Paul Biya wa Cameroon, 92, achaguliwa tena, matokeo rasmi yaonesha

Rais mwenye umri mkubwa zaidi duniani Paul Biya ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 12, ikiwa ni muhula wake wa nane ambao huenda akawepo madarakani hadi karibu miaka 100.
27 Oktoba, 2025
Kampeni za Uchaguzi Mkuu Tanzania kukamilika

Pazia la kampeni hatimae linafungwa nchini Tanzania, hii ikiashiria miezi miwili ya heka heka za wanasiasa kutoka vyama mbalimbali kuomba ridhaa ya wananchi Ili kupewa nafasi za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
27 Oktoba, 2025
Djibouti yaondoa ukomo wa umri kwa wagombea urais

Hii inafungua mlango kwa Ismail Omar Guelleh kuwania muhula wa sita licha ya kuwa sasa hivi ana umri wa miaka 77.
27 Oktoba, 2025
Kenya yakamata meli na raia wa Iran wanaoshukiwa kusafirisha dawa za kulevya

Raia sita wa Iran wamekamatwa kwenye pwani ya Kenya mjini Mombasa wakiwa na dawa za kulevya zenye thamani ya dola milioni 63
26 Oktoba, 2025

Rais wa Malawi atangaza hali ya dharura kwa ukosefu wa chakula

Oauttara wa Côte d’Ivoire awania muhula wa nne

Watoto watatu hufa kila siku El-Fasher nchini Sudan kutokana na utapiamlo: Ripoti

Rais Tinubu awabadilisha viongozi wakuu wa jeshi la Nigeria

Waasi wa M23 nchini DRC wakanusha kuiba dhahabu
23 Oktoba, 2025
Jeshi la Nigeria lawaua zaidi ya wanamgambo 50 wa Boko Haram
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo zaidi ya 50 wa kundi la Boko Haram baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kutekelezwa na kundi hilo dhidi ya kambi za kijeshi katika kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo.

23 Oktoba, 2025
Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu
Sampuli yake ya mkojo iliyochukuliwa mwezi Machi ilionyesha kiwango cha dawa hiyo kilichozidi kiwango kinachoruhusiwa mara 190.

23 Oktoba, 2025
Djibouti yajipanga kwa mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi wa urais 2026
Marekebisho yanayopendekezwa ya katiba bado hayajawekwa wazi kwa umma, lakini muda wa kutangazwa mabadiliko umeibua uvumi kuhusu athari zake katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026.

23 Oktoba, 2025
Mgombea wa upinzani Cameroon Tchiroma atoa wito wa maandamano kabla ya matokeo
Maafisa wamepiga marufuku mikusanyiko ya umma na safari za boda boda katika miji mbalimbali wakati wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya mwisho kufikia Jumatatu jioni.

23 Oktoba, 2025
Kiongozi wa Mali awafuta kazi makamanda waandamizi huku kukiwa na matatizo ya usalama
Kiongozi wa mpito wa nchi hiyo Assimi Goita alimtimua naibu kamanda wa jeshi, mkuu wa usalama jeshini na mkuu wa majeshi ya ardhini.

23 Oktoba, 2025
Jeshi la Uganda lakana kuwateka raia wawili wa Kenya
Wanaharakati Wakenya Oyoo na Njagi walikuwa wamesafiri hadi Uganda kumuunga mkono mgombea urais wa upinzani Bobi Wine.

22 Oktoba, 2025
Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili
Ndege ya abiria ya kampuni ya Badr Airlines imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum kwa mara ya kwanza tangu Aprili 2023, ikiwa ni ishara ya kurejea kwa safari za ndege za kiraia baada ya zaidi ya miaka miwili ya kufungwa.

22 Oktoba, 2025
Mashambulizi ya droni katika mji mkuu wa Sudan yachelewesha kufunguliwa upya kwa uwanja wa ndege
Safari ya ndani ya kwanza ya ndege ya kibiashara ya kampuni ya Badr Airlines ilipangwa kufanyika Jumatano.

22 Oktoba, 2025
Kenya yaanza mitihani ya kitaifa ya sekondari
Watahiniwa 996,078 wamesajiliwa kufanya mitihani ya KCSE katika zaidi ya vituo 10,000 kote nchini.

22 Oktoba, 2025
Misri inahimiza hatua za haraka za Umoja wa Mataifa kuidhinisha ujumbe wa kulinda amani wa Gaza
Maoni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty yanakuja huku kukiwa na hofu kubwa kwamba Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anaweza kusitisha mpango huo na kuanzisha tena vita vya Gaza.




