumbe huo

ffda11f4a01e8d67aa8f2b8d72e43b3e88b9787521e568994eeb47e90ef733af

15 Novemba, 2025

Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula

Roger Lumbala, aliyekuwa kiongozi wa waasi ameshtakiwa kwa “njama ya uhalifu kuandaa uhalifu dhidi ya ubinadamu” na “ushirikiano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu” wakati wa vita kutoka 1998 hadi 2003.

92fb03967f1a4a5fbb0445fee5c07fe9ded712a6f09397e692e4c097a3f3bdfb

15 Novemba, 2025

UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan

Azimio hilo lilipitishwa bila kura wakati Baraza likitafuta uchunguzi kuhusu ukatili wa hivi majuzi uliofanywa ndani na karibu na mji wa Sudan.

1d589d16cb1719aec9cd45d41fdd7c16d17aebb3a596ab17f8708c030632d9f9

15 Novemba, 2025

Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi

Rais Samia Suluhu Hassan pia ameviagiza vyombo vya usalama kuwa na subira kwa vijana waandamanaji ambao “walifuata tu umati” baada ya mamia kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

e5df431984404c81d8141576886d015e44a9efe5fcbabe96ffed3ffce9efce4e

14 Novemba, 2025

Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan

Watu waliokimbia makazi yao walikumbwa na hali ‘mbaya’ wakati wa safari yao kuelekea Jimbo la Kaskazini, anasema kamishna wa misaada ya kibinadamu.

956d091893012e5544bc7f62fbd0f77b540badde0d9dfa7d4b081f4051cc8234

14 Novemba, 2025

Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina

Ndege hiyo ni ya pili kuwasafirisha Wapalestina wanaokimbia mauaji ya halaiki huko Gaza hadi Afrika Kusini

f4a25dc33a28b81ce5ae3aa759a8976ad0d6e5d1f44bd83f86a34a5ec4631309 main

14 Novemba, 2025

Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25

Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.

15ef5efc9a9a23ee0f0a936cafd3b0eac664f52b012905190d531886b525b2ca

13 Novemba, 2025

Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano

Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

a1814576f813db284fc0e788fda2dce46d0414fbfcb2c4db30c78fd0e2a1f783

13 Novemba, 2025

Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi

Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.

c5d49a484e9f74f0de0aa0e0d99c7736f247a364716cc8a04a989354b2a9c4e5 main
Inapakia...