20 Desemba, 2025

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” Sudan

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” katika mzozo wa Sudan

1766171615121 ii898a ad92ff1fdd429d63974825c0fd6cac9777841c7a6c8dfa26150a9bbc0925290f

19 Desemba, 2025

Mjumbe wa UN anasema usalama bado ni tete Tripoli, magharibi mwa Libya

Hanna Tetteh ametoa wito ‘kwa wadau wote kufanya kazi pamoja kwa lengo la kutekeleza masuala ya usalama, mabadiliko muhimu ili kupata uthabiti’

c5d04d96350683d03dd4f14252770c843b63d3d3648de37da6d8027e5aa25d66

19 Desemba, 2025

WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023

b5ce9fe874e4bb0ae4c1157657091de7b05fa39ecbc2959522b11a59a42da3a4

19 Desemba, 2025

Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan

a89cc17f98fffcfb024dff85767814881c966043498bbf0cbd13fe7f04c1ec20

19 Desemba, 2025

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa waondoka Kadugli baada ya shambulio dhidi ya walinda amani

Shambulio la droni la RSF limeua walinda amani sita kutoka Bangladesh na wengine wanane kujeruhiwa, tarehe 13 Disemba.

602f9b9fd62b214040564b283063b7f1d55f5ee195b3e6b28f9cc3485e27c8ef

19 Desemba, 2025

Nigeria yafungua upya shule 47 za serikali zilizofungwa kufuatia utekaji wa wanafunzi

Katika miezi ya hivi karibuni, vikundi vya wanamgambo vimekuwa vikilenga shule za bweni, wakiteka wanafunzi na wafanyakazi, wakati mwingine kwa ajili ya fidia, na kusababisha kukatizwa kwa masomo.

990d3cac78dae960d163f8ed659ee67b6316298911e8c2ecc09de42a1f702aba

19 Desemba, 2025

Majasusi wa M23 wasalia Uvira, DRC, licha ya majeshi kuondoka, wanasema wenyeji

Wakala wa M23 waliovalia kiraia wameendelea kuwepo mjini Uvira, kama ilivyosemwa na vyanzo vya ndani na usalama, baada ya waasi hao kutangaza kuwa wameanza kujiondoa katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

4c965f9fa65d6e5bc8ecf345c54f61b97e8ddfcab88e747c9f482ffd486d94db main 1 2

18 Desemba, 2025

Zaidi ya raia 50,000 wameondoka katika makazi yao eneo la Kordofan, Sudan sababu ya usalama: UN

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu uhamiaji limerekodi matukio 39 ambayo yamesababisha watu kuondoka kwenya makazi yao kutoka eneo la Kordofan tangu Oktoba 25

7d46e85a0b6a3049d935ad05378057ab6a5a08139c19dcfb65ca3b01bc57e99e

18 Desemba, 2025

Burkina Faso, Mali, Niger yaanzisha benki ya uwekezaji kufadhili miradi ya miundombinu

Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES), yanayojumuisha Mali, Burkina Faso na Niger, yameanzisha benki ya uwekezaji siku ya Jumatano kufadhili miradi mikubwa ya miundombinu na kiuchumi kote katika kanda.

664ce4d26512b200b476462ec7818153f1ad34a1d0758dfe1f53c06444be8763

18 Desemba, 2025

Mapato ya Mauzo ya Nje Uganda Yakaribia Kuongezeka Maradufu kutokana na Kahawa na Dhahabu

“Mapato ya Uganda kutokana na mauzo ya bidhaa nje yameongezeka kwa kiasi kikubwa, yakichochewa na kahawa, kakao na dhahabu,” imesema ripoti ya Wizara ya Fedha.

163
Inapakia...