Sudan Yaanza Kurejesha Umeme Khartoum Baada ya Uharibifu Mkubwa wa Vita

Uwasilishaji wa shehena ya kwanza ya vifaa vya umeme unaashiria mwanzo wa kurejesha huduma muhimu za umeme katika mji mkuu wa Khartoum.
2 Januari, 2026
DRC Yaituhumu Rwanda kwa Mauaji ya Zaidi ya Raia 1,500 Mashariki mwa Nchi

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema zaidi ya raia 1,500 wameuawa mashariki mwa nchi hiyo tangu mwanzoni mwa mwezi Disemba katika mashambulizi yanayohusishwa na waasi wa M23.
1 Januari, 2026
‘Hatutaki Israel ituletee matatizo,’ rais wa Somalia anasema

‘Kama Israel inajiweka katika maeneo ya watu kushambulia sehemu za watu wengine, basi hao watu pia watashambulia Somaliland na Somalia,’ rais wa Somalia ameonya baada ya Israel kutambua eneo lililojitenga.
1 Januari, 2026
Kiongozi wa Sudan Burhan aapa ushindi dhidi ya RSF, anasema upatanishi unawezekana

Tunawahakikishia watu wetu kote kwamba ushindi unakuja,’ Abdel Fattah al-Burhan anasema
1 Januari, 2026

Bondia Anthony Joshua aruhusiwa kutoka hospitali

Madagascar Yathibitisha Visa 5 vya Mpox, Hatua za Dharura Zaanzishwa Mahajanga

Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa miji miwili kutoka RSF Kordofan Kaskazini

Rais wa Somalia Aishtumu Israel: Kutambua Somaliland ni Mpango wa Kijeshi na Kuwahamisha Wapalestina

Mahakama ya Marekani Yasitisha Mpango wa Trump wa Kufuta Ulinzi kwa Wahamiaji wa Sudan Kusini
31 Desemba, 2025
Burkina Faso na Mali Zajibu Marufuku ya Usafiri ya Marekani kwa Kuweka Vikwazo vya Viza kwa Wamarekani
“Kwa kuzingatia kanuni ya uwiano, Burkina Faso imeamua kutumia masharti sawa ya viza kwa raia wa Marekani kama hatua ya kulinda usawa katika mahusiano ya kimataifa,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

31 Desemba, 2025
Marekani Yapitia Upya Uraia wa Baadhi ya Wasomali kwa Tuhuma za Udanganyifu
Serikali ya Marekani inaanza kupitia upya kesi za uraia wa raia wenye asili ya Somalia ili kubaini iwapo kulikuwa na udanganyifu wakati wa kuomba uraia.

31 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika Yasifu Uchaguzi wa Utulivu Jamhuri ya Afrika ya Kati
“Uchaguzi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umefanyika kwa amani kwa ujumla na ni hatua chanya kuelekea demokrasia,” ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Afrika ulisema.

31 Desemba, 2025
Mwendo wa Kasi na Tairi Kupasuka Vyatajwa Chanzo cha Ajali Mbaya ya Anthony Joshua Nigeria
“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa gari lilikuwa likiendeshwa kwa kasi kubwa kabla ya tairi ya mbele kupasuka,” alisema msemaji wa Shirika la Udhibiti wa Trafiki la Nigeria.

30 Desemba, 2025
Rais wa Somalia awasili Uturuki kwa mazungumzo na Rais Erdogan
Majadiliano hayo yanatarajiwa kuangazia uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta mbalimbali na mivutano ya hivi punde iliyosababishwa na Israel kulitambua kwa upande mmoja eneo lililojitenga la Somalia la Somaliland.

30 Desemba, 2025
Marekani inakashifiwa kwa kulinganisha utambuzi wa Israeli wa Somaliland na ule wa Palestina
Marekani inaambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Israel ina haki ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia “kama nchi nyingine yoyote huru.”

30 Desemba, 2025
Kampuni ya UAE inatafuta fidia ya $28.9b kutokana na mkataba ulioghairiwa wa bauxite nchini Guinea
Axis International Ltd inatafuta dola bilioni 28.9 kutoka Guinea katika mahakama ya Benki ya Dunia baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufutilia mbali kibali chake cha kuendesha mgodi wa bauxite huko mapema mwaka huu

30 Desemba, 2025
Chama cha Serikali cha Côte d’Ivoire chashinda asilimia 77 ya viti katika Bunge
Chama tawala cha Côte d’Ivoire kimeshinda zaidi ya asilimia 77 ya viti katika bunge, miezi miwili baada ya kuchaguliwa Rais Alassane Ouattara, kulingana na matokeo yaliyotangazwa Jumatatu.

30 Desemba, 2025
DRC imemsimamisha kazi msemaji wa jeshi kwa matamshi yanayolenga jamii ya Watutsi
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) limesema limemsimamisha kazi msemaji wake baada ya kutoa matamshi ya kibaguzi kuhusu jamii ya Watutsi nchini humo.

29 Desemba, 2025
Misri yaitisha mkutano wa dharura wa AU kupinga uingiliaji wa Israel katika masuala ya Somalia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, siku ya Jumatatu aliitisha kikao cha dharura cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) ili kupinga hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland, eneo lililojitenga na Somalia.



