Afisa polisi wa Kenya afariki katika ajali ya barabarani Haiti

Maafisa polisi wanane wa Misheni ya Usaidizi ya Usalama wa Kimataifa (MSS) nchini Haiti wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani Jumapili, huku afisa mmoja wa Kenya akifariki dunia.
1 Septemba, 2025
Rwanda kutoza faini wenye magari yasiyotumika

Mamlaka ya Mapato ya Rwanda (RRA) imesema wenye magari yasiyotumika huenda wakalipishwa ada mpya ya matengenezo ya barabara iwapo hawatarudisha nambari za usajili.
1 Septemba, 2025
Takriban watu 70 wamefariki katika ajali ya boti ya wahamiaji kutoka Afrika Magharibi

Watu wengine 30 wanahofiwa kufariki baada ya meli hiyo, inayoaminika kuondoka Gambia na kuwabeba raia wengi wa Gambia na Senegal, kuzama katika pwani ya Mauritania mapema Jumatano, wizara ilisema katika taarifa yake.
1 Septemba, 2025
Kamanda wa zamani wa Israel aghairi safari ya Afrika Kusini, akihofia kukamatwa

Doron Almog, kamanda wa zamani wa Israel, amekatisha safari yake nchini Afrika Kusini kwa hofu ya kukamatwa kutokana na mchango wake katika vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza.
1 Septemba, 2025

Somalia inaipongeza Uturuki kwa Siku ya Ushindi, inasifu uhusiano thabiti

Chama cha upinzani Tanzania CHAUMMA, kimezindua rasmi Jumapili Kampeni yake ya Urais

Hemetti wa RSF aapishwa kama kiongozi wa serikali sanjari huku raia wakiuawa Kordofan

Mzimu wa Shakahola wazuka tena Kenya, miili 32 imefukuliwa.

Kampeni zang’oa nanga Tanzania, upinzani hauonekani
29 Agosti, 2025
Tanzania: Jakaya Kikwete ‘awashangaa’ waliopinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan
Rais huyo mstaafu wa Tanzania, amekosoa hatua ya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupinga uamuzi wa chama hicho kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa chama hicho.

29 Agosti, 2025
Mchakato wa kujisajili kwa wapiga kura Kenya kuanza tena Septemba 29
Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC) imetangaza kuanza tena kwa mchakato wa kusajili wapiga kura kote nchini.

29 Agosti, 2025
Chad yapokea chanjo ya kipindupindu milioni 1.1 huku idadi ya vifo ikiongezeka
Vifo vinavyotokana na mlipuko wa kipindupindu mashariki mwa Chad zimefika 75, imethibitisha Wizara ya Afya ya nchi hiyo.

29 Agosti, 2025
Zaidi ya 6,000 waondoka kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyopo nchini Kenya
Mashirikia ya kibinadamu yameshindwa kutoa chakula kwa idadi kubwa ya wakimbizi kutokana na kupunguzwa kwa ratiba za chakula baada ya kupunguzwa kwa misaada kutoka Marekani na wahisani wengine.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea wahamiaji waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu
Rwanda imepokea wahamiaji saba waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu, msemaji wa serikali alisema kupitia taarifa siku ya Alhamisi, wiki chache baada ya nchi hizo mbili kufikia makubaliano ya kuhamisha hadi watu 250.

28 Agosti, 2025
Wakuu wa jeshi kutoka Somalia na Uturuki watembelea kambi za kijeshi za kupambana na Al-Shabaab
Wakuu hao wa kijeshi walifanya mazungumzo yaliyolenga kutathmini hali ya usalama, mahitaji ya wanajeshi, na mikakati ya kuongeza mashambulizi dhidi ya kundi la kigaidi la Al-Shabaab.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea kundi la kwanza la wahamiaji kutoka Marekani
Wahamiaji saba wamepewa makazi na Shirika la Kimataifa la Wahamiaji na ndiyo wenye idhini ya kuwatembelea, msemaji wa serikali amesema.

27 Agosti, 2025
Sudan inaripoti maambukizi 1,200 mapya ya kipindupindu na vifo 36 ndani ya wiki moja
Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Afrika ilipanda hadi kufikia 102,831, ikiwa ni pamoja na vifo 2,561 tangu kuzuka kwa Agosti 2024.

27 Agosti, 2025
Kundi lililojitenga la upinzani nchini Somalia lakubaliana na Rais juu ya uchaguzi
Kikundi cha upinzani cha Somalia kilichotenguka kutoka katika muungano wake mkuu kimesaini mkataba wa uchaguzi na Rais Hassan Sheikh Mohamud.

27 Agosti, 2025
Zambia yagundua zumaridi ya Kipekee ya karati 11,685
Zumaridi ya karati 11,685 (kilo 2.3) imepatikana nchini Zambia, kampuni ya uchimbaji madini ilisema.




