Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan

Zaidi ya watu 1,000 wamefariki katika kijiji kimoja eneo la Kati la Jimbo la Darfur baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa
4 Septemba, 2025
DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa maafisa wa DRC na Rwanda wamekutana jijini Washington, DC siku ya Jumatano kwa mkutano wa pili wa ufuatiliaji.
4 Septemba, 2025
DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki

Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba
4 Septemba, 2025
Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu

Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria
4 Septemba, 2025

CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko

Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan

Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe

Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi

Ethiopia yawania kuandaa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu tabianchi 2027
3 Septemba, 2025
Mwanamfalme wa Qatar ataka kuwekeza dola bilioni 21 DRC,serikali ya nchi hiyo imesema
Mwanamfalme wa Qatar Sheikh Mansour bin Jabr bin Jassim Al Thani anataka kuwekeza dola bilioni 21 nchini DRC, serikali ya nchi hiyo ilitangaza siku ya Jumatano.

3 Septemba, 2025
DR Congo yashtumu waasi wa M23 kwa kukiuka haki za binadamu, kulazimisha watu kujiunga nao
Utekaji nyara wa vijana unaendelea, hadi kulazimisha watu kujiunga nao katika mapigano , amesema afisa mmoja

3 Septemba, 2025
Luhaga Mpina: Sirudi CCM ng’o
Mwanasiasa huyo, ambaye uteuzi wake wa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ulitenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo (INEC), amesema kuwa hana nia ya kurejea kwenye chama chake cha CCM.

3 Septemba, 2025
Ripoti: Ofisi ya Rais Ruto yatumia zaidi ya dola elfu 15 kwa huduma za uchapishaji kwa siku
Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kenya imetumia zaidi ya dola elfu 15 sawa na shilingi milioni 2 za Kenya kwa siku katika huduma za uchapishaji katika mwaka uliopita wa kifedha.

3 Septemba, 2025
Wito wa msaada watolewa baada ya maporomoko ya ardhi kuangamiza kijiji cha Sudan, na kuua watu 1,000
Kundi la watu wenye silaha linloadhibiti sehemu ya magharibi mwa Sudan liliomba msaada wa kigeni Jumanne katika kukusanya miili na kuwaokoa raia kutokana na mvua kubwa, huku kukiwa takriban watu 1,000 walifariki kutokana na maporomoko ya ardhi.

3 Septemba, 2025
Misheni za kulinda amani za Sudan Kusini, DRC ziko hatarini kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili: UN
Misheni za kulinda amani za Umoja wa Mataifa zinakabiliwa na shinikizo kubwa la kifedha na kupunguzwa kwa ufadhili wa Marekani kunaweza kupunguza uwezo wao wa kulinda raia katika maeneo kama vile Sudan Kusini na DRC

2 Septemba, 2025
Mapigano kaskazini mashariki mwa Sudan Kusini yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20
Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano makali jimbo la kaskazini mashariki la Upper Nile, Sudan Kusini siku ya Jumatatu, vyombo vya habari vya eneo hilo vimeripoti.

2 Septemba, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje Misri aomba mabadiliko Baraza la Usalama, akemea ‘undumakuwili’ wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametoa wito wa kufanyiwa mabadiliko Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akisema lilivyo kwa sasa haliakisi uhalisia wa enzi hizi.

2 Septemba, 2025
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaifutia Somalia deni la miaka 38
Somalia imeishkuru Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, ikieleza uamuzi huo kuwa mafanikio ya ”kihistoria”.

2 Septemba, 2025
WHO: Zaidi ya watu bilioni moja wana changamoto ya afya ya akili
Shirika la afya Duniani, WHO, linatoa wito kwa seriklai kuwekeza zaidi katika matibabu ya changamoto ya afya ya akili ambayo bado imekithiri.


