Uingereza yawekea vikwazo mitandao ya biashara ya dhahabu ya RSF kwa kuchochea vita vya Sudan

Uingereza siku ya Alhamisi iliweka vikwazo dhidi ya kile ilichosema ni mitandao haramu ya biashara ya dhahabu na fedha inayochochea vita vya Sudan.
16 Julai, 2026
Iran yalaani shambulio la Marekani karibu na hospitali ya kutibu watoto wenye saratani

Iran imelitaja shambulio hilo kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kikatili” dhidi ya watoto, na imelilinganisha na mashambulizi ya Israel dhidi ya vituo vya huduma za afya.
16 Julai, 2026
Uingereza yaichunguza TikTok kuhusu hatua za usalama kwa watoto

Mamlaka ya Mawasiliano ya nchini Uingereza (Ofcom) imesema unachunguza iwapo TikTok inafanya vya kutosha kulinda watoto dhidi ya maudhui yenye madhara kama inavyotakiwa na sheria za Uingereza.
16 Julai, 2026
Mahakama Tanzania yafuta kesi iliyopinga ubunge wa Baba Levo

Baadhi ya malalamiko yaliyowasilishwa na wanachama wa chama cha upinzani ACT Wazalendo, ni pamoja na madai ya tuhuma za utekaji na rushwa.
16 Julai, 2026

Marekani yaipa Tanzania Dola milioni 1 kupambana na Ebola

Besigye, akataa mawakili walioteuliwa na mahakama kwa kesi yake ya uhaini

DR Congo yaunda baraza la ushauri ili kufuatilia uwajibikaji wa uhalifu wa kivita

Dangote aanza kuuza mafuta kwa Dola za Marekani nchini Nigeria kutokana na uhaba wa mafuta ghafi

Trump abadili msimamo kuhusu Hormuz, badala ya ushuru ataka mikataba ya biashara na nchi za Ghuba
14 Julai, 2026
Kenya yatangaza kupunguza kodi kwa miezi mitatu kwa petroli ili kupunguza gharama za biashara
Kenya, ambayo huagiza bidhaa zake zote za petroli zilizosafishwa, bado inakabiliwa na mabadiliko makubwa katika masoko ya mafuta ya kimataifa na gharama za usafirishaji.

14 Julai, 2026
EU yalenga biashara ya dhahabu ya Sudan kwa vikwazo vipya
Dhahabu ni mojawapo ya mauzo ya nje yenye thamani kubwa zaidi ya Sudan na imekuwa chanzo muhimu cha mapato kwa pande zote mbili katika mgogoro huo.

14 Julai, 2026
Serikali ya Tanzania yasikitishwa na makala ya BBC Africa Eye
Msingwa alisema kuwa makala hiyo imejenga picha mbaya kwa nchi bila serikali kupewa nafasi sawa ya kusikilizwa kama inavyotakiwa katika msingi wa taaluma ya uandishi wa habari.

14 Julai, 2026
Tanzania yakamata dhahabu ya Bilioni 1.3 ikitoroshwa nje ya nchi
Ni Vipande 163 vya dhahabu vyenye uzito wa gramu 4434.6

14 Julai, 2026
Chuo cha Oxford kuanza jaribio la kwanza la chanjo kwa binadamu inayolenga Ebola aina ya Bundibugyo
Ikifanikiwa, chanjo hiyo itakuwa ya kwanza kuandaliwa mahususi dhidi ya aina ya virusi vya Bundibugyo, ambayo kwa sasa haina chanjo iliyoidhinishwa.

13 Julai, 2026
Polisi Afrika Kusini wachunguza kifo cha mchezaji wake wa timu ya taifa Jayden Adams
Mwili wa kiungo huyo ulipatikana Jumamosi asubuhi katika nyumba iliyopo kwenye Barabara ya Military Road, eneo la Schotsche Kloof jijini Cape Town.

13 Julai, 2026
Trump: Marekani itailinda, kuisimamia Hormuz, na kulipwa kwa kufanya hivyo
Rais Trump anasema Marekani inapaswa kusimamia njia hiyo muhimu ya Mlango-Bahari wa Hormuz na kulipwa fidia, huku mivutano na Iran ikitishia usambazaji wa nishati duniani.

13 Julai, 2026
Ebola yasambaa katika mikoa mingine miwili nchini DRC
Mamlaka ya afya imesema majimbo ya Haut-Uele na Tshopo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo sasa yametangazwa kuwa maeneo ya mlipuko baada ya kurekodi maambukizi yao ya kwanza ya Ebola yalivyothibitishwa

13 Julai, 2026
Mahakama ya Sudan yamhukumu kiongozi wa RSF, Mohamed Dagalo, adhabu ya kifo bila kuwepo mahakamani
Mahakama ya Sudan imemhukumu kifo kiongozi wa kijeshi Mohamed Hamdan Dagalo na wengine 15 bila kuwepo kwa mashtaka ya mauaji ya gavana wa eneo hilo na kufanya uhalifu wa kivita huko Darfur.

13 Julai, 2026
Angola yaruhusu utumiaji wa Yuan kwa mahitaji ya akiba ya sarafu za kigeni
Dola ya Marekani inasalia kuwa sarafu kuu ya akiba duniani, lakini hatua kama hii zinaonyesha kwamba Yuan inazidi kupata umaarufu—hasa katika nchi zenye uhusiano wa karibu wa kiuchumi na China



