Umoja wa Afrika ‘hauwezi kuwa na furaha’ kuhusu kuwafukuza Wapalestina: Angola

“Kwa hakika tunatetea suluhisho la serikali mbili,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio anasema.
22 Mei, 2025
Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi

Boniface Mwangi wa Kenya na mwanaharakati mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
22 Mei, 2025
Waziri wa zamani wa madini nchini Senegal ashitakiwa kwa ufisadi

Gladima anakuwa kiongozi wa tatu katika uongozi uliopita wa Macky Sall kushitakiwa kwa tuhuma za ufisadi.
21 Mei, 2025
Uganda yapitisha sheria ya raia kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi

Bunge la Uganda limepitisha sheria iliyofanyiwa marekebisho ambayo sasa inayoruhusu mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia, na kutoa hukumu, jambo lililosababisha maandamano kutoka kwa upinzani.
21 Mei, 2025

DRC yamhukumu waziri mkuu wa zamani miaka 10 ya kazi ngumu kutokana na ufisadi

Serikali ya Trump yawapeleka wahamiaji wa Asia Sudan Kusini, yakiuka agizo la mahakama

Kenya: Gachagua na siasa zake

Tume ya Uchaguzi Tanzania yasema hakuna muda wa ziada uandikishaji Daftari la Kudumu

Kongamano la amani Rwanda lajadili mustakbali wa Afrika
20 Mei, 2025
Baadhi wapongeza hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya
Ingawa baadhi wamekosowa hatua ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokwenda kushuhudia kesi ya Tundu Lissu, wengine wameipongeza

20 Mei, 2025
Rwanda yafanya matibabu ya moyo ya aina yake
Utaratibu huo ulifanyika Ijumaa, Mei 16, katika hospitali ya King Faisal kuziba tundu la moyo

20 Mei, 2025
Rais Ruto akabidhi nyumba za bei nafuu Kenya
Rais wa Kenya William Ruto siku ya Jumatano alikabidhi familia 1080 nyumba za bei nafuu katika mtaa wa Mukuru, mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

20 Mei, 2025
Kongamano la kwanza la usalama barani Afrika laanza wito ukiwa uwajibikaji katika kanda
Rais wa Rwanda Kagame amewaambia viongozi wa Afrika katika mkutano wa masuala ya usalama kuwa kutafuta misaada ya usalama kutoka nje hakujafanikiwa na kwamba suluhu inahitajika kutoka ndani ya bara la Afrika.

19 Mei, 2025
Ufaransa ‘yatupilia mbali’ kesi ya aliyekuwa mke wa Juvenal Habyarimana
Kulingana na mahakimu waliokuwa wanafuatilia kesi hiyo, hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja wa kumuhusisha na tukio hilo.

19 Mei, 2025
Somalia yazindua chanjo ya dhidi ya suruwa, polio, na nimonia
Shirika la Afya Duniani WHO, likishirikiana na serikali kuu ya Somalia pamoja na serikali za majimbo,linapanga kuwapa chanjo watoto milioni 3.1 walio chini ya umri wa miaka 5 katika kampeni ya wiki nzima

19 Mei, 2025
UN, Baraza la Rais Libya waunda ‘kamati ya mapatano’ baada ya mapigano Tripoli
Kamati hiyo ina lengo la kufikia makubaliano ya usitishaji wa mapigano na kulinda raia baada ya mapigano ya hivi karibuni katika mji mkuu wa Libya.

18 Mei, 2025
Mamia ya Wanyarwanda waliokimbilia Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994 walirudishwa nyumbani
Kurejeshwa kwao kunatokana na makubaliano ya pande tatu kati ya Rwanda, Congo na UNHCR ambayo yamekuwepo kwa zaidi ya muongo mmoja.

18 Mei, 2025
Prof Janabi ashinda uteuzi wa Mkurugenzi wa WHO – Kanda ya Afrika
Prof Janabi, daktari wa magonjwa ya moyo na msimamizi wa afya anayeheshimika sana, amekuwa na jukumu muhimu katika kuunda hali ya matibabu ya Tanzania.

18 Mei, 2025
11 wauawa katika shambulio la kujitoa mhanga Somalia
Takriban watu 11 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya mshambuliaji wa kujitoa muhanga kujilipua nje ya kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumapili.

