7 Januari, 2026

Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.

786866935b2502d34ade9e77d472b554e27e20c10be90c04136f4b4d3427db7f

7 Januari, 2026

Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa

Waendesha mashtaka wanasema Abubakar Malami alitakatisha fedha za umma kati ya 2015 na 2023 kupitia washirika wake.

a494abb0a94e1decd8ce4261c68b89337284f908232b6a3803417132276adae2

7 Januari, 2026

Trump aongeza Uganda, na mataifa mengine 11 ya Afrika kwenye orodha ya dhamana ya visa ya Marekani

Marekani imeongeza mara tatu idadi ya nchi zinazotakiwa raia wake kulipa dhamana ya hadi $15,000 ili kutuma maombi ya visa.

acaa452a0c109b11ff053c88345039ee03a56790d066769cf3694db32ffa0d05

6 Januari, 2026

Jeshi la Benin lawaua ‘magaidi’ 45 kaskazini mwa nchi

Siku ya Jumanne jeshi la Benin limesema limewaua “magaidi” 45 katika kipindi cha miezi mitatu ya operesheni dhidi ya ugaidi kaskazini mwa Benin.

22b118b42201e02ea04d9182aa91691ee040f0cd9e38e53fbe18780e9d150444

6 Januari, 2026

Nchi za Afrika zaunga mkono Venezuela baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyomlenga Maduro

Mataifa ya Afrika yametoa wito wa kuheshimiwa kwa sheria ya kimataifa kufuatia kutekwa kwa Rais Nicolas Maduro, Cilia Flores na Marekani

27505e34a25d4401c9111f1dc5bf839ac20940725075ef6910c9164c221a0815

6 Januari, 2026

Somalia yashtumu ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Israel Somaliland, ikiitaja kama ‘uvamizi’

Ziara ya Gideon Saar Somaliland ni ‘uingiliaji usio wa msingi’ katika masuala ya ndani ya mwanachama huru wa Umoja wa Mataifa, inasema Wizara ya Mambo ya Nje ya Somalia

696668b2e82e91007c85ab2e0598637e0401c16088166d57bf83b9fd432f497d

6 Januari, 2026

Mahakama ya Tunisia yawaachilia huru wafanyikazi wa NGO waliokamatwa kwa kuwasaidia wahamiaji

Wafanyakazi wa NGO walishtakiwa pamoja na wafanyakazi 17 wa manispaa.

migration france 38688

6 Januari, 2026

Misri imepokea watalii milioni 19 mwaka 2025: Waziri

Viwanja vya ndege vya Cairo, Hurghada, Sharm El-Sheikh, na Marsa Alam, vilipokea idadi kubwa ya wageni.

egypt antiquities 60756

6 Januari, 2026

Baraza la Makanisa nchini Kenya lajitenga na mhubiri anayedai miujiza ‘Nabii Owour’

Mhubiri David Owuor amezua mjadala mkali kufuatia madai yake ya kuwa na uwezo wa kutibu maradhi kama ukimwi na saratani na kutabiri majanga makubwa

a201ec6c1807caaa83970ebe75dbe9661d68f6042f64c6c7ef5314f23e50baf4

6 Januari, 2026

Rais Touadera achaguliwa tena kuwa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Matokeo ya awali yanaonyesha kuwa Rais Faustin-Archange Touadera ameshinda muhula wa tatu wa urais baada ya kuondolewa kwa kikomo cha mihula ya uongozi.

2026 01 05t230331z 1 lynxmpem0417s rtroptp 3 centralafrica election
Inapakia...