16 Januari, 2026

Mafuriko ya Afrika Kusini yaacha vifo na kufunga Kruger Park, Mozambique pia yahadharishwa

Mafuriko haya yameacha vifo na kuathiri mamia ya watu, huku Kruger Park ikifungwa.

292

16 Januari, 2026

Rais Mohamud na Waziri Mkuu Barre wafanya ziara ya kihistoria Lasanod

Ziara ya Lasanod imekuwa alama ya mshikamano wa kitaifa na uthibitisho wa mamlaka ya shirikisho.

289

16 Januari, 2026

Museveni aongoza kwa kura, Bobi Wine azuiliwa nyumbani

Museveni: “Natarajia ushindi wa asilimia 80 iwapo hakutakuwa na udanganyifu.”

288

15 Januari, 2026

Ethiopia inasema imekamata zaidi ya risasi 56,000 kutoka Eritrea

Polisi nchini Ethiopia wamesema wamekamata zaidi ya risasi 56,000, ambazo Ethiopia inadai zilitumwa kutoka nchi jirani ya Eritrea.

2d151232c4359bd64572087001dbfa3d2bb145410338076dd79897db76debd2a

15 Januari, 2026

Afrika Kusini yatoa wito wa utulivu katikati ya maandamano Iran

Amani endelevu inaweza kupatikana tu kwa suluhisho linaloweka wananchi wa Iran katikati ya maamuzi.

287

15 Januari, 2026

Mabilionea wa Afrika waongoza kwa kasi ya ukuaji wa utajiri 2026

Dangote ameongeza utajiri wake kwa $451m na kufikia $30.4b.

286

15 Januari, 2026

Kenya yapata makubaliano ya awali na China ya bidhaa bila ushuru

Makubaliano haya ya awali yanaruhusu asilimia 98.2 ya bidhaa za Kenya kuingia China bila ushuru.

285

15 Januari, 2026

Chad: Mapigano na kundi lenye silaha yauwa wanajeshi 3, wengine 10 wajeruhiwa

Jeshi la Chad limeripoti vifo vya wanajeshi watatu na majeruhi wa kumi katika makabiliano.

283

15 Januari, 2026

Morocco yafuzu fainali ya AFCON baada ya kuishinda Nigeria kwa penalti

Atlas Lions walifuzu fainali baada ya kuishinda Nigeria kwa penalti 4-2.

01928

15 Januari, 2026

Samuel Eto’o apigwa marufuku mechi 4 na kutozwa faini kwa utovu wa nidhamu AFCON

CAF imemsimamisha Eto’o mechi nne na kumtoza faini ya dola 20,000.

281
Inapakia...