25 Desemba, 2025

Wakazi wa Mogadishu wapiga kura kuchagua viongozi wa mitaa

Kupiga kura moja kwa moja kunarejesha sauti ya raia katika uamuzi wa uongozi wa maeneo yao.

202

25 Desemba, 2025

Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro

“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

200

25 Desemba, 2025

Watu 11 wakamatwa kufuatia mauaji ya risasi katika mgahawa Afrika Kusini

“Tume fanikiwa kuwakamata washukiwa 11 wanaohusishwa moja kwa moja na shambulio la risasi lililoua watu tisa Bekkersdal,” alisema Naibu Kamishna wa Polisi wa Mkoa, Meja Jenerali Fred Kekana.

199

25 Desemba, 2025

Mauritania yazindua warsha ya pili ya ufundishaji wa lugha ya Kituruki

Ufundishaji wa lugha ya Kituruki ni nyenzo muhimu ya kukuza maelewano ya kielimu na kitamaduni kati ya mataifa, na ni daraja la kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu kati ya Türkiye na Mauritania.

198

25 Desemba, 2025

Bunge la Algeria lapitisha sheria inayoharamisha ukoloni wa Ufaransa

Sheria hii inatamka wazi kuwa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria ulikuwa uhalifu wa dola uliokiuka haki za binadamu, utu na maadili ya kimataifa.

196

25 Desemba, 2025

Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara

Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.

193

25 Desemba, 2025

Watu kadhaa wauawa baada ya mlipuko katika msikiti jimboni Borno

Mlipuko ulitokea ghafla wakati wa sala ya jioni, watu walikimbia huku wengine wakiwa wameanguka chini.

196

24 Desemba, 2025

Tembo wauwa watu wanne nchini Kenya

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa baadhi ya tembo waliohusika walikuwa na majeraha ya mishale na mikuki, jambo linaloashiria kuwapo kwa makabiliano kati ya binadamu na wanyamapori.

194

24 Desemba, 2025

RSF yatangaza kudhibiti maeneo mawili katika jimbo la Darfur Kaskazini, Sudan

Vikosi vyetu vimefanikiwa kudhibiti kikamilifu maeneo ya Abu Qamra na Ambro baada ya operesheni zilizofanywa kwa ufanisi.

193

24 Desemba, 2025

Waziri wa Ulinzi wa Uturuki awafariji maafisa wa Libya na familia zao jijini Ankara

Tunatoa pole za dhati kwa familia za marehemu na kwa wananchi wote wa Libya. Uturuki inasimama pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.

192
Inapakia...