3 Septemba, 2025

Mwanamfalme wa Qatar ataka kuwekeza dola bilioni 21 DRC,serikali ya nchi hiyo imesema

Mwanamfalme wa Qatar Sheikh Mansour bin Jabr bin Jassim Al Thani anataka kuwekeza dola bilioni 21 nchini DRC, serikali ya nchi hiyo ilitangaza siku ya Jumatano.

6d550b5d413b3632c2c9e72f5d67b054d1d18c3790221c861daf36cd5455e5fb

3 Septemba, 2025

DR Congo yashtumu waasi wa M23 kwa kukiuka haki za binadamu, kulazimisha watu kujiunga nao

Utekaji nyara wa vijana unaendelea, hadi kulazimisha watu kujiunga nao katika mapigano , amesema afisa mmoja

e92121d9344f46f9a259c2e1121c6d399c16764dbbf3f8fa4cab6c4d90d7edbe

3 Septemba, 2025

Luhaga Mpina: Sirudi CCM ng’o

Mwanasiasa huyo, ambaye uteuzi wake wa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ulitenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo (INEC), amesema kuwa hana nia ya kurejea kwenye chama chake cha CCM.

43b34550100f80314c72205b8569b2f1d9181d24434b47a9585c46940c874b3a

3 Septemba, 2025

Ripoti: Ofisi ya Rais Ruto yatumia zaidi ya dola elfu 15 kwa huduma za uchapishaji kwa siku

Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kenya imetumia zaidi ya dola elfu 15 sawa na shilingi milioni 2 za Kenya kwa siku katika huduma za uchapishaji katika mwaka uliopita wa kifedha.

1756892206432 lw77xq 6091755908ceec6e7c6fa7f6c1d6f6de89c2ae7497bc7502770a1ab832bd6e7b

3 Septemba, 2025

Wito wa msaada watolewa baada ya maporomoko ya ardhi kuangamiza kijiji cha Sudan, na kuua watu 1,000

Kundi la watu wenye silaha linloadhibiti sehemu ya magharibi mwa Sudan liliomba msaada wa kigeni Jumanne katika kukusanya miili na kuwaokoa raia kutokana na mvua kubwa, huku kukiwa takriban watu 1,000 walifariki kutokana na maporomoko ya ardhi.

3312e14d4dee55ec3b04db0ecfa263c73e59587dd2dac53793e81626c345c051

3 Septemba, 2025

Misheni za kulinda amani za Sudan Kusini, DRC ziko hatarini kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili: UN

Misheni za kulinda amani za Umoja wa Mataifa zinakabiliwa na shinikizo kubwa la kifedha na kupunguzwa kwa ufadhili wa Marekani kunaweza kupunguza uwezo wao wa kulinda raia katika maeneo kama vile Sudan Kusini na DRC

trump un peacekeeping lebanon 93938 main

2 Septemba, 2025

Mapigano kaskazini mashariki mwa Sudan Kusini yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20

Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano makali jimbo la kaskazini mashariki la Upper Nile, Sudan Kusini siku ya Jumatatu, vyombo vya habari vya eneo hilo vimeripoti.

cbc571347080f527e777ff375286eaae2907cd57a187f64ff9b76e57f28fbd6a

2 Septemba, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje Misri aomba mabadiliko Baraza la Usalama, akemea ‘undumakuwili’ wa Magharibi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametoa wito wa kufanyiwa mabadiliko Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akisema lilivyo kwa sasa haliakisi uhalisia wa enzi hizi.

f92051b331f70ad9c4b5425ed8ad36f6a150db11e0098e127d00909e57a9143c

2 Septemba, 2025

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaifutia Somalia deni la miaka 38

Somalia imeishkuru Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, ikieleza uamuzi huo kuwa mafanikio ya ”kihistoria”.

59fa571c9620555084bd0f3dcda45ac2147e462f86b1d6593e37e2f2d3139998

2 Septemba, 2025

WHO: Zaidi ya watu bilioni moja wana changamoto ya afya ya akili

Shirika la afya Duniani, WHO, linatoa wito kwa seriklai kuwekeza zaidi katika matibabu ya changamoto ya afya ya akili ambayo bado imekithiri.

1756820669873 17c38l fe4c2a60a125a5ad1f65dd38e30977ef594db827724fb867a8ab85a638c6814b
Inapakia...