7 Novemba, 2025

Rais Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa Ukraine

Rais wa Kenya William Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa nchini Ukraine baada ya kufanya maongezi ya simu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.

7995bc694a7ee2a4d5f6533a6e924f097e5c829cfe361a64e98225586c9fea1c

7 Novemba, 2025

Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon

Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.

f0fb17b656adc7737d97c6708fba9259a9f057d3a0805022d78ae8cf366eba87

7 Novemba, 2025

Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

e3b0be332ad039c7d69110a728ee9a0ff2c7e8a9359477b9300da645da0035ad

6 Novemba, 2025

Hamas warudisha mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Mollel

Mwili wa Mollel ulikuwa ni sehemu ya miili mingine 22 iliyorudishwa kutoka kwa makubaliano ya kusitisha vita vya Gaza, yaliyofikiwa Oktoba 10.

424ee7c7a6bbb223cbb90ca2de8f8c74d7cc0ab65916ba02ab5ac2124ad7113c

6 Novemba, 2025

Malawi yapiga marufuku usafirishaji wa mazao kuimarisha usalama wa chakula

Hatua hiyo inafuatia nchi hiyo kukumbukwa na vimbunga vilivyoathiri uzalishaji wa chakula.

1762457369170 9pehym 8fdbdec858a24354cbeaeb6837c5f7adaafc8b05d94c3db007ff7010b7a723af

6 Novemba, 2025

Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Siku ya Alhamisi, mahakama hiyo ilimkuta Kony na hatia ya makosa mbalimbali, ikiwemo mauaji, ubakaji na utesaji.

fc9d344238525954edf898fa57277d5f091c93fd292d1cbe05753e8548cabe67

6 Novemba, 2025

Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi

Mapato ya kutoa huduma yalipanda hadi shilingi bilioni 199.9 katika muda wa miezi sita hadi mwisho wa mwezi wa Septemba, kutoka shilingi bilioni 179.9 katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, ilisema Alhamisi.

2025 05 09t074550z 1282674109 rc24eea2uow6 rtrmadp 3 safaricom results 1

6 Novemba, 2025

Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi

Chini ya marufuku iliyowekwa hapo awali Benki kuu ya Sudan iliwajibisha wauzaji dhahabu nje ya nchi kuzingatia udhibiti uliotolewa na Wizara ya Viwanda, Wizara ya Madini, Shirika la Viwango na Hali ya hewa la Sudan, na Kampuni ya Sudan Gold Refinery.

2025 10 21t141031z 449903518 rc2dghavnird rtrmadp 3 sudan politics emirates gold

5 Novemba, 2025

Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale

Gharama hiyo ni sawa na ile iliyokuwa ikitumika kwa kipindi cha kuishia Oktoba 31, 2025.

79260f0b06fa07817d56a350bb7d3414ed8bb68528a423adc7ce1327b9eb0385

5 Novemba, 2025

‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii

Hakikisho hilo linafuatia vurugu zilizoibuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusabisha vifo vya watu, majeruhi na uharibu wa mali.

280102a0de5afdff43b5cf90c3d3a0478df8fdc28fca63df56cc7ceb258a822d
Inapakia...