Sudan Kusini yamrejesha Mexico mhamiaji waliyempokea kutoka Marekani

Sudan Kusini inasema Mexico ilikuwa imetoa hakikisho kwamba aliyefukuzwa hatakabiliwa na mateso.
7 Septemba, 2025
Watoto kati ya 11 waliotoweka baada ya kiboko kupindua mashua nchini Côte d’Ivoire

Watu watatu walinusurika katika tukio hilo na kuokolewa, na msako unaendelea kuwatafuta waliotoweka, alisema waziri wa serikali.
7 Septemba, 2025
Jamii forums yafungiwa kwa siku 90 kwa ‘kudhalilisha serikali na Rais’ wa Tanzania

Aidha TCRA imeongeza kuwa maudhui hayo yanakinzana na mila, desturi na utamaduni wa Kitanzania, hivyo kuhatarisha mshikamano wa kitaifa, amani na taswira ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
6 Septemba, 2025
Watu sita wamefariki na wengine 20 wanaswa kwenye mgodi wa dhahabu ulioporomoka Sudan

Juhudi zinaendelea kuwaokoa waliokwama chini ya vifusi, kulingana na afisa.
6 Septemba, 2025

Trump kutohudhuria mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini, na badala yake kumtuma makamu, Vance

Marekani inaibadilisha Uganda na Eswatini kumhamishia mhamiaji mwenye utata, Garcia

Watoto 200 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan – shirika la misaada

Mlipuko wa Mpox Afrika siyo suala la dharura duniani tena – WHO

Waasi wa Sudan wametekeleza uhalifu dhidi ya binadamu katika mji wa El-Fasher – Umoja wa Mataifa
5 Septemba, 2025
Maulidi yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia
Somalia imetangaza siku ya Maulidi kuwa sikukuu ya kitaifa ili kuimarisha sherehe hizo, huku mikusanyiko ikiwa mikubwa zaidi kuliko miaka ya nyuma kutokana na hali bora ya usalama.

4 Septemba, 2025
Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan
Zaidi ya watu 1,000 wamefariki katika kijiji kimoja eneo la Kati la Jimbo la Darfur baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa

4 Septemba, 2025
DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa maafisa wa DRC na Rwanda wamekutana jijini Washington, DC siku ya Jumatano kwa mkutano wa pili wa ufuatiliaji.

4 Septemba, 2025
DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki
Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba

4 Septemba, 2025
Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu
Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria

4 Septemba, 2025
CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko
Chama hicho cha upinzani kimeendelea kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania, siku sita toka kuanza kwa kampeni za nchi nzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

4 Septemba, 2025
Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan
Ni wakati wa kuanzisha mazungumzo ya kina, ya dhati na jumuishi ili kumaliza mzozo huo,” Papa anasema.

4 Septemba, 2025
Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe
Mpango huu unaimarisha nafasi ya Rwanda kama kitovu cha Afrika cha majaribio ya teknolojia ya kisasa ya anga, ilisema serikali ya nchi hiyo.

4 Septemba, 2025
Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi
Waziri Mkuu Abiy Ahmed alimteua Mamo kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia, NBE mnamo Januari 2023.

3 Septemba, 2025
Ethiopia yawania kuandaa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu tabianchi 2027
Ethiopia inawania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi 2027 katika mji mkuu Addis Ababa, wakiwa kwenye ushindani na Nigeria.




