16 Mei, 2025

Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake

Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.

yoweri

16 Mei, 2025

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaua kadhaa hospitali ya Sudan

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika hospitali moja katika mji wa El-Obeid nchini Sudan yamesababisha vifo na majeruhi kadhaa, kulingana na walioshuhudia.

aa 37484802

16 Mei, 2025

Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina

Ulimwenguni, benki kuu zimekuwa zikiongeza ununuzi wa dhahabu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwani wasiwasi juu ya mfumko wa bei, kuyumba kwa sarafu, na kuhama kwa ushirikiano wa kisiasa wa kijiografia kumechochea mahitaji ya rasilimali.

australia gold refinery photo gallery 67453

15 Mei, 2025

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kuridhishwa kwake na kusitishwa kwa mapigano nchini Libya baada ya vita kuzuka kati ya makundi yenye silaha maeneo ya mji mkuu wa Tripoli.

un 20chief 20reuters

15 Mei, 2025

Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka

Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema kuwa mashambulizi kwa vituo vya afya yanaongezeka nchini Sudan Kusini.

south 20sudan 20picha

15 Mei, 2025

Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir

Wizara ya mambo ya nje ya Sudan Kusini imetoa taarifa ikisema kuwa “inakanusha na kukataa kabisa taarifa za kupotosha na uchochezi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii”.

2025 04 03t124707z 579926705 rc28 pe7 rtrmadp 3 southsudan security 1

15 Mei, 2025

Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan

Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.

1747301748368 ydubkr 2023 04 27t130941z 1026433036 rc2 n0apksk7 rtrmadp 3 sudan politics

15 Mei, 2025

Naibu rais wa zamani Kenya aanzisha chama chake

Rigathi Gachagua amesema kuwa chama cha DCP kitatanguliza sauti za Wakenya, hivyo basi kauli mbiu ya chama “Skiza Wakenya” ambayo inamaanisha “Sikiliza Wakenya”

gachagua

15 Mei, 2025

Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo

Kuhamishiwa kifungo cha nyumbani – ambapo sasa wameunganishwa tena na Ali Bongo – kulikuja Mei 9 baada ya shinikizo kutoka kwa maafisa wa Umoja wa Afrika kuwaachilia.

web 20bongo 20famille thumbnail 1

14 Mei, 2025

Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu

Wizara ya Mambo ya Nje imeeleza kuwa Uturuki iko tayari kutoa mchango wake katika kuhakikisha ‘kunapatikana suluhu endelevu na ya kudumu kwa mzozo huo’

01 22 2015Benghazi Libya
Inapakia...