20 Agosti, 2025

Sudan imeripoti maambukizi 1,575 mapya ya kipindupindu na vifo 22 katika wiki moja

Jumla ya maambukizi yanazidi 101,000, ikijumuisha vifo zaidi ya 2,500 huku janga la afya likizidi kuwa baya katika nchi inayoshuhudia vita vinavyoendelea kati ya jeshi na kikosi cha RSF.

6711a7f6577bcda7d3ce666ecb5c4712a4b954229b417ae1e609fbc118eaaf1c

19 Agosti, 2025

Jamhuri ya Afrika ya Kati kufanya uchaguzi mkuu Disemba 28

Wapigaji kura milioni 2.3 wamejisajili kwa ajili ya uchaguzi wa urais, ubunge, serikali za mitaa, na uchaguzi wa manispaa, kulingana na afisa

48171c44c64e550cb52f501c2e4734919c19c51ef2945bb94dbaeef7787dae98

19 Agosti, 2025

Umoja wa Mataifa washtumu mashambulizi ya ADF yaliyowaua raia 52 Mashariki mwa DRC

Mashambulizi hayo ‘ni ukiukwaji mkubwa wa sheria za binaadamu za kimataifa,’ anasema mkuu wa MONUSCO

eecf084f7895f3542e418acdb4c3aaf35648d43ead079914cd9cab5d8b93b8c4

19 Agosti, 2025

Watu wasiopungua 25 waokolewa baada ya boti kuzama Nigeria, watu kadhaa bado hawajapatikana

Boti hilo lililokuwa limebeba watu wasiopungua 50 na hakuna miili iliyokuwa imepatikana kufikia Jumanne asubuhi, maafisa wanasema.

981ad9f5970b1b1e46e7e3ba10d6f1fecc8bc241f8936c026d7a5f818963827e

19 Agosti, 2025

Somalia inakabiliwa na ongezeko la dondakoo kutokana na uhaba wa chanjo na kupungua misaada

Dondakoo au Diphtheria, ugonjwa wa bakteria unaosababisha kuvimba kwa tezi, matatizo ya kupumua na homa na huathiri zaidi watoto, unaweza kuzuilika kwa chanjo iliyopatikana kwa wingi katikati ya karne ya 20.

e62c0b41c496456df8eae1176398f368f3c138f87fcb31b158a3b538b071973e

19 Agosti, 2025

Zaidi ya magaidi 100 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya kijeshi ya Somalia

Kitengo cha kijeshi chenye uwezo wa juu, kikiungwa mkono na washirika wa kimataifa, kimefanya operesheni ambayo pia iliharibu maficho ya magaidi.

2025 07 01t123510z 2047193788 rc2kdfad8zvz rtrmadp 3 somalia security independence

19 Agosti, 2025

Burhan wa Sudan afanya mabadiliko katika jeshi

Mkuu wa jeshi la Sudan aliteua maafisa wakuu wapya siku ya Jumatatu katika huku akiimarisha udhibiti wa maeneo ya kati na mashariki na kupigana vita vikali magharibi.

eb313ece4133ed5e3b01deaaa24c42388635464db4d7d4bf658a7e0a39bfb8d9

19 Agosti, 2025

Waasi waliokuwa na mapanga wameua takriban watu 52 mashariki mwa DRC

Waasi wa ADF waliokuwa na mapanga wamewaua takriban raia 52 katika maeneo ya Beni na Lubero mashariki mwa DRC katika siku za hivi karibuni, maafisa wa Umoja wa Mataifa na mashinani walisema Jumatatu.

70094b16 8750 4ea7 9455 9dbb61053b91 main

18 Agosti, 2025

DRC, waasi wa M23 washindwa kufikia makubaliano ya amani ya Doha

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wameshindwa kufikia muafaka wa makubaliano ya amani ya Doha katika siku ya mwisho iliyowekwa wao kufanya hivyo.

dabc8a2df43851c4c0cb3952f32e3cd91ff2321a1514fc2486c238aeb58696e7

18 Agosti, 2025

Hamas yakubali mapendekezo ya wapatanishi kusitisha mapigano siku 60 Gaza: Vyombo vya Misri

Kundi la wapiganaji la Palestina Hamas limekubali mapendekezo ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku 60 yaliyowasilishwa na wapatanishi wa Misri na Qatar, Vyombo vya habari vya Misri viliripoti Jumatatu.

7b4a3292fbde1c2fd9d6ac1fb2fefca5c2d235d7ae1593a918cd34c6ea2423c7
Inapakia...