Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania

Daktari Mwigulu Nchemba anachukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.
13 Novemba, 2025
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake

Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.
12 Novemba, 2025
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8

Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.
12 Novemba, 2025
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa

Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.
12 Novemba, 2025

Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa

Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa

Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi

UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto

Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
12 Novemba, 2025
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti
Ajali ya helikopta ya kijeshi nchini Ghana iliyowaua watu wanane, wakiwemo mawaziri wa ulinzi na mazingira, ilisababishwa na hali mbaya ya hewa, kulingana na uchunguzi rasmi uliochapishwa Jumanne.

11 Novemba, 2025
Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam
Kulingana na baraza hilo, uwepo wa ofisi ya ubalozi nchini Vatican, ni wa faida kwa Kenya, kutokana na fursa za maendeleo ya miradi ya kijamii kama vile elimu na dini.

11 Novemba, 2025
Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani
Hannibal Gaddafi, kitinda mimba wa aliyekuwa kiongozi wa Libya hayati Muammar Gaddafi, hatimaye ameachiliwa huru na mamlaka za nchini Lebanon.

11 Novemba, 2025
Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia
Miongoni mwa waliotia saini ni Kanada, Uhispania, Uingereza, Norway, Ujerumani, Ireland, Uswidi, Austria, Kroatia, Jamhuri ya Czech, Finland, Poland na Uswizi.

11 Novemba, 2025
Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi
Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi na Katibu wa Baraza la Usalama la Urusi Sergei Shoigu walifanya mazungumzo mjini Cairo ili kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kiufundi.

11 Novemba, 2025
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari
Maelfu ya raia wa Sudan wanazuiliwa katika “hali mbaya” na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) huko Al Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kikundi cha matabibu cha ndani kilisema.

11 Novemba, 2025
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya
Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance amesitisha ziara yake nchini Kenya iliyopangwa kufanyika baadaye mwezi huu baada ya safari yake aliyotarajia kwenda kwenye mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kufutwa na Rais Donald Trump.

10 Novemba, 2025
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’
Askofu Ruwa’ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.

10 Novemba, 2025
Jeshi la Sudan lazima shambulio la RSF katika mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi
Jeshi la Sudan lilizima shambulio la Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) siku ya Jumapili kwenye mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi, walioshuhudia walisema.

10 Novemba, 2025
Majeshi ya Somalia yawaua viongozi watatu wakuu wa Al Shabaab
Kikosi cha Wanajeshi wa Kitaifa wa Somalia kimefanya msururu wa operesheni katika maeneo ya Bakool na Bay, na kuwaua maafisa kadhaa waandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab.




