Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imeruhusu wanaume kuchukua majina ya ukoo ya wake zao

Katika uamuzi wake wa Alhamisi, Mahakama Kuu ya Afrika Kusini iligundua kuwa kipengele fulani cha sheria kinahusiana na ubaguzi wa kijinsia usio wa haki.
11 Septemba, 2025
Hospitali ya Recep Tayyip Erdoğan: Daraja la afya na undugu nchini Somalia

Hospitali hii pia imekuwa daraja katika safari ya Somalia kuelekea ustawi wa kudumu, ikipiga jeki ufufuaji wa mfumo dhaifu wa afya uliodorora kwa miongo kadhaa kutokana na vita vya ndani na miundombinu dhaifu na isiyotosha.
11 Septemba, 2025
Ghana imepokea Wanigeria waliotimuliwa Marekani, rais anasema

Rais John Mahama amewaambia waandishi wa habari kuwa Ghana ilikubali kupokea raia kutoka Afrika Magharibi, ambapo makubaliano ya kikanda yanaruhusu kusafiri bila visa.
11 Septemba, 2025
Raia wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la utekaji nyara Afrika Kusini

Mamlaka ya Mashtaka ya Kitaifa (NPA) imepongeza hukumu hiyo kama hatua muhimu katika vita dhidi ya biashara haramu ya binadamu nchini Afrika Kusini.
10 Septemba, 2025

Nchi za Afrika zalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Qatar

Kesi ya Joseph Kony yaendelea ICC bila mwenyewe kuwepo

Rwanda kubadilisha sheria ya matumizi ya barabara

Misri inapinga kuanzishwa kwa bwawa la Ethiopia, inaandika kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Meli ya msaada ya Tunisia inayoelekea Gaza inaripoti shambulio la pili la ndege isiyo na rubani
9 Septemba, 2025
Samia: Chagueni mafiga matatu
Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania, unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, huku CCM kikimsimamisha kwa mara ya kwanza, mgombea mwanamke katika nafasi ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

9 Septemba, 2025
Gombo wa CUF aahidi ‘kuwapunguzia’ Watanzania makali ya maisha
Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu wake Oktoba 29, 2025.

9 Septemba, 2025
Mgombea Urais aahidi kufuga mamba Ikulu
Kwa mujibu wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC), jumla ya vyama vya siasa 18 vitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, huku vyama 17 vikisimamisha wagombea Urais.

9 Septemba, 2025
ICC kuwasilisha ushahidi kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Joseph Kony wa Uganda
Kinachojulikana kama uthibitisho wa kusikilizwa kwa mashtaka kinakuja miongo miwili baada ya ICC kutoa hati ya kukamatwa kwa Joseph Kony kwa madai ya uongozi wake wa kundi la kikatili la waasi.

9 Septemba, 2025
Ethiopia yazindua bwawa kubwa la kuzalisha umeme kwa maji licha ya upinzani mkali wa Misri
Utafiti huru unaonyesha kuwa kufikia sasa, hakuna usumbufu mkubwa wa mtiririko wa maji uliorekodiwa – kwa sehemu kutokana na mvua nzuri na kujazwa kwa uangalifu kwa hifadhi wakati wa misimu ya mvua katika kipindi cha miaka mitano.

8 Septemba, 2025
Afrika yatoa wito wa uwezkezaji katika sekta ya hali ya hewa na suluhisho zinazoongozwa na Afrika
Mkutano wa siku tatu wenye kaulimbiu “Kukuza Haraka Suluhisho za Hali ya Hewa Duniani: Ufadhili kwa Maendeleo Endelevu na Yenye Mazingira Safi Afrika” ulianza kwa sherehe ya kupanda miti katika viwanja vya ukumbi wa mkutano.

8 Septemba, 2025
Mahakama ya ICC kuanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony
Kony anakabiliwa na mashitaka 39 ya uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinadamu, yakiwemo mauaji, ubakaji, utumwa wa kingono, na utekaji wa watoto.

8 Septemba, 2025
Balozi wa UN afanya mazungumzo na Haftar wa Libya kuhusu serikali moja ya mpito
Umoja wa Mataifa umekuwa umekuwa ukisisitiza kuwepo kwa makubaliano nchini Libya ili kupisha maandalizi ya uchaguzi.

8 Septemba, 2025
Misri imerejelea wito kwa Israel kukubali pendekezo la kusitisha mapigano Gaza
Misri imewataka Israeli tena kukubali mapendekezo ya mara kwa mara ya kusimamisha vita katika Ghaza, huku ikiwakashifu kwa nguvu uvamizi unaoendelea wa Israeli dhidi ya Wapalestina.

8 Septemba, 2025
Waasi wa M23 wauteka tena mji wa mashariki mwa DRC huku mazungumzo ya amani yakikwama
Waasi wa M23 wameuteka tena mji wa Shoa katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC baada ya mapigano na vikosi vinavyounga mkono serikali, wakaazi walisema Jumapili.




