28 Mei, 2025

Kipindipindu chaongezeka katikati ya vita Sudan

Taarifa ya Wizara imesema kuwa watu 2,700 walipata ugonjwa huo ndani ya wiki moja tu, kati yao 172 walikufa.

66bf9154e4b0d6b86b1d0faa

28 Mei, 2025

Wanafunzi wa chuo Senegal wamzomea na kumfurusha balozi wa Israel chuoni mwao

Video zinaonyesha wanafunzi wakipeperusha bendera za Palestina, wakiimba “Palestine Huru” na wakimzomea mjumbe huyo mpya.

fab 1

28 Mei, 2025

DRC inakabiliwa na kuongezeka gharama za kijeshi, nakisi ya kodi katika ‘bajeti mpya ya vita’

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliana na kupanda kwa gharama za kijeshi na kushuka kwa mapato ya kodi kutokana na mashambulizi ya waasi wa M23, bajeti iliyorekebishwa ya wakati wa vita inayozingatiwa na wabunge.

2014 06 30t120000z 81343910 gm1ea dp 3 democratic republic of congo

28 Mei, 2025

Utawala wa Trump waitaka mahakama kuruhusu kuhamishwa wahamiaji Sudan Kusini

Serikali ya kitaifa ilisema kwamba Jaji Murphy anasimamisha juhudi zake za kuwafukuza wahamiaji ambao hawawezi kurudishwa katika nchi zao

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

27 Mei, 2025

Rwanda yafanya makubaliano ya usafiri wa anga na nchi 12

Mikataba ya huduma za anga ya nchi mbili ni mikataba inayoruhusu huduma za kimataifa za usafiri wa anga za kibiashara kati ya maeneo yao.

rwandair

27 Mei, 2025

Zaidi ya maafisa polisi 1000 wamekufa katika kipindi cha miaka mitatu Kenya

Kwa jumla, maafisa 4,569 waliacha huduma tangu 2022, zaidi ya nusu yao walitoka Huduma ya Polisi ya Kenya pekee.

police2

27 Mei, 2025

Benki ya Dunia yashusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2025

Benki ya Dunia imeshusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa nusu pointi hadi 4.5%, ilisema siku ya Jumanne, sababu ikiwa ni deni kubwa la serikali, na riba kubwa kwa mikopo.

kenya 20finance 20minister

27 Mei, 2025

Ujerumani inakanusha shutuma dhidi ya balozi wake baada ya jeshi la Uganda kukata uhusiano

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Berlin siku ya Jumatatu kuwa shutuma hizo ni “upuuzi na hazina mashiko

fab 1

27 Mei, 2025

Kenya inaunga mkono mpango wa mamlaka ya kujisimamia Sahara Magharibi chini ya ufalme wa Morocco

Kenya, baada ya miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi mbili na Morocco, pia ilifungua ubalozi huko Rabat siku ya Jumatatu.

2025 05 26t231638z 1 lynxnpel4p0rc rtroptp 3 morocco kenya westernsahara

27 Mei, 2025

Nigeria yaondoa mswada unaotaka wasiopiga kura kufungwa hadi miezi sita

Bunge la Kitaifa la Nigeria limetupilia mbali mswada ambao ungefanya upigaji kura kuwa wa lazima, taarifa kutoka kwa spika wa Baraza la Wawakilishi alisema Jumatatu.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab
Inapakia...