13 Agosti, 2025

Afrika Kusini yaeleza ripoti ya Marekani kuhusu haki kuwa ‘siyo sahihi

Afrika Kusini imeielezea ripoti hiyo “kuwa na mapungufu” ambayo Marekani inasema hali ya haki za binadamu Afrika Kusini “imekuwa mbaya” , siku chache baada ya serikali ya Trump kuiwekea ushuru wa asilimia 30 kwa bidhaa zao nyingi wanazouza nje.

8c07b5f7ace9d132ed2a725881d957afa9335d74d52b786dfc353bf7da5863e7

13 Agosti, 2025

Zimamoto yapambana kuzima moto katika msitu kaskazni mwa Morocco

Morocco imekuwa na matukio ya moto wa msituni 382 mwaka 2024, na kusababisha uharibifu wa hekta karibu 874

a5c2dedc1ca2ab7789cbb3c556f4a9e2622078207df9068ccd3e37c17fff052f

13 Agosti, 2025

Sudan Kusini yakanusha mazungumzo na Israel kuhusu kuwapa makazi Wapalestina

Madai hayo ‘hayana msingi na hayaashirii msimamo au sera rasmi’ ya serikali, Wizara ya Mambo ya Nje imesema

fc162bebec35e6d3e89605a494e605ff34116bb4a65610a5e010b536ecc5bcce

13 Agosti, 2025

Kenya yafanya mazungumzo na Iran ya kuondoa marufuku ya kununua chai yake

Iran ilipiga marufuku ununuzi wa chai kutoka Kenya ikichochewa na madai ya biashara mbovu ya uhalifu iliyohusisha kampuni moja ya Kenya.

e9b35824d37315e84a7e3c7becebcdd2810110e20aeb68bef4617dbdefb304af

13 Agosti, 2025

Marekani yaiwekea vikwazo kundi la wapiganaji, makampuni ya uchimbaji madini haramu nchini DRC

Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya kundi lenye silaha linaloshirikiana na jeshi la Congo pamoja na kampuni ya uchimbaji madini nchini humo na wafanyabiashara wawili kutoka Hong Kong kwa kutumia silaha na uuzaji wa madini haramu.

1755076568257 sq8ml e14e291f01c67c7f42483043af7e65bf6cbc02febd13e119ae6ace0924f3d11a

13 Agosti, 2025

Ufaransa inakiri ‘kuvuruga amani ya Cameroon’ baada ya ukoloni

Kati ya 1956 na 1961, vita vya Ufaransa dhidi ya uhuru wa Cameroon viligharimu “makumi ya maelfu ya maisha” na kuwaacha mamia kwa maelfu kuyahama makazi yao, ripoti rasmi ilisema.

21ea6cd8e1ec1db4dbb8d3179daedc1b1aaa13ba568018257c2218a1b0446ee3

13 Agosti, 2025

Maelfu ya watu wamehamishwa kusini mwa Sudan kutokana na mapigano mapya kati ya jeshi na RSF

Maelfu ya wananchi wamepokonywa makazi yao katika Kadugli na El-Fasher kusini mwa Sudan kutokana na mapigano mapya kati ya jeshi na kikosi cha paramilitari cha RSF.

e532e2fce1689a6796430e7533f455be67c01a580c64ffd1a184f84c6ee38e55 main

13 Agosti, 2025

Sisi anasema maji ya Nile ni ‘uhai halisi’ wa Misri, anataka ushauri kuhusu matumizi yake

Rais wa Misri Abdel Fattah el Sisi alikataa hatua zozote za upande mmoja kwenye Mto Nile, akitoa onyo kwamba yeyote anayeamini kuwa Misri itapuuza haki zake za maji “amekosea.”

2025 04 07t085300z 748960327 rc2wsdalox0k rtrmadp 3 israel palestinians egypt macron main

12 Agosti, 2025

Mzize ‘Goal Machine’: Mshambulizi mwenye ari kubwa aliyelenga macho kwa ubingwa wa CHAN

Kwa Tanzania, ulikuwa ni zaidi ya ushindi—ulikuwa ushindi wa tatu mfululizo wa hatua ya makundi na tikiti ya kihistoria ya kutinga hatua ya robo fainali ya Mashindano ya TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) 2024.

a157f96e772bffd9b09b0872dd9d8eeb10b2d5a42c095f0d8ab67477a41e5bdd

12 Agosti, 2025

Wanaoshukiwa kuwa waandamanaji wachoma jengo la serikali Afrika Kusini

Waziri wa Mambo ya Ndani Leon Schreiber anasema idara inakusanya ushahidi na itaandaa mashtaka ya jinai dhidi ya wale waliohusika

25cdddb3b8f70aa94b1de738b6598b803ad37b56e4449a5c864d2a9c52bd96a0
Inapakia...