Mali ya mamia ya milioni yateketea katika moto mkubwa wa soko la nguo kuu kuu la Gikomba, Kenya

Mpangilio duni na msongamano wa vibanda na maduka zimesababisha visa vingi vya moto katika soko hili kubwa zaidi nchini Kenya na hasara ya mamia ya milioni ya pesa.
18 Mei, 2025
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki azuru Burkina Faso ili kuimarisha uhusiano, kujadili usalama

Ziara ya Burhanettin Duran inaangazia kukabiliana na ugaidi, utulivu wa kikanda, na ushirikiano kati ya Uturuki na Burkina Faso.
18 Mei, 2025
Rais Bongo wa Gabon aliyeondolewa madarakani akimbilia Angola na familia yake

Familia hiyo iliyokuwa kizuizini tangu mapinduzo ya Agosti 2023, iliachiliwa kufuatia juhudi za kidiplomasia za serikali ya Angpla.
17 Mei, 2025
Mbunge wa pili wa upinzani afungwa jela Zambia kwa kauli za uchochezi

Maureen Mabonga amehukumiwa miezi minane jela kwa kuhusika na ‘mienendo ya uchochezi’ ikiwemo ‘kuchochea uasi’ kwa misingi ya kikabila.
16 Mei, 2025

Kiongozi anayetaka kujitenga kwa Biafra Nigeria ashtakiwa Ufini kwa kuchochea ugaidi

Serikali ya kijeshi ya Guinea yachukua migodi 51 baada ya kufuta leseni zao

Bunge la Uganda laidhinisha pendekezo la bajeti ya Dola Bilioni 20

Chama cha TPLF Ethiopia chailalamikia AU baada ya kufutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi

Rais wa zamani wa Gabon aelekea Angola na familia yake
16 Mei, 2025
Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.

16 Mei, 2025
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaua kadhaa hospitali ya Sudan
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika hospitali moja katika mji wa El-Obeid nchini Sudan yamesababisha vifo na majeruhi kadhaa, kulingana na walioshuhudia.

16 Mei, 2025
Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina
Ulimwenguni, benki kuu zimekuwa zikiongeza ununuzi wa dhahabu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwani wasiwasi juu ya mfumko wa bei, kuyumba kwa sarafu, na kuhama kwa ushirikiano wa kisiasa wa kijiografia kumechochea mahitaji ya rasilimali.

15 Mei, 2025
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kuridhishwa kwake na kusitishwa kwa mapigano nchini Libya baada ya vita kuzuka kati ya makundi yenye silaha maeneo ya mji mkuu wa Tripoli.

15 Mei, 2025
Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema kuwa mashambulizi kwa vituo vya afya yanaongezeka nchini Sudan Kusini.

15 Mei, 2025
Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir
Wizara ya mambo ya nje ya Sudan Kusini imetoa taarifa ikisema kuwa “inakanusha na kukataa kabisa taarifa za kupotosha na uchochezi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii”.

15 Mei, 2025
Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan
Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.

15 Mei, 2025
Naibu rais wa zamani Kenya aanzisha chama chake
Rigathi Gachagua amesema kuwa chama cha DCP kitatanguliza sauti za Wakenya, hivyo basi kauli mbiu ya chama “Skiza Wakenya” ambayo inamaanisha “Sikiliza Wakenya”

15 Mei, 2025
Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo
Kuhamishiwa kifungo cha nyumbani – ambapo sasa wameunganishwa tena na Ali Bongo – kulikuja Mei 9 baada ya shinikizo kutoka kwa maafisa wa Umoja wa Afrika kuwaachilia.

14 Mei, 2025
Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu
Wizara ya Mambo ya Nje imeeleza kuwa Uturuki iko tayari kutoa mchango wake katika kuhakikisha ‘kunapatikana suluhu endelevu na ya kudumu kwa mzozo huo’


