18 Septemba, 2025

Misri yasema bangili ya dhahabu yenye umri wa miaka 3,000 iliibiwa na kuyeyushwa

Wizara hiyo ilisema washukiwa walikamatwa na mapato kutokana na mauzo hayo, yenye thamani ya takriban pauni 194,000 za Misri ($4,000).

b827fac6133ed74996824adc682dd19c8f39149cfd20f9373bc0709b252126d5

18 Septemba, 2025

Tofauti ya uchaguzi wa Tanzania 2025

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi , kuna jumla ya wapiga kura 37,655,559 waliojisali, ikiwa ni ongezeko la asilimia 26 ikilinganishwa na idadi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

4ad48dbeb77368c3787597946246c94754b610490d5a7fb341251b09b2b3c256

18 Septemba, 2025

Ghana kupokea wahamiaji 40 zaidi wa Afrika Magharibi waliotimuliwa kutoka Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje amesema uamuzi wa Ghana uliongozwa na masuala ya kibinadamu baada ya kuchunguza matendo magumu ya watu waliofukuzwa nje ya nchi.

a0bbc3abb76e4e39cb3718e4c4be852ec0945c921197dd7b34b47e9d7d56bdab

18 Septemba, 2025

Wakimbizi 61 kutoka Sudan wafa maji katika ajali ya meli Libya: Ripoti ya UNCHR

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi limesema ni watu 13 pekee walionusurika baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi 74 kutoka Sudan kuzama katika pwani ya Libya.

99cdb6a467c2c4274e2b3bd51901d5cd812876edc7e1b003ea3c3da3c6e088a5

17 Septemba, 2025

Vurugu Niger: Wenyeji waliuawa wakati wa sherehe ya ubatizo

Mashambulizi haya yametokea katika mkoa wa Tillaberi, karibu na Burkina Faso na Mali, ambapo vikundi vya watuhumiwa vinavyohusishwa na Al-Qaeda na Daesh viko hai.

dd3658b7da8e284374f293fef9e48d00e7cf3ed70661c3361e084e67f77d87d7

17 Septemba, 2025

Raia wa Malawi wanasubiria matokeo ya uchaguzi wa urais uliokuwa na ushindani mkali

Matokeo kutoka vituo vya upigaji kura yanatumwa katika vituo vya kuhesabu kura za majimbo kabla ya kutumwa katika kituo kikuu cha kuhesabu kura.

malawi elections 45605

17 Septemba, 2025

Ndege isiyokuwa na rubani yawajeruhi wanafunzi nchini Rwanda

Kulingana na jeshi la Taifa la Rwanda, UAV hiyo ilikuwa sehemu katika mazoezi ya kawaida

5aa9c8d452faa1e5f82615b5fc54f89e1652456005d2098e653affd181babd10

17 Septemba, 2025

Kenya yatoa hati ya kukamtwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Mkenya mwaka 2012

Mwaka 2012, Agnes Wanjiru alipatikana akiwa amefariki ndani ya tanki la majitaka katika Hoteli ya Lion’s Court katikati ya mji wa Nanyuki, baada ya kuonekana kwa mara ya mwisho akiwa na kundi la wanajeshi wa Uingereza katika hoteli hiyo.

e555178856115c3800cd99597890985c1e1c4e3c8f511e459bffc0f47821844b main

17 Septemba, 2025

Uganda kukopa zaidi ya dola milioni 350 kuendesha miradi yake

Mkopo huo ni kwa ajili ya kuunganisha gridi ya umeme na taifa jirani la Sudan Kusini.

796e637b4f95e387cfc7fa470edbf33f3dbde7e093bd46fbcae78e8fb7e3c42d

17 Septemba, 2025

Mahakama ya Afrika Kusini yatupa nje kesi ya kukataza mwili wa Lungu kurudishwa Zambia

Mahakama kuu nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya familia ya marehemu Rais wa Zambia Edgar Lungu iliyotaka kusimamisha kurejeshwa kwa mwili wake Zambia kwa mazishi.

zambia ex president s funeral 69898 main
Inapakia...