Ndege iliyobeba msaada wa chakula yaanguka Sudan Kusini, watatu wafariki

Ndege iliyokuwa ikisafirisha msaada wa chakula kwa shirika la kimataifa la Samaritan Purse ilianguka katika Jimbo la Unity nchini Sudan Kusini siku ya Jumanne, wafanyakazi wake wote watatu wamefariki, afisa wa shirika hilo amesema.
25 Novemba, 2025
Mwanajeshi wa zamani wa Uingereza anayesakwa nchini Kenya kwa mauaji anyimwa dhamana

Mwili wa Wanjiru ulipatikana kwenye tanki la maji taka katika Hoteli ya Lion’s Court katika mji wa Nanyuki nchini Kenya mnamo Juni 2012. Wanjir alionekana mara ya mwisho akiwa na kundi la wanajeshi wa Uingereza usiku wa Machi 31 na Aprili 1, 2012.
25 Novemba, 2025
Marekani yaondoa ushuru wa 15% kwa kakao ya Ghana, mauzo ya nje

Ghana imepata uthibitisho rasmi kutoka Marekani kwamba Washington imeondoa kikamilifu ushuru wa asilimia 15 uliowekwa kwa mauzo ya nje ya kakao na mazao mengine katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
25 Novemba, 2025
Volcano ya Ethiopia yalipuka baada ya utulivu wa miaka 12,000

Volcano katika eneo la kaskazini mashariki mwa Ethiopia ililipuka kwa mara ya kwanza katika takriban miaka 12,000, na kurusha moshi mwingi hadi kilomita 14 angani.
25 Novemba, 2025

Jukumu la Afrika kama ‘mzalishaji wa malighafi litafikia kikomo hivi karibuni,’ mkuu wa AU anasema

RSF ya Sudan yatangaza kwa upande mmoja kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu

RSF ya Sudan yatangaza usitishaji vita kwa miezi mitatu bila ya makubaliano ya pamoja

Jeshi la Sudan lazima shambulio jipya la wapiganaji wa RSF Kordofan Magharibi

Watoto watekwa nyara Nigeria
24 Novemba, 2025
Taasisi ya Thabo Mbeki yakosoa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania
Taarifa hiyo inakuja siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kuzindua tume itakayochunguza vurugu zilizotokea siku na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, huku akiipa tume hiyo siku 90 za kufanya uchunguzi huo.

24 Novemba, 2025
Gavi, Unicef watia saini mkataba wa kupunguza bei ya chanjo ya malaria
Gavi inakadiria kushuka kwa bei hiyo kutaokoa dola milioni 90, ambazo zinaweza kufadhili dozi milioni 30 zaidi kwa hadi watoto milioni 7 zaidi katika miaka mitano ijayo.

24 Novemba, 2025
Rais wa Nigeria amesema waumini 38 waliotekwa nyara kanisani Nigeria wameokolewa
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alisema Jumapili kwamba waumini 38 waliotekwa wakati watu wenye silaha walipovamia ibada ya kanisa wiki jana na kuua watu wawili, wameokolewa.

23 Novemba, 2025
Mkutano wa kilele wa G20 ‘wamalizika vyema’ licha ya kukosekana Marekani baada ya Trump kususia
Rais Trump, ambaye anataraiwa kupkea uenyekiti wa G20 kwa mwaka ujao, alisusia kuhudhuria kwa madai kuwa Afrika Kusini inawadhulumu Wazungu wa Afrikaanm jambo ambalo Afrika Kusini imekana

23 Novemba, 2025
Afrika kulipa ‘gharama kubwa’ licha ya uhusika mdogo kusababisha mabadiliko ya tabianchi: UN
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anasema kuwa Afrika italipa “gharama kubwa ” kwa mabadiliko ya tabianchi licha ya kuwa imefanya “kidogo sana” kuyasababisha.

23 Novemba, 2025
Tanzania yashutumu vyombo vya habari vya kigeni kwa ‘kuichafua na kuhujumu uchumi wa nchi’
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Michezo Sanaa na Utamaduni Gerson Msigwa amekemea taarifa zilizochapishwa na vyombo vya habari vya nje kuwa ziliendeshwa na nia mbaya ya kuichafua nchi.

23 Novemba, 2025
DRC yawaweka jenerali wa jeshi kifungo cha nyumbani kwa ‘kudhoofisha usalama wa nchi’
Msemaji wa jeshi anasema kifungo cha nyumbani kwa washukiwa hao kiliongezwa kwa ombi la upande wa mashtaka huku uchunguzi ukiendelea.

23 Novemba, 2025
Azimio la mkutano wa G20 limepitishwa: Msemaji wa rais wa Afrika Kusini
Tamko la mkutano huo lilihamishwa kwa mpangilio wa kwanza wa siku, ambao kawaida hupitishwa mwishoni.

22 Novemba, 2025
Vita vya Sudan: Zaidi ya watoto 20 wanakufa kwa utapiamlo katika mwezi mmoja
Vifo vya watoto hao katika miji chini ya kizuizi ambacho “huzuia kuingia kwa chakula na dawa na kuweka maisha ya maelfu ya raia hatarini.”

22 Novemba, 2025
Mkutano wa viongozi wa G20 unaanza nchini Afrika Kusini
Viongozi wa dunia wakutana kwa siku mbili za mazungumzo katika mkutano wa kwanza wa kilele wa G20 uliofanyika barani Afrika, chini ya mada ya “mshikamano, usawa na uendelevu”.



