Washukiwa wa Ugaidi Washambulia Mgodi wa Dhahabu Mali, Wafanyakazi Watekwa kwa Muda

Shambulio hili ni tishio la moja kwa moja kwa usalama wa taifa na uchumi wa nchi.
5 Januari, 2026
Tanzania yapiga marufuku wageni kutoa baadhi ya huduma katika sekta ya madini, kulinda wazawa

Lengo ni kupanua wigo wa ushiriki wa wazawa na kuongeza manufaa ya moja kwa moja kwa taifa.
5 Januari, 2026
Mahakama Kuu Guinea Yamuidhinisha Doumbouya Kuwa Rais Baada ya Uchaguzi wa Kihistoria

“Leo Guinea haina walioshinda wala walioshindwa; kuna taifa moja lililoungana na lisilogawanyika,” alisema Rais aliyechaguliwa Mamadi Doumbouya baada ya kuthibitishwa ushindi wake.
5 Januari, 2026
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la droni la RSF kwenye bwawa kuu na maeneo ya kijeshi

Mamlaka ya Sudan kwa muda mrefu imekuwa ikiilaumu RSF kwa kufanya mashambulizi kwa kutumia ndege zisizo na rubani dhidi ya miundombinu ya wananchi.
5 Januari, 2026

Rais William Ruto apendekeza adhabu ya kifo kwa wauzaji wa dawa za kulevya

Tinubu Aamuru Msako Mkali Baada ya Mauaji ya Umati katika Jimbo la Niger

Radi yaua watu wawili na kuwajeruhi wengine 150 nchini Afrika Kusini

AU inaeleza ‘wasiwasi mkubwa’, Afrika Kusini inaomba mkutano wa dharura wa UN juu ya Venezuela

Madaktari wa Sudan wanaonya kuhusu tishio la janga la kibinadamu kusini mwa Kordofan
4 Januari, 2026
Kenya yaomboleza ndovu maarufu ‘super tusker’ Craig, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 54
Ndovu huyo anayeitwa Craig alikufa siku ya Jumamosi katika Hifadhi ya Kitaifa ya Amboseli, eneo lililohifadhiwa kusini mwa Kenya ambalo ni kivutio cha watalii.

4 Januari, 2026
Zambia kuwa mwenyeji wa mkutano wa mawaziri wa ulinzi kuhusu mzozo wa DR Congo
Nchi katika eneo hilo zimeshangazwa na vurugu zinazoendelea ambazo tena Jumamosi zilipingana kati ya wapiganaji kutoka kundi la silaha la M23 na majeshi ya DRC.

3 Januari, 2026
Mapigano mapya yamezuka kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23 karibu na mji muhimu wa Uvira
Mapigano makali kati ya waasi wa M23 na vikosi vya serikali yameripotiwa katika maeneo kadhaa katika eneo la Uvira.

3 Januari, 2026
Angelina Jolie atembelea kivuko cha Rafah nchini Misri huku janga la kibinadamu likizidi kuongezeka
Jolie anatembelea kuona hali ya Wapalestina waliojeruhiwa waliohamishiwa Misri na kuangalia jinsi misaada inavyopelekwa katika eneo lililoharibiwa.

3 Januari, 2026
Raia wa Nigeria wametakiwa kurudisha mabaki kutoka mashambulizi ya anga ya Marekani
Kanda za mtandaoni zilionyesha wenyeji wakifukua vifusi na silaha zisizolipuka kwenye maeneo ya shambulio katika jimbo la Sokoto, na hivyo kuzua hofu ya milipuko mibaya.

2 Januari, 2026
Dereva wa Anthony Joshua ashtakiwa kufuatia ajali iliyosababisha vifo
Polisi nchini Nigeria wamemshtaki dereva wa bondia Anthony Joshua kwa kosa la kuendesha gari kwa uzembe na kwa hatari, kufuatia ajali iliyosababisha vifo.

2 Januari, 2026
Timu ya Sudan inatumai mafanikio katika michuano ya AFCON yanaweza kumaliza vita
Sudan ina matumaini kuwa ushindi dhidi ya Senegal katika Kombe la Mataifa ya Afrika siku ya Jumamosi unaweza kuchochea usitishaji wa mapigano nchini humo, au hata kuleta amani ya muda mrefu, alisema kocha Kwesi Appiah siku ya Ijumaa.

2 Januari, 2026
AFCON 2025: Mchakamchaka wa kutafuta nafasi za robo fainali
Mechi za robo fainali zinatarajiwa kufanyika tarehe 9 na 10 Januari, huku fainali zikifanyika Januari 18,

2 Januari, 2026
Shughuli za kuwaokoa waathirika waliokwama ndani ya jengo refu lililoporomoka Nairobi zaendelea
Jengo la ghorofa nyingi lililokuwa katika hatua ya ujenzi limeporomoka katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, huku idadi ya watu isiyojulikana wakiwa wamekwama chini ya kifusi.

2 Januari, 2026
Mshauri wa kamanda wa RSF na wasaidizi wake ‘wauawa’ katika shambulio la droni Sudan
Kikosi cha RSF kimesema kuwa mshauri mkuu wa usalama wa kiongozi wake ameuawa pamoja na wasaidizi kadhaa katika shambulio la ndegee isiyo na rubani ‘droni’ karibu na mji wa Zalingei.



