Gombo wa CUF aahidi ‘kuwapunguzia’ Watanzania makali ya maisha

Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu wake Oktoba 29, 2025.
9 Septemba, 2025
Mgombea Urais aahidi kufuga mamba Ikulu

Kwa mujibu wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC), jumla ya vyama vya siasa 18 vitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, huku vyama 17 vikisimamisha wagombea Urais.
9 Septemba, 2025
ICC kuwasilisha ushahidi kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Kinachojulikana kama uthibitisho wa kusikilizwa kwa mashtaka kinakuja miongo miwili baada ya ICC kutoa hati ya kukamatwa kwa Joseph Kony kwa madai ya uongozi wake wa kundi la kikatili la waasi.
9 Septemba, 2025
Ethiopia yazindua bwawa kubwa la kuzalisha umeme kwa maji licha ya upinzani mkali wa Misri

Utafiti huru unaonyesha kuwa kufikia sasa, hakuna usumbufu mkubwa wa mtiririko wa maji uliorekodiwa – kwa sehemu kutokana na mvua nzuri na kujazwa kwa uangalifu kwa hifadhi wakati wa misimu ya mvua katika kipindi cha miaka mitano.
9 Septemba, 2025

Afrika yatoa wito wa uwezkezaji katika sekta ya hali ya hewa na suluhisho zinazoongozwa na Afrika

Mahakama ya ICC kuanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony

Balozi wa UN afanya mazungumzo na Haftar wa Libya kuhusu serikali moja ya mpito

Misri imerejelea wito kwa Israel kukubali pendekezo la kusitisha mapigano Gaza

Waasi wa M23 wauteka tena mji wa mashariki mwa DRC huku mazungumzo ya amani yakikwama
8 Septemba, 2025
Balozi wa Somalia nchini Syria awasilisha hati za utambulisho kwa kiongozi wa Syria
Balozi mteule wa Somalia nchini Syria amewasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais Ahmad al-Sharaa.

7 Septemba, 2025
Sudan Kusini yamrejesha Mexico mhamiaji waliyempokea kutoka Marekani
Sudan Kusini inasema Mexico ilikuwa imetoa hakikisho kwamba aliyefukuzwa hatakabiliwa na mateso.

7 Septemba, 2025
Watoto kati ya 11 waliotoweka baada ya kiboko kupindua mashua nchini Côte d’Ivoire
Watu watatu walinusurika katika tukio hilo na kuokolewa, na msako unaendelea kuwatafuta waliotoweka, alisema waziri wa serikali.

6 Septemba, 2025
Jamii forums yafungiwa kwa siku 90 kwa ‘kudhalilisha serikali na Rais’ wa Tanzania
Aidha TCRA imeongeza kuwa maudhui hayo yanakinzana na mila, desturi na utamaduni wa Kitanzania, hivyo kuhatarisha mshikamano wa kitaifa, amani na taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

6 Septemba, 2025
Watu sita wamefariki na wengine 20 wanaswa kwenye mgodi wa dhahabu ulioporomoka Sudan
Juhudi zinaendelea kuwaokoa waliokwama chini ya vifusi, kulingana na afisa.

6 Septemba, 2025
Trump kutohudhuria mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini, na badala yake kumtuma makamu, Vance
Rais Trump mnamo Julai aliashiria kutohudhuria mkutano huo na kutuma mtu mwingine kuiwakilisha Marekani, akitaja kutoidhinisha kwake sera za Afrika Kusini.

6 Septemba, 2025
Marekani inaibadilisha Uganda na Eswatini kumhamishia mhamiaji mwenye utata, Garcia
Afisa wa Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani alituma barua pepe kwa wakili wa Abrego kumwambia kwamba nchi yake mpya ya kuhamishiwa sasa ni Eswatini baada ya kueleza hofu yake ya kukabiliwa na mashtaka nchini Uganda.

5 Septemba, 2025
Watoto 200 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan – shirika la misaada
Shirika la Save the Children linasema watu 150, ikiwemo watoto 40, wamenusurika na wanatibiwa kwa sasa.

5 Septemba, 2025
Mlipuko wa Mpox Afrika siyo suala la dharura duniani tena – WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa kikosi kazi cha dharura kilichoundwa baada ya mlipuko kimeshauri kuwa hali hiyo siyo ya dharura ya kimataifa tena

5 Septemba, 2025
Waasi wa Sudan wametekeleza uhalifu dhidi ya binadamu katika mji wa El-Fasher – Umoja wa Mataifa
Uhalifu dhidi ya binadamu wa wapiganaji wa RSF ni pamoja na mauaji ya halaiki, dhulma za ngono, uporaji, na uharibifu wa maisha ya watu, wakati mwingine ikiwa pamoja na mateso na uangamizaji.


