5 Septemba, 2025

Maulidi yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia

Somalia imetangaza siku ya Maulidi kuwa sikukuu ya kitaifa ili kuimarisha sherehe hizo, huku mikusanyiko ikiwa mikubwa zaidi kuliko miaka ya nyuma kutokana na hali bora ya usalama.

85624285336a8a6744ed6487b4ba51216ec78b0ec0ca9fa6865f6e90499b095a

4 Septemba, 2025

Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan

Zaidi ya watu 1,000 wamefariki katika kijiji kimoja eneo la Kati la Jimbo la Darfur baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa

d225861066cb321036bbb140d46695e033d61d6ee6b5637698067d551cbf066d

4 Septemba, 2025

DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa maafisa wa DRC na Rwanda wamekutana jijini Washington, DC siku ya Jumatano kwa mkutano wa pili wa ufuatiliaji.

b73a60ff82a342221163a9f75d72e43ebd9e4745d2d0b38eb074dfb59687d550

4 Septemba, 2025

DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki

Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba

899f47506a8f22f15467513a7466a3be26e415ea6a3a33d52176c86af72177cc

4 Septemba, 2025

Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu

Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria

543d8e94b4a7d3f6ee12644729ca1b1ca7a70c79467450c48e0b0a937c02a2a9

4 Septemba, 2025

CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko

Chama hicho cha upinzani kimeendelea kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania, siku sita toka kuanza kwa kampeni za nchi nzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

7d532b1733299b614755261756fffa19b8a9d61eed91d8a04fb654a8eb94fbb7

4 Septemba, 2025

Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan

Ni wakati wa kuanzisha mazungumzo ya kina, ya dhati na jumuishi ili kumaliza mzozo huo,” Papa anasema.

vatican pope 58290

4 Septemba, 2025

Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe

Mpango huu unaimarisha nafasi ya Rwanda kama kitovu cha Afrika cha majaribio ya teknolojia ya kisasa ya anga, ilisema serikali ya nchi hiyo.

e03109174b4af8eb8886ef4ba1e6def810d04bfdfaf3907151df86bbb9bf34f6

4 Septemba, 2025

Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi

Waziri Mkuu Abiy Ahmed alimteua Mamo kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia, NBE mnamo Januari 2023.

2025 04 24t215416z 1 lynxmpel3n18g rtroptp 3 imf worldbank

3 Septemba, 2025

Ethiopia yawania kuandaa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu tabianchi 2027

Ethiopia inawania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi 2027 katika mji mkuu Addis Ababa, wakiwa kwenye ushindani na Nigeria.

47be776fce15ef7287d938cade2b88e1d3fa84f87d6c3bc15f10f46782896fa3
Inapakia...