11 Oktoba, 2025

Takriban watu 60 waliuawa katika shambulizi dhidi ya Al-Fashir ya Sudan, wanaharakati wanasema

Al-Fashir inazingirwa na RSF wakati ikijitahidi kuteka ngome ya mwisho ya jeshi katika eneo la Darfur.

8e548a101b42414dc6a3378f07f379151cf759777c2d4977852fc26f22085a59

11 Oktoba, 2025

Botswana inatekeleza sheria mpya ya 24% ya umiliki wa ndani kwa migodi yote

Sheria hiyo ilipendekezwa mwaka jana kama sehemu ya rasimu ya sheria, lakini serikali ilikuwa haijasema ni lini itaanza kutekelezwa.

2025 10 10t114150z 1 lynxnpel990ld rtroptp 3 botswana economy

11 Oktoba, 2025

Mfalme wa Morocco atoa wito wa kufanyika mageuzi huku vuguvugu la vijana likisitisha maandamano

Vuguvugu la GenZ la Morocco linasema kuwa litasitisha kwa muda maandamano mwishoni mwa juma baada ya wiki mbili za maandamano ya kutaka mageuzi ya afya na elimu.

547d6742abedbee68025771fe87bd5a6774fdfc70cf713e88b8a04a45146c14d

10 Oktoba, 2025

Wanajeshi wauawa Nigeria wakikabiliana na mashambulizi ya kigaidi jimbo la Borno

Shambulizi hilo liliwalenga wanajeshi na magari yao, msemaji wa jeshi alisema.

513df8c64dd02cb27c7c6b99260f66a25e2fe2146fc9c360c62fe8b2159134c5

10 Oktoba, 2025

Burkina Faso yakataa pendekezo la kupokea waliotimuliwa kutoka Marekani

Burkina Faso imesema imekataa pendekezo kutoka kwa serikali ya Rais Trump la kuwapokea watu waliotimuliwa kutoka Marekani.

42fb855f3740666e49e9c7703e96be9bbe5ebe57e659d25d13bcc4d84c784e1c

10 Oktoba, 2025

Waandamanaji nchini Madagascar wamtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

Polisi wanatumia mabomu ya machozi, na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji.

8c9e44e567239f2f28b9c41070310ef2e6fce61d0cf6a80a2b5c750f799fc250

9 Oktoba, 2025

Tshisekedi wa DRC amtaka Kagame wa Rwanda ‘kukumbatia amani’ katika mkutano jijini Brussels

Rais Felix Tshisekedi ametoa wito kwa mwenzake wa Rwanda Paul Kagame “kukumbatia amani” na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

71513d56fd213a7546d14c999754bdbb865259953b4939dabd9be7dcfce08027

9 Oktoba, 2025

Tanzania katika mazungumzo na Marekani kuhusu sharti la dhamana ya viza

Tanzania imekuwa ni nchi ya hivi karibuni kuingizwa katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamewekewa masharti ya dhamana ya viza.

2025 10 09t071903z 2092711540 rc2x7ha68okz rtrmadp 3 usa finland main

9 Oktoba, 2025

Mashambulizi ya RSF katika hospitali yaua watu 20 huko Al-Fasher, Sudan

Mashambulizi ya wapiganaji wa Sudan RSF katika hospitali ya mji wa Al-Fasher yamewaua watu 20 ndani ya saa 24, vyanzo vya maafisa wa afya vimesema siku ya Jumatano.

b750c33b9f9362e8f0d12d19fa52679fef79347c3fafd0f4a740f247f6c7a10c

8 Oktoba, 2025

Upinzani CAR unasema hautoshiriki kwenye uchaguzi wa urais wa Disemba 2025

Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati unasema utasusia uchaguzi wa Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera anawania muhula wa tatu.

b71d988cbbfb179c778fcfcfc8cdf10801a1661229129c9c6a844b54d6e435e0
Inapakia...