AU na Jumuiya ya Waarabu Zapinga Hatua ya Israel Kuhusu Somaliland

Umoja wa Afrika unakataa vikali jaribio lolote la kuitambua Somaliland kama taifa huru.
27 Desemba, 2025
Somalia Yakemea Vikali Uamuzi wa Israel Kuhusu Somaliland

Somalia inakataa kabisa na bila mashaka utambuzi haramu wa Israel kwa Somaliland.
27 Desemba, 2025
Uturuki Yakosoa Vikali Hatua ya Israel ya Kutambua Somaliland

Utambuzi wa Somaliland ni uvunjaji wazi wa sheria za kimataifa na kuingilia masuala ya ndani ya Somalia.
26 Desemba, 2025
Mapigano Darfur Kaskazini: Vikosi washirika vya jeshi la Sudan vyazuia mashambulizi ya RSF

“Vikosi vyetu vilifanikiwa kuzuia mashambulizi ya RSF na kuwalazimisha kurudi nyuma baada ya mapigano makali,” ilisema taarifa ya vikosi washirika vya jeshi la Sudan.
26 Desemba, 2025

Somalia yasifu msaada wa Uturuki katika kufanikisha uchaguzi wa kihistoria Mogadishu

Nigeria yathibitisha mashambulizi ya Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh

Polisi akataa rushwa ya dola $50,000 katika uwanja wa ndege nchini Zambia

Uturuki, Libya kufanya uchunguzi wa pamoja wa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa majeshi, wengine saba

Waendesha mashtaka Uturuki kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali ya ndege ya Libya Ankara
25 Desemba, 2025
Wakazi wa Mogadishu wapiga kura kuchagua viongozi wa mitaa
Kupiga kura moja kwa moja kunarejesha sauti ya raia katika uamuzi wa uongozi wa maeneo yao.

25 Desemba, 2025
Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro
“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

25 Desemba, 2025
Watu 11 wakamatwa kufuatia mauaji ya risasi katika mgahawa Afrika Kusini
“Tume fanikiwa kuwakamata washukiwa 11 wanaohusishwa moja kwa moja na shambulio la risasi lililoua watu tisa Bekkersdal,” alisema Naibu Kamishna wa Polisi wa Mkoa, Meja Jenerali Fred Kekana.

25 Desemba, 2025
Mauritania yazindua warsha ya pili ya ufundishaji wa lugha ya Kituruki
Ufundishaji wa lugha ya Kituruki ni nyenzo muhimu ya kukuza maelewano ya kielimu na kitamaduni kati ya mataifa, na ni daraja la kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu kati ya Türkiye na Mauritania.

25 Desemba, 2025
Bunge la Algeria lapitisha sheria inayoharamisha ukoloni wa Ufaransa
Sheria hii inatamka wazi kuwa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria ulikuwa uhalifu wa dola uliokiuka haki za binadamu, utu na maadili ya kimataifa.

25 Desemba, 2025
Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara
Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.

25 Desemba, 2025
Watu kadhaa wauawa baada ya mlipuko katika msikiti jimboni Borno
Mlipuko ulitokea ghafla wakati wa sala ya jioni, watu walikimbia huku wengine wakiwa wameanguka chini.

24 Desemba, 2025
Tembo wauwa watu wanne nchini Kenya
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa baadhi ya tembo waliohusika walikuwa na majeraha ya mishale na mikuki, jambo linaloashiria kuwapo kwa makabiliano kati ya binadamu na wanyamapori.

24 Desemba, 2025
RSF yatangaza kudhibiti maeneo mawili katika jimbo la Darfur Kaskazini, Sudan
Vikosi vyetu vimefanikiwa kudhibiti kikamilifu maeneo ya Abu Qamra na Ambro baada ya operesheni zilizofanywa kwa ufanisi.

24 Desemba, 2025
Waziri wa Ulinzi wa Uturuki awafariji maafisa wa Libya na familia zao jijini Ankara
Tunatoa pole za dhati kwa familia za marehemu na kwa wananchi wote wa Libya. Uturuki inasimama pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.



