Mauaji ya Simba wa utafiti yazua utata nchini Zimbabwe

Hii ni baada ya mwindaji mmoja nchini humo kumuua Simba anayedaiwa kutumika kwa utafiti wa wanyamapori.
31 Julai, 2025
Jumuiya ya EAC yazitaka nchi wanachama kuheshimu mpango wa soko la pamoja

Tamko hilo linakuja siku chache baada ya Tanzania kupiga marufuku raia wa kigeni kumiliki na kuendesha biashara ndogondogo, hatua iliyozua wasiwasi na upinzani kutoka nchi jirani ya Kenya.
31 Julai, 2025
Osimhen arudi rasmi Galatasaray baada ya kumalizana na Napoli

Hatua hiyo inakuja baada ya mazungumzo ya muda mrefu na Napoli, baada ya nyota huyo Mnigeria kuichezea Galatasaray kwa mkopo, msimu uliopita.
31 Julai, 2025
Somalia yashurutisha matumizi ya vitambulisho vya taifa katika shughuli za kibenki

Hatua hiyo inalenga kupambana na uhalifu wa kifedha na kurejesha imani ya umma katika taasisi za fedha, Benki Kuu ya Somalia imesema.
31 Julai, 2025

Serikali ya Kenya yalalamika kuhusu masharti mapya ya biashara Tanzania

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Sudan wajadili juhudi za kutafuta amani nchini Sudan

Tuko tayari kwa CHAN, Uganda yasema

Watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kipindupindu Afrika Magharibi na Kati: UNICEF

Takriban wanajeshi sita wameuawa katika mapigano ya mpaka kati ya Sudan Kusini na Uganda
30 Julai, 2025
Asasi za kiraia Tanzania zatakiwa kuzingatia sheria: Tume ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi amesisitiza kuwa katika kipindi cha uchaguzi Tume itafanya kazi kwa karibu na taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura.

30 Julai, 2025
Umoja wa Afrika unasema hautambui serikali ya kando ya Sudan
Umoja wa Afrika unazitaka nchi zote wanachama na jumuiya ya kimataifa kukataa kugawanyika kwa Sudan na kutoitambua serikali mpya iliyojitangaza.

30 Julai, 2025
Mawaziri waidhinisha ubinafsishwaji wa kampuni ya usambazaji mafuta Kenya – KPC
Miongoni mwa makampuni yanayomilikiwa na serikali KPC imedumisha faida kubwa lakini inasalia kutatizwa na uzembe katika urasimu.

30 Julai, 2025
Rais wa Kenya asaini sheria mbili mpya zitakazosaidia kudhibiti rushwa
Mswada wa Ulinzi wa Jamii, 2025, na Mswada wa Mgongano wa Maslahi, 2025 zinatarajiwa kunaleta enzi mpya ya uwajibikaji na uwazi katika utumishi wa umma

30 Julai, 2025
Watu kadhaa waliuawa baada ya askari wa Uganda, Sudani Kusini kupigana karibu na mpaka
Jeshi la Uganda limepigana na majeshi ya silaha nchini Kusini mwa Sudan, na kusababisha vifo na majeraha, ofisiali wa jeshi wakasema Jumanne.

30 Julai, 2025
Afrika Kusini itatafuta masoko mapya ya madini kushindana na Marekani
Afrika Kusini itahitaji kutafuta masoko mbadala kwa bidhaa zake muhimu za madini ikiwa Marekani itaweka kodi kali, waziri wa madini wa nchi hiyo amesema.

29 Julai, 2025
Rwanda yawekeza dola milioni 25 katika uwanja mpya wa mpira wa vikapu
Kituo cha Michezo cha Zaria Courts mjini Kigali kitajumuisha maeneo ya viwanja vya mpira wa vikapu, vifaa vya mafunzo ya michezo, maeneo ya kuuza bidhaa na maeneo ya kuonyesha mitindo ya maisha.

29 Julai, 2025
Majaliwa atoa wito wa kutatua changamoto za uwekezaji Afrika na Karibi
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa wito wa kutatuliwa kwa changamoto za uwekezaji kati ya bara la Afrika na visiwa vya Karibi.

29 Julai, 2025
Mkenya Stephen Munyakho, aliyeachiliwa kutoka gereza la Saudia arudi Kenya
Stephen Abdulkareem Munyakho, alinusurika kunyongwa baada ya kukaa jela miaka 14 Saudi Arabia kwa kosa la mauaji.

29 Julai, 2025
Ripoti ya UN inaonyesha ongezeko la kutisha la uhaba wa chakula barani Afrika licha ya maendeleo
Ripoti hiyo ni ya hivi punde kupendekeza kwamba kuondoa uhaba wa chakula ulimwenguni kote bado ni changamoto kubwa. Afrika inasalia kuwa bara hatari zaidi.


