1 Septemba, 2025

Maambukizi zaidi 100,000 ya kipindupindu Sudan ndani ya mwaka 1 huku kukiwa na njaa: UN

‘Sudan inakabiliwa na janga baya la njaa duniani, huku kipindupindu kikiongezeka,’shirika la OCHA limesema

5d1b1cd69c6306f419df3f581cf883dc4aec6a9546ac323d57aa784e0f82285c

1 Septemba, 2025

Afisa polisi wa Kenya afariki katika ajali ya barabarani Haiti

Maafisa polisi wanane wa Misheni ya Usaidizi ya Usalama wa Kimataifa (MSS) nchini Haiti wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani Jumapili, huku afisa mmoja wa Kenya akifariki dunia.

8fdca7f6d2e78bf5c395c1c0faf80d1a162d89618bdd8630fe5f98f666a27aed

1 Septemba, 2025

Rwanda kutoza faini wenye magari yasiyotumika

Mamlaka ya Mapato ya Rwanda (RRA) imesema wenye magari yasiyotumika huenda wakalipishwa ada mpya ya matengenezo ya barabara iwapo hawatarudisha nambari za usajili.

2025 06 27t172214z 1 lynxmpel5q0pn rtroptp 3 migration britain rwanda 1

1 Septemba, 2025

Takriban watu 70 wamefariki katika ajali ya boti ya wahamiaji kutoka Afrika Magharibi

Watu wengine 30 wanahofiwa kufariki baada ya meli hiyo, inayoaminika kuondoka Gambia na kuwabeba raia wengi wa Gambia na Senegal, kuzama katika pwani ya Mauritania mapema Jumatano, wizara ilisema katika taarifa yake.

08fb60ee68d9e5381dd187cdf4f70924d1bbc186ea87e52c032777071ba52045

1 Septemba, 2025

Kamanda wa zamani wa Israel aghairi safari ya Afrika Kusini, akihofia kukamatwa

Doron Almog, kamanda wa zamani wa Israel, amekatisha safari yake nchini Afrika Kusini kwa hofu ya kukamatwa kutokana na mchango wake katika vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza.

061c649bb444a446a49f9208bc3864fd16f6f777fd44aaae954e4899aa260365 main

1 Septemba, 2025

Somalia inaipongeza Uturuki kwa Siku ya Ushindi, inasifu uhusiano thabiti

Somalia imeipongeza Uturuki kwa Siku yake ya 103 ya Ushindi, ambayo iliadhimishwa mnamo Agosti 30, 2025.

fzb1syswqae shm 20 3 main

31 Agosti, 2025

Chama cha upinzani Tanzania CHAUMMA, kimezindua rasmi Jumapili Kampeni yake ya Urais

Katika hotuba yake, mgombea Urais Salum Mwalimu alizungumzia uwezeshaji wa watu mashinani, na kupendekeza uingiliaji kati wa moja kwa moja kama kufufua uchumi wa ndani na viwanda vya enzi za ukoloni.

e06ebff2eb34ec173ff4a1c7506fc15b72cb5dc796f0f848d0ec40fa5be14f8d

30 Agosti, 2025

Hemetti wa RSF aapishwa kama kiongozi wa serikali sanjari huku raia wakiuawa Kordofan

Jeshi la Sudan linasema watu watano kutoka familia moja, ikiwemo wasichana wawili wadogo, waliuawa kwa shambulio la RSF la ndege zisizo na rubani Kaskazini mwa Jimbo la Kordofan kusini mwa Sudan.

b4bec93a25da461df849d7a549a963235da23b014d87ecc898c4f70f7d8de636

29 Agosti, 2025

Mzimu wa Shakahola wazuka tena Kenya, miili 32 imefukuliwa.

Miili 32 imefukuliwa wiki hii katika kijiji cha Kwa Binzaro, karibu na Shakahola, Kaunti ya Kilifi nchini Kenya.

7f9779d2fdecf975f281afb5bcc6a9e9787e02aa7c3e105a85ef0c463bfbf9af

29 Agosti, 2025

Kampeni zang’oa nanga Tanzania, upinzani hauonekani

Kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania, zimeanza rasmi. Kitakuwa ni kipindi cha panda shuka kwa vyama vya siasa nchini humo ambapo kila chama kitakuwa kinanadi sera zake ili kupata ridhaa ya wananchi

86c5c708868bd403cd5fee56a4f7030416278b35a3b39485af2c3ef1e1400794
Inapakia...