21 Agosti, 2025

Uganda yakubali kupokea wahamiaji walionyimwa kuingia nchini Marekani

Mpango huo unahusisha watu wenye rekodi za uhalifu, watoto wasio na walezi, na wale wanaosita kurudi makwao, kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

e555234f549cd700fb72cbcd18e9276149f9c5cabeef8ffc671f21ab7591ac6b

21 Agosti, 2025

Sudan yaanza kuijenga upya Khartoum huku vita vikiendelea

Umoja wa Mataifa (UN) inakadiria kuwa ukarabati wa miundombinu muhimu ya mji mkuu utahitaji karibu dola milioni 350, wakati ujenzi mzima wa Khartoum “utachukua miaka.”

sudan daily life 50623

21 Agosti, 2025

Uganda yafanya makubaliano na Trump ya kupokea wahamiaji kutoka Marekani

Uganda inakuwa nchi ya Afrika ya mwisho kukubali wahamiaji waliotimuliwa kutoka Marekani baada ya Eswatini, Sudan Kusini na Rwanda.

f91fb637 ca6e 4126 9de0 d914823e66dc

21 Agosti, 2025

47 wafariki huku maelfu wakiachwa bila makazi kufuatia mafuriko nchini Niger

Maelfu ya watu wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko ambayo yameharibu nyumba na kuua mifugo, kama ilivyosemwa na mamlaka.

e41edb193e1c7827bf87a92be95b82de020b539605c235fb02d8d959f9c42075

20 Agosti, 2025

Watu wasiopungua 22 wanaaminika kufariki katika ajali ya boti Nigeria

Watu wasiopungua 22 wanaaminika kufariki baada ya boti kuzama kaskazini magharibi mwa Nigeria, shirika la huduma ya dharura la nchi hiyo limesema siku ya Jumatano.

aac9d7628b505147326aeac39bda68020b7cad4e9c79e5e2455858449928f0cd

20 Agosti, 2025

Mkuu wa UN asema Afrika lazima ifaidike kwanza na madini yake muhimu

Watu milioni 600 barani Afrika bado hawana umeme, Guterres aliuambia mkutano wa Tokyo

96c13037cf703befce798eb85c3710751f22242eb3f0229b621265dd6f2ee828

20 Agosti, 2025

Idadi ya vifo yafikia 30 katia shambulio la msikiti Nigeria

Serikali imesema kuwa mashirika ya usalama yamepelekwa katika eneo hilo ili kurudisha utulivu.

7ea9f383360d6a6ea368c3837e2d0907dbce59d639936c0ee2a0dfdb419c108b

20 Agosti, 2025

Uturuki yaongeza juhudi za kupatikana kwa ‘Libya yenye umoja’

Uturuki inaunga mkono juhudi za majadiliano nchini Libya zenye lengo la kuimarisha umoja wa taifa hilo na uhuru wake.

1dd13a97ac613bb4bd80ed1170e9140cb65fd599138903d5201a478da9317470

20 Agosti, 2025

Tanzania: Chama cha CCM kufanya mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge, viti maalumu

Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu ambao utahusisha mchakato wa kumchagua rais, wabunge, madiwani na wajumbe wa baraza la wawakilishi, Oktoba 29, 2025.

1d41ee65582a510cb803f25b1050bb5d8f983aaf61916c84aa3a14eb009d4d86

20 Agosti, 2025

Kanya yazindua mradi wa dola milioni 165.5 kurejesha Msitu wa Mau

Msitu wa Mau ndio chanzo kikubwa zaidi cha maji nchini Kenya na mfumo muhimu wa ikolojia katika Afrika Mashariki.

efbfd4d4d9a5f26463bb8cfe2f2d18d9b96a5d91d4b50ce2684a24321e4f0a91
Inapakia...