23 Oktoba, 2025

Jeshi la Nigeria lawaua zaidi ya wanamgambo 50 wa Boko Haram

Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo zaidi ya 50 wa kundi la Boko Haram baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kutekelezwa na kundi hilo dhidi ya kambi za kijeshi katika kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo.

8c261aa5f57c25b882ba19f39a5bd86993eb02e82b9104897991de3d32af0b3b

23 Oktoba, 2025

Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu

Sampuli yake ya mkojo iliyochukuliwa mwezi Machi ilionyesha kiwango cha dawa hiyo kilichozidi kiwango kinachoruhusiwa mara 190.

fc7e1078ccbe97621311d57351c0ecc3be436ec89110ab8a8253d594e4284f5d

23 Oktoba, 2025

Djibouti yajipanga kwa mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi wa urais 2026

Marekebisho yanayopendekezwa ya katiba bado hayajawekwa wazi kwa umma, lakini muda wa kutangazwa mabadiliko umeibua uvumi kuhusu athari zake katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026.

ac9579963828c88d1aa8dab4e99ccf3116bd27d00ec7f7135cacda617510bbaa

23 Oktoba, 2025

Mgombea wa upinzani Cameroon Tchiroma atoa wito wa maandamano kabla ya matokeo

Maafisa wamepiga marufuku mikusanyiko ya umma na safari za boda boda katika miji mbalimbali wakati wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya mwisho kufikia Jumatatu jioni.

182fd7576144d5de39a9fe60ede2e1afd9b6c3206437647be5943af498d9f78d

23 Oktoba, 2025

Kiongozi wa Mali awafuta kazi makamanda waandamizi huku kukiwa na matatizo ya usalama

Kiongozi wa mpito wa nchi hiyo Assimi Goita alimtimua naibu kamanda wa jeshi, mkuu wa usalama jeshini na mkuu wa majeshi ya ardhini.

1b0b620d40c00b1e00948a4366ae77c2390923e1b155e8af3b506d8bbf670144

23 Oktoba, 2025

Jeshi la Uganda lakana kuwateka raia wawili wa Kenya

Wanaharakati Wakenya Oyoo na Njagi walikuwa wamesafiri hadi Uganda kumuunga mkono mgombea urais wa upinzani Bobi Wine.

891e519eb322135f472c3df92596c22e938db529b8f57d8d1af62953aa776421

22 Oktoba, 2025

Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili

Ndege ya abiria ya kampuni ya Badr Airlines imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum kwa mara ya kwanza tangu Aprili 2023, ikiwa ni ishara ya kurejea kwa safari za ndege za kiraia baada ya zaidi ya miaka miwili ya kufungwa.

67ac62c9ee178a46fe8d987534609e8278e985bb1ff1d3d541ddb4c3595e3bcc

22 Oktoba, 2025

Mashambulizi ya droni katika mji mkuu wa Sudan yachelewesha kufunguliwa upya kwa uwanja wa ndege

Safari ya ndani ya kwanza ya ndege ya kibiashara ya kampuni ya Badr Airlines ilipangwa kufanyika Jumatano.

1761131437398 j57vh ae19225f26a2c6d7a6a2944e44244ce67200d7c0b9b4b50b7da5ed21583a2b69

22 Oktoba, 2025

Kenya yaanza mitihani ya kitaifa ya sekondari

Watahiniwa 996,078 wamesajiliwa kufanya mitihani ya KCSE katika zaidi ya vituo 10,000 kote nchini.

1761141725620 qaepu e0195731b629fa6e1a4da48d79d676cfd5a5468e901eb1cfb40b72d6834589cd

22 Oktoba, 2025

Misri inahimiza hatua za haraka za Umoja wa Mataifa kuidhinisha ujumbe wa kulinda amani wa Gaza

Maoni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty yanakuja huku kukiwa na hofu kubwa kwamba Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anaweza kusitisha mpango huo na kuanzisha tena vita vya Gaza.

7c7a3506f6ca83513704a237e7453c50360eb362e0f4080fa899565c6cde9703
Inapakia...