12 Novemba, 2025

Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti

Ajali ya helikopta ya kijeshi nchini Ghana iliyowaua watu wanane, wakiwemo mawaziri wa ulinzi na mazingira, ilisababishwa na hali mbaya ya hewa, kulingana na uchunguzi rasmi uliochapishwa Jumanne.

3a10b4bfb252b2fb276dc1cd502152a18e473a66ade8f0bb89d44cb7e95912ff main

11 Novemba, 2025

Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam

Kulingana na baraza hilo, uwepo wa ofisi ya ubalozi nchini Vatican, ni wa faida kwa Kenya, kutokana na fursa za maendeleo ya miradi ya kijamii kama vile elimu na dini.

09f2ef0382afc1a66f12eb916a7b432b1c8b530ce093bc8f9e0ae2ec08911ca5

11 Novemba, 2025

Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani

Hannibal Gaddafi, kitinda mimba wa aliyekuwa kiongozi wa Libya hayati Muammar Gaddafi, hatimaye ameachiliwa huru na mamlaka za nchini Lebanon.

lebanon libya 97229 main

11 Novemba, 2025

Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia

Miongoni mwa waliotia saini ni Kanada, Uhispania, Uingereza, Norway, Ujerumani, Ireland, Uswidi, Austria, Kroatia, Jamhuri ya Czech, Finland, Poland na Uswizi.

fa7b806f38d0d6312d71aa27b9fbf46245601961aa3deaadeaf4306c298a0b4a

11 Novemba, 2025

Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi

Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi na Katibu wa Baraza la Usalama la Urusi Sergei Shoigu walifanya mazungumzo mjini Cairo ili kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kiufundi.

54c05635010392b2e04fcf379634a5ab6fcc349577c67b97ca8bc045d70d3fad main

11 Novemba, 2025

Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari

Maelfu ya raia wa Sudan wanazuiliwa katika “hali mbaya” na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) huko Al Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kikundi cha matabibu cha ndani kilisema.

743dd9c14316e49c8e4f790ad6684e974205c2bf07b42d6e59271543fafb825a main

11 Novemba, 2025

Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance amesitisha ziara yake nchini Kenya iliyopangwa kufanyika baadaye mwezi huu baada ya safari yake aliyotarajia kwenda kwenye mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kufutwa na Rais Donald Trump.

vance 11892 main

10 Novemba, 2025

‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’

Askofu Ruwa’ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.

4a387f75c822f91efee7ae0cae9ba5533ee054ca533ecd83ae088db81aaf0991

10 Novemba, 2025

Jeshi la Sudan lazima shambulio la RSF katika mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi

Jeshi la Sudan lilizima shambulio la Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) siku ya Jumapili kwenye mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi, walioshuhudia walisema.

b3b2ebc77b4d25046624ffb448ceb28ffcbca255be6e9acbcab68bbb3d7d967a

10 Novemba, 2025

Majeshi ya Somalia yawaua viongozi watatu wakuu wa Al Shabaab

Kikosi cha Wanajeshi wa Kitaifa wa Somalia kimefanya msururu wa operesheni katika maeneo ya Bakool na Bay, na kuwaua maafisa kadhaa waandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab.

92c76026dfa9528b4b551a141b7d3be1a645725b8a5ce4636c8a7ffe70690b3f main
Inapakia...