24 Septemba, 2025

Guinea inafanya kura ya maoni kwa ajili ya kurudi kwa utawala wa kiraia

Kiongozi wa muda Mamady Doumbouya hajasema iwapo atagombea uchaguzi baada ya kura ya maoni kuhusu katiba mpya.

guinea campaign 74408

24 Septemba, 2025

Makamu wa rais wa zamani wa Sudan Kusini Machar ‘tayari’ kwa kesi ya mauaji na uhaini

Riek Machar atahudhuria “mahakama maalum” kwa kikao cha kwanza Jumatatu kufuatia wito, wakili wake.

2021 08 30t125222z 775000677 rc2j vhh rtrmadp 3 southsudan politics

24 Septemba, 2025

Wafanyakazi wa uchaguzi wa Malawi wakamatwa kwa madai ya kuvuruga hesabu za kura

Polisi walisema makarani wanane wa uandikishaji data za uchaguzi walikamatwa karibu na mji mkuu, Lilongwe, wakishukiwa “kudanganya data”.

a5f937f2f64dded849a809bed1d60638446a266d79c601b02eab3dce6214f4ea

24 Septemba, 2025

Sudan : Mauaji ya kikabila yameongezeka maradufu mwaka huu , yasema UN

Takriban raia 3,384 waliuawa kati ya Januari na Juni, wengi wao wakiwa Darfur, kulingana na ripoti mpya ya Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu.

1758363459727 hugan 6ab3c93e0bc0bc2d63cd6bbfb5575c96d63f70d3ae96fa328aaf29e095814ef1

24 Septemba, 2025

Mashirika ya utangazaji ya Malawi yasitisha kujumlisha kura huku wakisubiri matokeo rasmi

Angalau vyombo vya habari vinne vya televisheni, ikiwa ni pamoja na shirika la utangazaji la umma la MBC, viliondoa mabango yao ya matokeo waliyokusanya kutoka kwa vituo vya kupigia kura.

e9d4bbe973a7771cd4aab04503b82cdbf58ae6ca9bae070742143460b932d495

24 Septemba, 2025

Gharama ya ulipaji madeni Uganda kikwazo cha maendeleo katika sekta muhimu

Benki Kuu ya Uganda na nyengine zimeonya kuwa gharama ya ulipaji madeni inatafuna rasilimali zinazohitajika katika sekta nyengine muhimu kama vile elimu na afya.

0d2fcc2e2ad14b11f9c5c76c8a175ce9211359cb09bb4e4cfa5dfa37c41d0cd5

24 Septemba, 2025

Kenya yaboresha uwezo wake wa kubaini Polio

Maabara ya taifa imeimarishwa na teknolojia ya hali ya juu ya kupanga jeni, uwezo wa kutenganisha virusi, majukwaa ya uchunguzi wa molekuli, na uhifadhi ulioongezwa ambao utapunguza wakati wa uchunguzi wa virusi vya polio na magonjwa mengine.

9c9f67062182cdcf41d776f4c711c5c2db3619996364cb1f25a1bc8e69ca372d

24 Septemba, 2025

Vyama vikuu vya Malawi vyadai kushinda uchaguzi kabla ya matokeo rasmi kutangazwa

Vyama vya wagombea wawili wakuu katika uchaguzi wa rais wa Malawi vilitangaza ushindi Alhamisi, huku vikikemewa na tume ya uchaguzi ambayo bado haijatangaza matokeo.

9bdeafcc03ceb295636e05f47f16f192d4c7042b40362388170b3db64f0a5b03

18 Septemba, 2025

Idadi ya vifo vya Ebola nchini DRC yafikia 31

Haya yanajiri wakati Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema kuwa shirika hilo limepeleka tani 14 za vifaa vya matibabu, na vile vile kutuma watalaamu wa afya 48 katika kituo maalumu cha kushughulikia maradhi hayo nchini DRC.

a9fa6061486b440da6f625d01ac83745dd1fb6a43ff5aa62ea720ff5a49e353a

18 Septemba, 2025

Tanzania yashuka viwango vya ubora vya FIFA, Uganda yapanda

Kulingana na orodha hiyo iliyotolewa Septemba 18, 2025, Hispania imechupa hadi nafasi ya kwanza ikitokea ya pili, huku Argentina ikiporomoka hadi nafasi ya tatu kutokea ya pili.

f8fc8c03e81b8e891fbd13d516c297eee5959292bf1ecacf96608bde94e93995
Inapakia...