30 Oktoba, 2025

Hospitali ya mwisho Al Fasher, Darfur yashambuliwa; mamia wahofiwa kufariki – Umoja wa Mataifa

Hospitali ya mwisho inayofanya kazi katika mji wa Al Fasher, Sudan, imeshambuliwa na mamia ya watu wanahofiwa kufariki baada ya wanamgambo kuudhibiti mji huo wiki hii, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na afisa wa Sudan wamesema.

128497d2c7c8aa1d7f08a31d5e466b094902a1ff8b9f61d71fbfdc883b8ae936

30 Oktoba, 2025

Wataalamu waonya kuhusu uwezekano wa vita vya kikabila Sudan

Wapiganaji wa RSF waliwapiga risasi wanaume waliokuwa wakitoroka mji wa al Fasher uliozingirwa kwa muda mrefu baada ya kuuteka, kulingana na mmoja wa walioshuhudia na kufanikiwakutoroka, taarifa iliyothibitishwa na wafanyakazi wa mashirika ya misaada

2025 10 28t143534z 1 lynxmpel9r0t6 rtroptp 3 sudan politics

29 Oktoba, 2025

Misri yatoa wito wa kusitishwa mapigano kwa misingi ya kibinadamu Al Fasher, Sudan

Mwanadiplomasia mkuu wa Misri afanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan kujadili hali katika mji wa Al Fasher.

2025 10 28t143337z 1120730118 rc22lhasuzap rtrmadp 3 sudan politics

29 Oktoba, 2025

Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi

Polisi nchini Tanzania wametangaza amri ya kutotoka nje katika mji wa Dar es Salaam kuanzia saa kumi na mbili jioni.

7c3b2f920379d1dec366425af643fae7cbcbc0538dfe374fddce1c7d9f7220b0

29 Oktoba, 2025

Raia wa Tanzania wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2025

Raia wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameanza kupiga kura mapema hii. Zoezi hilo limeanza rasmi saa moja asubuhi na linatarajiwa kukamilika saa kumi alasiri.

1761725115647 2f4m8i 513b6d10a82003830684fad4ccdd8a71373b5342387a45e47fe2c434d42aba77

28 Oktoba, 2025

Wafanyakazi watano wa kujitolea wauawa Sudan wakiwa wanasambaza chakula, kulingana na IFRC

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) limesema Jumanne kuwa wafanyakazi wake watano wa kujitolea wameuawa Sudan.

96b14b734f57a37e205bd024f020db090aa17fd32abde4af783c34fca5ed1db2

28 Oktoba, 2025

Viongozi wa upinzani Cameroon wapinga matokeo ya uchaguzi

Viongozi wa upinzani nchini Cameroon wamesema hawakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa urais, ushindi huo ambao utaendelea kumuweka Rais Paul Biya madarakani kwa kipindi kingine cha miaka saba.

1761674384810 qitdta b7a88a40a97f43b2c7e5a6dcf10b1ad4cc3d95ca8882ada2506294bd4b62983e

28 Oktoba, 2025

Watalii kutoka Ujerumani na Hungaria wafariki dunia katika ajali ya ndege Kenya

Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kenya imesema ajali hiyo ilitokea katika Kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.

2025 10 28t111457z 1 lynxmpel9r0je rtroptp 3 kenya crash

28 Oktoba, 2025

Upigaji kura wa mapema Zanzibar

Barabara nyingi zinaonekana bila watu huku baadhi ya biashara zikifungwa Zanzibar. Haifahamiki hali hii iwapo imesababishwa na mvua kubwa zinazoanza kunyesha mapema ya asubuhi ya leo au ni kutokana na zoezi la kuanza kwa kura ya mwanzo.

96a9b29b203b1ed48518a7253f1a2cee232c881b4784dc29460f79b2df007ee1

27 Oktoba, 2025

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ashinda uchaguzi

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, 83, amechaguliwa tena kwa muhula wa nne katika uchaguzi uliokumbwa na idadi ndogo ya wapiga kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali.

4872ae965efb72a26f3d7c8d301b55f439b9f202e2031d8db76973130587e229
Inapakia...