Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa

Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.
21 Oktoba, 2025
Uchaguzi mkuu wa Uganda kufanyika Januari 15

Tume ya Uchaguzi ya Uganda imetangaza rasmi kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanyika tarehe 15 Januari. Katika uchaguzi huo, Rais Yoweri Museveni, mwenye umri wa zaidi ya miaka 80, atawania muhula wa saba madarakani.
21 Oktoba, 2025
RSF yashambulia Uwanja wa ndege wa Khartoum wakati kukifanyika maandalizi ya ufunguzi

Shambulizi hilo linakuja siku moja kabla ya kufunguliwa tena kwa uwanja huo wa Sudan kwa ajili ya safari za ndege za nyumbani baada ya kufungwa kwa zaidi ya miaka miwili.
21 Oktoba, 2025
Mashirika ya ndege ya Qatar na Kenya kushirikiana

Qatar Airways na Kenya Airways wametia saini makubaliano yatakayowezesha abiria kusafiri katika maeneo mbalimbali duniani.
21 Oktoba, 2025

Raia katika eneo la al-Fashir nchini Sudan wajificha mashambulio ya ndege zisizo na rubani

Chama cha DA cha Afrika Kusini kinapendekeza mswada wa kufuta sheria zinazozingatia rangi

Rais wa mpito wa Madagascar amemteua waziri mkuu mpya kufuatia mapinduzi ya kijeshi

DRC yaanza hesabu ya siku 42 bila Ebola baada ya mgonjwa wa mwisho kwenda nyumbani

Chama tawala nchini Zimbabwe chachukua hatua ya kurefusha muhula wa rais Mnangagwa
19 Oktoba, 2025
Jeshi la Nigeria limekanusha kukamatwa baadhi yao kwa ‘njama ya mapinduzi’ dhidi ya Tinubu
Taarifa ya awali ya jeshi ilisema maafisa 16 wamekamatwa kwa “maswala ya utovu wa nidhamu”.

19 Oktoba, 2025
Jeshi la Sudan liko tayari kwa mazungumzo ya kurejesha umoja: Burhan
Matamshi ya Burhan yalikuja kabla ya mikutano ya pande nne iliyopangwa mjini New York kushinikiza suluhu la amani la vita nchini Sudan.

18 Oktoba, 2025
Kiongozi wa mapinduzi ya Madagascar Randrianirina aliapishwa kuwa rais
Umoja wa Afrika na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wamelaani mapinduzi hayo, ambayo yalikuja baada ya wiki kadhaa za maandamano ya “Gen Z” yaliyochochewa na uhaba mkubwa wa nishati na maji.

18 Oktoba, 2025
Obama amkumbuka kwa sifa tele Raila Odinga, kiongozi wa upinzani wa Kenya aliyefariki
Babake Barrack Obama alitoka Kaunti ya Siaya kwenye ufuo wa Ziwa Victoria – eneo ambalo Raila Odinga alizaliwa na atazikwa Jumapili.

17 Oktoba, 2025
Msongamano katika mazishi ya Raila wasababisha watu kadhaa kujeruhiwa
Watu kumi na nane wamejeruhiwa wakati wa msongamano uliojitokeza katika uwanja wa Nyayo wakati wa mazishi ya kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, aliyefariki dunia wiki hii India akiwa na umri wa miaka 80.

17 Oktoba, 2025
Uturuki na Afrika zaanza enzi mpya ya ushirikiano thabiti – AU
Uturuki ni mshirika wa kuaminika, anayejenga, kuwekeza, kusikiliza na kuchukua hatua sambamba na matarajio ya Afrika, alisema Kamishna wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Umoja wa Afrika, Francisca Tatchouop Belobe.

17 Oktoba, 2025
Wasira wa CCM awataka vijana kutotumika kuiharibu Tanzania
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wake Mkuu Oktoba 29, 2025 ambapo wananchi wa taifa hilo wanatumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi mbalimbali, kuanzia rais, wabunge na madiwani.

17 Oktoba, 2025
Tanzania: Viongozi wa CHADEMA kwenda Kenya kumzika Raila Odinga
Msafara huo utakwenda baada ya mazungumzo yaliyofanywa na Mwenyekiti CHADEMA taifa, Tundu Antiphas Lissu na Heche mahakamani, siku ya Oktoba 16, 2025.

17 Oktoba, 2025
Kiongozi wa kijeshi Madagascar kuapishwa huku akiahidi mazungumzo na AU
“Uamuzi huo ulitarajiwa. (Lakini) kuanzia sasa, kutakuwa na majadiliano. Tutaona jinsi mambo yataendelea,” Koloneli Michael Randrianirina anasema.

16 Oktoba, 2025
Watu wanne wafariki dunia kufuatia majaribio ya vikosi vya usalama kuwatawanya waombolezaji wa Raila
Watu wanne wamefariki dunia jijini Nairobi, Kenya, siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na kurusha mabomu ya gesi kuwatawanya maelfu ya watu waliokusanyika kwenye uwanja wa Kasarani kuuaga mwili wa Raila Odinga.




