24 Mei, 2025

Kiongozi wa zamani wa DRC akashifu mfumo wa haki baada ya kuondolewa kwa kinga ya kushtakiwa

Rais huyo wa zamani anasema mfumo wa haki unatumiwa waziwazi kwa malengo ya kisiasa katika nchi ambayo anasakwa kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.

fab 1 2 3 4 5

24 Mei, 2025

Mwanaharakati wa Uganda apatikana ametupwa mpakani baada ya kukamatwa nchini Tanzania

Mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire alikwenda Tanzania kuonyesha mshikamano na kiongozi wa upinzani Tundu Lissu katika kusikilizwa kwa kesi yake ya uhaini Jumatatu.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

23 Mei, 2025

Washukiwa watatu wa wizi kutoka Uganda wakamatwa Kenya

Kitengo cha makosa ya jinai nchini Kenya kimesema uchunguzi umebaini kuwa watatu hao kutoka Uganda waliwasili nchini Kenya tarehe Mei 21, 2025 kupitia mpaka wa Malaba.

wezi

23 Mei, 2025

Karibu wachimba migodi 300 wakwama Afrika Kusini

Msemaji anasema wafanyakazi wote wako salama na wanajulikana waliko na kwamba wako katika mchakato wa kuwafikishia chakula.

s 20africa 20getty

23 Mei, 2025

Uganda kufunga baadhi ya balozi zake

Kulingana na ripoti yake ni balozi 10 tu kati ya 38 zilizokaguliwa na kupokea ufadhili kutoka kwa serikali katika mwaka 2024.

2025 05 20t164838z 1 lynxmpel4j0u6 rtroptp 3 uganda politics

23 Mei, 2025

Marekani kuiwekea vikwazo Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa itaiwekea vikwazo serikali ya Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali katika vita vyao na wapiganaji wa RSF.

sudan 20afp

23 Mei, 2025

Tanzania yamuachilia Agather, mwanaharakati wa Uganda

Agather Atuhaire alikamatwa pamoja na mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi walipokuwa wameenda nchini humo kushuhudia kesi ya mwanasiasa wa upinzani Tanzania, Tundu lissu.

agather 202 main

23 Mei, 2025

DRC yamuondolea kinga rais mstaafu Joseph Kabila

Joseph Kabila ambaye aliiongoza DRC kuanzia 2001 hadi 2019, sasa anakabiliwa na uwezekano wa kufikishwa katika mahakama za kijeshi kwa tuhuma za “uhaini, uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya binadamu na kushiriki katika harakati za uasi.”

2018 01 26t160430z 1909374023 rc1 0000 rtrmadp 3 congo protests 20 1

22 Mei, 2025

Ubalozi wa Uganda nchini Tanzania wafanya jitihada za kumtafuta mwanaharakati Agather Atuhaire

Agather, ni kati ya wanaharakati wanaodaiwa kukamatwa Mei 19, 2025 jijini Dar es Salaam, wakati wakijiandaa kuhudhuria usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Tundu Lissu.

agather 202 main 1

22 Mei, 2025

Wakenya wakosa kulipa mikopo ya zaidi ya dola milioni 46 chini ya “Hustler Fund”

Pesa hizi zilitolewa kupitia simu chini ya fungu maalumu la “Hustler Fund” mradi wa mikopo midogo midogo iliyoanzishwa na Rais William Ruto alipoingia madarakani 2022.

ruto 20rut
Inapakia...