30 Julai, 2025

Asasi za kiraia Tanzania zatakiwa kuzingatia sheria: Tume ya Uchaguzi

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi amesisitiza kuwa katika kipindi cha uchaguzi Tume itafanya kazi kwa karibu na taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura.

d62a85f647b324c060da5c7ad1fea7789e9dd5263b7bcdec077d8ca7881bd135

30 Julai, 2025

Umoja wa Afrika unasema hautambui serikali ya kando ya Sudan

Umoja wa Afrika unazitaka nchi zote wanachama na jumuiya ya kimataifa kukataa kugawanyika kwa Sudan na kutoitambua serikali mpya iliyojitangaza.

1753860707313 vqoh5c 8f49189161cf82c883a55d7818aa3f5905997b043dd67e34a908cd519ce15770

30 Julai, 2025

Mawaziri waidhinisha ubinafsishwaji wa kampuni ya usambazaji mafuta Kenya – KPC

Miongoni mwa makampuni yanayomilikiwa na serikali KPC imedumisha faida kubwa lakini inasalia kutatizwa na uzembe katika urasimu.

0cc9f8fb0e91bb1d0238813e0a0b03a652963310b7f29c3380d2be595f40bdc3

30 Julai, 2025

Rais wa Kenya asaini sheria mbili mpya zitakazosaidia kudhibiti rushwa

Mswada wa Ulinzi wa Jamii, 2025, na Mswada wa Mgongano wa Maslahi, 2025 zinatarajiwa kunaleta enzi mpya ya uwajibikaji na uwazi katika utumishi wa umma

9151738aabd8c539a16b787405cf51bbc57034e1b7dee1d3c319ac1b2cb07b3b

30 Julai, 2025

Watu kadhaa waliuawa baada ya askari wa Uganda, Sudani Kusini kupigana karibu na mpaka

Jeshi la Uganda limepigana na majeshi ya silaha nchini Kusini mwa Sudan, na kusababisha vifo na majeraha, ofisiali wa jeshi wakasema Jumanne.

2025 06 13t070630z 1 lynxmpel5c0aw rtroptp 3 southsudan aid fogbow 1 main

30 Julai, 2025

Afrika Kusini itatafuta masoko mapya ya madini kushindana na Marekani

Afrika Kusini itahitaji kutafuta masoko mbadala kwa bidhaa zake muhimu za madini ikiwa Marekani itaweka kodi kali, waziri wa madini wa nchi hiyo amesema.

2025 05 13t134933z 1 lynxmpel4c0oj rtroptp 3 safrica energy main

29 Julai, 2025

Rwanda yawekeza dola milioni 25 katika uwanja mpya wa mpira wa vikapu

Kituo cha Michezo cha Zaria Courts mjini Kigali kitajumuisha maeneo ya viwanja vya mpira wa vikapu, vifaa vya mafunzo ya michezo, maeneo ya kuuza bidhaa na maeneo ya kuonyesha mitindo ya maisha.

e0be9d32fa5b1c0745a01f41da6330f5ac6ddbf3369528cc20e9194308ccd813

29 Julai, 2025

Majaliwa atoa wito wa kutatua changamoto za uwekezaji Afrika na Karibi

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa wito wa kutatuliwa kwa changamoto za uwekezaji kati ya bara la Afrika na visiwa vya Karibi.

4441f642f847b431ddbc52bc9922a82a6a6713910eeb03c469c0ee03184a0ce7

29 Julai, 2025

Mkenya Stephen Munyakho, aliyeachiliwa kutoka gereza la Saudia arudi Kenya

Stephen Abdulkareem Munyakho, alinusurika kunyongwa baada ya kukaa jela miaka 14 Saudi Arabia kwa kosa la mauaji.

82e733ba96f784e968668ece1821b161807ccb5a1dea53972826359af64be5f3

29 Julai, 2025

Ripoti ya UN inaonyesha ongezeko la kutisha la uhaba wa chakula barani Afrika licha ya maendeleo

Ripoti hiyo ni ya hivi punde kupendekeza kwamba kuondoa uhaba wa chakula ulimwenguni kote bado ni changamoto kubwa. Afrika inasalia kuwa bara hatari zaidi.

7bde022ff0457a8bf99f3e135fba1960c68b030a0d626f7ef6c79f6ffb783b51
Inapakia...