RSF yazika miili katika makaburi ya halaiki, inachoma wengine ili ‘kuficha ushahidi wa mauaji

Madaktari wa eneo hilo waliripoti Jumapili kwamba Vikosi vya Msaada wa Haraka vya kijeshi huko Al Fasher, magharibi mwa Sudan, wamezika mamia ya raia kwenye makaburi ya halaiki na kuwachoma wengine kuficha ushahidi wa uhalifu wa kivita
9 Novemba, 2025
Wananchi katika Al Fasher, Sudan, wanakabiliwa na ukatili ‘wa kiwango kisichoweza kuaminika’ — UN

Li Fung, Mwakilishi wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan, anasema Al Fasher imekuwa mji wa huzuni kwani Kikosi cha RSF kinaendelea na mashambulizi yake ya kinyama.
9 Novemba, 2025
Chama tawala nchini Djibouti kimemteua Rais Guelleh kwa muhula wa sita

Rais Ismail Omar Guelleh amekuwa madarakani tangu 1999, na hakuna vikwazo vya kisheria vinavyomzuia kugombea tena.
9 Novemba, 2025
Amaan Golugwa akamatwa huku polisi Tanzania ikiwasaka viongozi wa upinzani kufuatia maandamano

Tayari mamia ya wananchi wamefunguliwa mashtaka kwa makosa ya jinai huku viongozi wa upinzani wakiwekwa kwenye orodha mpya ya watakaokamatwa na kushtakiwa
8 Novemba, 2025

Wafanyakazi waokolewa baada ya maharamia kushambulia meli ya mafuta kutoka Somalia

Mwanajeshi wa Uingereza akamatwa kwa mauaji ya mwanamke wa Kenya mwaka 2012

Trump aapa hakuna afisa wa Marekani atakayehudhuria Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini

Raia wa Sudan Kusini kurejeshwa nyumbani kutoka US

Tanzania yawashtaki watu 98 kwa uhaini
7 Novemba, 2025
Rais Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa Ukraine
Rais wa Kenya William Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa nchini Ukraine baada ya kufanya maongezi ya simu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.

7 Novemba, 2025
Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon
Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.

7 Novemba, 2025
Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

6 Novemba, 2025
Hamas warudisha mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Mollel
Mwili wa Mollel ulikuwa ni sehemu ya miili mingine 22 iliyorudishwa kutoka kwa makubaliano ya kusitisha vita vya Gaza, yaliyofikiwa Oktoba 10.

6 Novemba, 2025
Malawi yapiga marufuku usafirishaji wa mazao kuimarisha usalama wa chakula
Hatua hiyo inafuatia nchi hiyo kukumbukwa na vimbunga vilivyoathiri uzalishaji wa chakula.

6 Novemba, 2025
Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda
Siku ya Alhamisi, mahakama hiyo ilimkuta Kony na hatia ya makosa mbalimbali, ikiwemo mauaji, ubakaji na utesaji.

6 Novemba, 2025
Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi
Mapato ya kutoa huduma yalipanda hadi shilingi bilioni 199.9 katika muda wa miezi sita hadi mwisho wa mwezi wa Septemba, kutoka shilingi bilioni 179.9 katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, ilisema Alhamisi.

6 Novemba, 2025
Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi
Chini ya marufuku iliyowekwa hapo awali Benki kuu ya Sudan iliwajibisha wauzaji dhahabu nje ya nchi kuzingatia udhibiti uliotolewa na Wizara ya Viwanda, Wizara ya Madini, Shirika la Viwango na Hali ya hewa la Sudan, na Kampuni ya Sudan Gold Refinery.

5 Novemba, 2025
Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale
Gharama hiyo ni sawa na ile iliyokuwa ikitumika kwa kipindi cha kuishia Oktoba 31, 2025.

5 Novemba, 2025
‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii
Hakikisho hilo linafuatia vurugu zilizoibuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusabisha vifo vya watu, majeruhi na uharibu wa mali.




