19 Novemba, 2025

Eswatini yapokea dola milioni 5.1 kupokea wahamiaji waliofurushwa Marekani, waziri anasema

Eswatini ilipokea dola milioni 5.1 kutoka kwa serikali ya Marekani chini ya makubaliano ya kuwapokea raia wa nchi ya tatu waliofukuzwa na utawala wa Trump, waziri wake wa fedha alisema Jumanne.

07c2fcf5ed192ddff3cd2db4d34dea688b8bf953c8cd1a38b3d2458745e61caf main

19 Novemba, 2025

Gabon yatia saini makubaliano ya kihistoria ya ufadhili wa hali ya hewa kwa misitu ya mvua ya Congo

Serikali ya Gabon na muungano wa wafadhili wametia saini makubaliano yenye lengo la kulinda kilomita za mraba 34,000 za misitu ya mvua ya Bonde la Kongo nchini humo.

2025 04 02t091303z 1 lynxnpel310ct rtroptp 3 gabon election main

18 Novemba, 2025

Jeshi la Somalia limewauwa magaidi 11 wa Al Shabab na kuzuia shambulio la kujitoa muhanga

Jeshi la Somalia pamoja na wanajeshi washirika wamewaua magaidi 11 wa Al Shabab katika operesheni tofauti katika mikoa ya Mudug na Bakool, na pia kuzuia shambulio la kujitoa muhanga, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi iliyotolewa siku ya Jumanne.

9aace1378beb34aa95f79382f7e493c1e8d85333a1e763f4615dd9bbd0ffffb6 main

18 Novemba, 2025

Tanzania huenda ikakabiliwa na changamoto kupata mikopo kutoka nje, amesema Rais Samia

Uwezo wa Tanzania kupata mikopo kutoka taasisi za kimataifa huenda ukakumbana na changamoto baada ya sifa yake kuharibika kimataifa, amesema Rais Samia Suluhu Hassan siku ya Jumanne wakati wa kuwaapisha mawaziri.

215e729c227d163ce9c006b9df3c3537b719e44ec5b6b5bdddd10074b947dab1 main

18 Novemba, 2025

Sura mpya Baraza la Mawaziri Tanzania

Taifa hilo limeshuhua kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri, Novemba 18 huku kukiwa na maingizo mapya katika baraza hilo lenye jumla ya wizara 27.

28c04f0394ce8eb383177a714ec622475768239c208c4aab4941497c761309b4

18 Novemba, 2025

Cape Verde, Mauritius na Ushelisheli wafanikiwa kuangamiza surua na rubela

WHO imetangaza kuangamizwa kwa magonjwa ya Surua na Rubela nchini Mauritius, Ushelisheli na Cape Verde, ikiwa ni mara ya kwanza kwa mafanikio hayo kusini mwa jangwa la Sahara.

b22d81d601df212a2d86d885f755b6017c2807c9c99d5c5dcf0c9198817293fc

18 Novemba, 2025

Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao kutoka Al Fasher ya Sudan tangu kutwaliwa na RSF

Zaidi ya raia 100,000 wamefurushwa kutoka kwa Al Fasher magharibi mwa Sudan tangu kuchukuliwa kwa mji huo na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) mwezi uliopita, IOM imesema.

743dd9c14316e49c8e4f790ad6684e974205c2bf07b42d6e59271543fafb825a main 1

17 Novemba, 2025

Rais wa Tanzania amteua binti na mkwe wake katika Baraza la Mawaziri

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua binti yake, Wanu Hafidh Ameir, kuwa Naibu Waziri wa Elimu. Hafidh Ameir, mwenye umri wa miaka 43, ni Mbunge wa Jimbo la Makunduchi.

710b0cedcc4efd74b557dd8dcbb702093c63ddda63b9dc9545f766e025ab471e main

17 Novemba, 2025

Rais Samia amteua waziri mpya wa fedha, awaacha mawaziri wa mambo ya nje na madini madarakani

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Jumatatu alimteua balozi wa nchi hiyo nchini China, Khamis Mussa Omar, kuwa waziri wa fedha katika baraza lake jipya la mawaziri kufuatia uchaguzi uliokumbwa na utata mwezi uliopita.

aa49ccd0980be1021d5a23719777da797da86203cadb4936f67f3f5905f4f9b2 main

17 Novemba, 2025

Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa

Mashambulizi hayi yalilenga baadhi ya mashirika ya serikali yanayotoa huduma muhimu.

6697f6d87c35c109124ad7eba814897e5fa0eeac88e9803f4251a3b51d815be3
Inapakia...