DR Congo yashtumu waasi wa M23 kwa kukiuka haki za binadamu, kulazimisha watu kujiunga nao

Utekaji nyara wa vijana unaendelea, hadi kulazimisha watu kujiunga nao katika mapigano , amesema afisa mmoja
3 Septemba, 2025
Luhaga Mpina: Sirudi CCM ng’o

Mwanasiasa huyo, ambaye uteuzi wake wa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ulitenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo (INEC), amesema kuwa hana nia ya kurejea kwenye chama chake cha CCM.
3 Septemba, 2025
Ripoti: Ofisi ya Rais Ruto yatumia zaidi ya dola elfu 15 kwa huduma za uchapishaji kwa siku

Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kenya imetumia zaidi ya dola elfu 15 sawa na shilingi milioni 2 za Kenya kwa siku katika huduma za uchapishaji katika mwaka uliopita wa kifedha.
3 Septemba, 2025
Wito wa msaada watolewa baada ya maporomoko ya ardhi kuangamiza kijiji cha Sudan, na kuua watu 1,000

Kundi la watu wenye silaha linloadhibiti sehemu ya magharibi mwa Sudan liliomba msaada wa kigeni Jumanne katika kukusanya miili na kuwaokoa raia kutokana na mvua kubwa, huku kukiwa takriban watu 1,000 walifariki kutokana na maporomoko ya ardhi.
3 Septemba, 2025

Misheni za kulinda amani za Sudan Kusini, DRC ziko hatarini kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili: UN

Mapigano kaskazini mashariki mwa Sudan Kusini yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20

Waziri wa Mambo ya Nje Misri aomba mabadiliko Baraza la Usalama, akemea ‘undumakuwili’ wa Magharibi

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaifutia Somalia deni la miaka 38

WHO: Zaidi ya watu bilioni moja wana changamoto ya afya ya akili
2 Septemba, 2025
Burkina Faso yapitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja
Serikali ya Burkina Faso Jumatatu ilipitisha kwa kauli moja sheria inayozuia mapenzi ya jinsia moja kama sehemu ya mageuzi makubwa ya sheria za familia na uraia.

2 Septemba, 2025
Waziri Mkuu wa Ethiopia adai madini ya nchi hiyo yamekuwa yakipotea kupitia Mto Nile
Ethiopia inasema itazindua hivi karibuni bwawa lake kuu, limejengwa kwenye Mto Nile na Serikali inasema lina na uwezo wa kuzalisha megawati 6000 ya umeme ikikamilika

2 Septemba, 2025
Uchumi wa Sudan Kusini taabani huku Sudan ikifunga bomba la mafuta
Wizara ya Nishati na Petroli ya Sudan imeamuru kufungwa kwa dharura kwa vituo vya mafuta katika eneo la Heglig karibu na mpaka na Sudan Kusini kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani mapema Jumamosi.

2 Septemba, 2025
“Afrika inaweza kulisha dunia nzima,” asema Rais wa Senegal
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Jumatatu alisema kuwa Afrika inaweza kulisha dunia nzima, akisisitiza kuwa vijana lazima wawe kiini cha mageuzi ya kilimo.

2 Septemba, 2025
Rais Salva Kiir awafukuza kazi mawaziri wake watatu
Taifa hilo, ambalo lilijitenga kutoka Sudan mwaka 2011, limekumbana na hali ya machafuko kufuatia kuhasimiana kati ya Kiir na Naibu wake, Riek Machar uliopelekea kuanzishwa kwa makubaliano ya kugawana madaraka, mwaka 2018.

2 Septemba, 2025
Zaidi ya 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Sudan Magharibi
Maporomoko ya ardhi yalitokea Agosti 31 baada ya siku kadhaa za mvua kunyesha, kundi linaloongozwa na Abdelwahid Mohamed Nour lilisema katika taarifa.

2 Septemba, 2025
Guinea inaondoa vikwazo vya vyombo vya habari kabla ya kura ya maoni
Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa sauti kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, rais wa mdhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema Jumatatu.

1 Septemba, 2025
Jaji Mkuu wa Ghana Gertrude Torkornoo afutwa kazi kwa matumizi mabaya ya mamlaka
Rais wa Ghana John Mahama amemfuta kazi Jaji Mkuu wa nchi hiyo Gertrude Torkonoo baada ya uchunguzi kubaini madai ya matumizi mabaya ya mamlaka yake.

1 Septemba, 2025
AU yaeleza wasiwasi wake kuhusu makubaliano ya wahamiaji ya Marekani na mataifa ya Afrika
Makubaliano ya kuwapeleka wahamiaji maeneo mengine ni sehemu ya kukwepa majukumu ya uhamiaji na kuwaweka watu katika hatari ya mateso na ukiukwaji wa haki zao za msingi,’ shirika la haki la AU limesema

1 Septemba, 2025
Mwanasiasa wa upinzani Uganda akataa kufika mahakamani akidai jaji ana upendeleo
Kesi ya Kizza Besigye na msaidizi wake, Obed Lutale, ilitakiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa, lakini washtakiwa wote waliamua kususia kesi hiyo baada ya hakimu, Emmanuel Baguma kukataa kujiondoa kwenye shauri hilo.




