Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.
5 Novemba, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
4 Novemba, 2025
Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco

Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.
4 Novemba, 2025
Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.
4 Novemba, 2025

Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania

RSF iliwaua wanawake 300, kubaka 25 katika saa 48 za kwanza Al Fasher: waziri wa Sudan

Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa

Umoja wa Afrika yamchagua Rais wa Uganda kuwa mpatanishi wa amani Sudan

Hussein Mwinyi atangazwa mshindi wa Urais Zanzibar
30 Oktoba, 2025
Hospitali ya mwisho Al Fasher, Darfur yashambuliwa; mamia wahofiwa kufariki – Umoja wa Mataifa
Hospitali ya mwisho inayofanya kazi katika mji wa Al Fasher, Sudan, imeshambuliwa na mamia ya watu wanahofiwa kufariki baada ya wanamgambo kuudhibiti mji huo wiki hii, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na afisa wa Sudan wamesema.

30 Oktoba, 2025
Wataalamu waonya kuhusu uwezekano wa vita vya kikabila Sudan
Wapiganaji wa RSF waliwapiga risasi wanaume waliokuwa wakitoroka mji wa al Fasher uliozingirwa kwa muda mrefu baada ya kuuteka, kulingana na mmoja wa walioshuhudia na kufanikiwakutoroka, taarifa iliyothibitishwa na wafanyakazi wa mashirika ya misaada

29 Oktoba, 2025
Misri yatoa wito wa kusitishwa mapigano kwa misingi ya kibinadamu Al Fasher, Sudan
Mwanadiplomasia mkuu wa Misri afanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan kujadili hali katika mji wa Al Fasher.

29 Oktoba, 2025
Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi
Polisi nchini Tanzania wametangaza amri ya kutotoka nje katika mji wa Dar es Salaam kuanzia saa kumi na mbili jioni.

29 Oktoba, 2025
Raia wa Tanzania wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2025
Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.

28 Oktoba, 2025
Wafanyakazi watano wa kujitolea wauawa Sudan wakiwa wanasambaza chakula, kulingana na IFRC
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) limesema Jumanne kuwa wafanyakazi wake watano wa kujitolea wameuawa Sudan.

28 Oktoba, 2025
Viongozi wa upinzani Cameroon wapinga matokeo ya uchaguzi
Viongozi wa upinzani nchini Cameroon wamesema hawakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa urais, ushindi huo ambao utaendelea kumuweka Rais Paul Biya madarakani kwa kipindi kingine cha miaka saba.

28 Oktoba, 2025
Watalii kutoka Ujerumani na Hungaria wafariki dunia katika ajali ya ndege Kenya
Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kenya imesema ajali hiyo ilitokea katika Kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.

28 Oktoba, 2025
Upigaji kura wa mapema Zanzibar
Barabara nyingi zinaonekana bila watu huku baadhi ya biashara zikifungwa Zanzibar. Haifahamiki hali hii iwapo imesababishwa na mvua kubwa zinazoanza kunyesha mapema ya asubuhi ya leo au ni kutokana na zoezi la kuanza kwa kura ya mwanzo.

27 Oktoba, 2025
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ashinda uchaguzi
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, 83, amechaguliwa tena kwa muhula wa nne katika uchaguzi uliokumbwa na idadi ndogo ya wapiga kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali.




