Cyril Ramaphosa amsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Usalama ya Afrika Kusini

Kusimamishwa kwa Fazel kunakuja katikati ya sakata la tuhuma mbalimbali zinazolikabili jeshi la polisi la nchi hiyo pamoja na idara ya usalama hususani zile zinazomkabili kamishna wa Polisi wa eneo la KwaZulu-Natal, Nhlanhla Mkhwanazi mwezi Julai.
16 Oktoba, 2025
Umoja wa Afrika waifungia kwa muda Madagascar baada ya mapinduzi

Mwenyekiti wa Tume ya AU Mahamoud Ali Youssouf anasema kuwa kusimamishwa huko kutakuwa na athari mara moja.
16 Oktoba, 2025
Bunge la Afrika Mashariki lachagua wajumbe maalumu wa kupambana na ufisadi, kukuza uwajibikaji

Uchaguzi huo umefanyika katika kikao cha bunge hilo kilichofanyika katikati ya wiki jijini Arusha, Tanzania.
16 Oktoba, 2025
Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar asema ‘anachukua nafasi ya urais’

Ofisi ya Rais aliyeondolwa madarakani wa Madagascar imelaani “hatua haramu” iliyotolewa na kikosi cha kijeshi kuhusu kusimamishwa kutumika kwa katiba.
15 Oktoba, 2025

Safari ya Luhaga Mpina kuwania Urais wa Tanzania yafikia mwisho

Afrika yamuomboleza waziri mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga

Waziri Mkuu wa zamani Kenya, Raila Odinga, 80, afariki

Takriban watu saba wauawa kwenye mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za RSF nchini Sudan

Afrika Kusini yafuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Rwanda
14 Oktoba, 2025
Jeshi la Madagascar laweka pembeni katiba, latangaza kipindi cha mpito cha miaka miwili
Kikosi maalum cha kijeshi cha CAPSAT, kilitangaza Jumanne kusimamisha utekelezwaji wa Katiba na kuchukua mamlaka baada ya Bunge kumuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.

14 Oktoba, 2025
DRC na waasi wa M23 wasaini makubaliano ya kutekeleza usitishaji mapigano
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na makundi ya waasi, yakiwemo waasi wa M23, wamesaini makubaliano mjini Doha ya kuanzisha utaratibu wa kufuatilia utekelezaji wa usitishaji mapigano, serikali ya Kongo imetangaza Jumanne.

14 Oktoba, 2025
Jeshi lachukua nchi Madagascar
Jeshi la Madagascar limechukua mamlaka ya nchi hiyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumanne na kanali wa jeshi, baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbilia ughaibuni kufuatia mvutano kati yake na waandamanaji wa Gen Z na vikosi vya usalama.

14 Oktoba, 2025
Nini hatma ya Madagascar?
Maandamano nchini humo yalianza Septemba 25 na yalichochewa kwa kukatika mara kwa mara kwa huduma ya maji na umeme.

14 Oktoba, 2025
Miili ya waliokufa katika ajali ya boti Mombasa yaopolewa majini
Mashindano ya mashua yaliyofanyika yaliisha kwa msiba Ijumaa iliyopita jioni wakati mashua iliyokuwa imebeba washiriki ilipopinduka.

14 Oktoba, 2025
Ethiopia kuunda Tume ya nyukia
Mnamo Septemba, Ethiopia na Urusi zilitia saini mpango wa utekelezaji wa kuendeleza mradi wa nishati ya nyuklia nchini Ethiopia.

14 Oktoba, 2025
Bunge la Kenya limepitisha sheria ya mali ya crypto ili kuimarisha uwekezaji
Wabunge wa Kenya wamepitisha mswada wa kudhibiti mali za kidijitali kama vile sarafu za siri, mbunge mkuu alisema Jumatatu.

14 Oktoba, 2025
Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN
Takriban watu 300,000 wa Sudan Kusini wameikimbia nchi mwaka 2025, hasa kutokana na kuongezeka kwa migogoro, Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu ilisema Jumatatu.

14 Oktoba, 2025
Rais wa Madagascar anachelewesha kuhutubia taifa, anasema kitengo cha jeshi kinaapa kudhibiti vyombo
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amerudisha nyuma hotuba yake ya kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu, na hivyo kuzidisha sintofahamu juu ya mahali alipo baada ya siku kadhaa za maandamano ya kumtaka ajiuzulu.

13 Oktoba, 2025
Cape Verde yaandika historia kwa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza
Cape Verde iliichapa Eswatini mabao 3-0 siku ya Jumatatu na kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026, hatua inayoiwezesha kushiriki mashindano hayo ya kimataifa kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya taifa hilo.




