Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao kutoka Al Fasher ya Sudan tangu kutwaliwa na RSF

Zaidi ya raia 100,000 wamefurushwa kutoka kwa Al Fasher magharibi mwa Sudan tangu kuchukuliwa kwa mji huo na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) mwezi uliopita, IOM imesema.
18 Novemba, 2025
Rais wa Tanzania amteua binti na mkwe wake katika Baraza la Mawaziri

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua binti yake, Wanu Hafidh Ameir, kuwa Naibu Waziri wa Elimu. Hafidh Ameir, mwenye umri wa miaka 43, ni Mbunge wa Jimbo la Makunduchi.
17 Novemba, 2025
Rais Samia amteua waziri mpya wa fedha, awaacha mawaziri wa mambo ya nje na madini madarakani

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Jumatatu alimteua balozi wa nchi hiyo nchini China, Khamis Mussa Omar, kuwa waziri wa fedha katika baraza lake jipya la mawaziri kufuatia uchaguzi uliokumbwa na utata mwezi uliopita.
17 Novemba, 2025
Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa

Mashambulizi hayi yalilenga baadhi ya mashirika ya serikali yanayotoa huduma muhimu.
17 Novemba, 2025

Mgodi waporomoka DRC na kuua watu wasiopungua 32

Wahamiaji 4 wafariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya watu kuzama pwani ya Libya

Kikundi cha matabibu kinaripoti visa ya ubakaji wa wasichana wa Al Fasher baada ya RSF kuteka

Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia

DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani ‘ya kihistoria’ nchini Qatar
15 Novemba, 2025
Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji
Maaskofu wa Tanzania wamelaani mauaji hayo na kuitisha uchunguzi unaoshirikisha wadau wa ndani na wa nje huku wakiiomba serikali iwe tayari kutekeleza ripoti itakayotolewa

15 Novemba, 2025
Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei
Azimio, lililoandikwa na Marekani, lilipata kura 12 huku mataifa mengi wanachama yakiibua wasiwasi kuhusu lugha mpya ya mamlaka ya ujumbe huo

15 Novemba, 2025
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula
Roger Lumbala, aliyekuwa kiongozi wa waasi ameshtakiwa kwa “njama ya uhalifu kuandaa uhalifu dhidi ya ubinadamu” na “ushirikiano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu” wakati wa vita kutoka 1998 hadi 2003.

15 Novemba, 2025
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Azimio hilo lilipitishwa bila kura wakati Baraza likitafuta uchunguzi kuhusu ukatili wa hivi majuzi uliofanywa ndani na karibu na mji wa Sudan.

15 Novemba, 2025
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Rais Samia Suluhu Hassan pia ameviagiza vyombo vya usalama kuwa na subira kwa vijana waandamanaji ambao “walifuata tu umati” baada ya mamia kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

14 Novemba, 2025
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Watu waliokimbia makazi yao walikumbwa na hali ‘mbaya’ wakati wa safari yao kuelekea Jimbo la Kaskazini, anasema kamishna wa misaada ya kibinadamu.

14 Novemba, 2025
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Ndege hiyo ni ya pili kuwasafirisha Wapalestina wanaokimbia mauaji ya halaiki huko Gaza hadi Afrika Kusini

14 Novemba, 2025
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.

13 Novemba, 2025
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

13 Novemba, 2025
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.




