Mali yapiga marufuku shirika la Televisheni la Ufaransa TV5 Monde kwa taarifa za maandamano

TV5 Monde imekuwa televisheni ya Ufaransa ya hivi karibuni kupigwa marufuku kupeperusha matangazo yake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
14 Mei, 2025
Wazungu wa Afrika Kusini wakimbilia Marekani, kanisa lakataa kuwapokea

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema Waafrikaner waliondoka kwa sababu wanapinga sera zinazolenga kushughulikia tatizo la ubaguzi wa rangi.
14 Mei, 2025
Serikali ya Kenya yakana kuuza makampuni ya sukari

Ufafanuzi huo umekuja huku kukiwa na ongezeko wa malalamiko kutoka kwa wananchi, viongozi wa kisiasa kuhusu ukodishaji wa viwanda vya sukari vinavyomilikiwa na Serikali, baadhi ya viongozi wakiibua wasiwasi juu ya uwazi na ushirikishwaji wa wananchi.
14 Mei, 2025
Mshukiwa akamatwa kwa mauaji ya mbunge Kenya

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.
14 Mei, 2025

Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini Burundi kwa wabunge, serikali za mitaa

Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko Somalia tangu mwezi Aprili: Umoja wa Mataifa

Mahakama ya Kenya yaidhinisha kusafirishwa Marekani kwa naibu spika wa zamani wa Afghanistan

Uganda yasimamisha kwa muda mabasi za kampuni ya YY Coaches kutoa huduma

Kenya yahitaji ufadhili zaidi kwa vyombo vya usalama
13 Mei, 2025
Wazalishaji Uganda wataka nafaka isiuzwe nje ya nchi
Wazalsihaji wanadai kuwa uuzaji wa nafaka kwa nchi nyengine zimesababisha viwanda kufungwa na madalali kupata faida badala ya wakulima.

13 Mei, 2025
Serikali ya kijeshi ya Guinea yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi
Tangazo hilo linakuja mwezi mmoja baada ya serikali kuweka tarehe 21 Septemba 2025 kuwa siku ya kura ya maoni ya katiba, ambayo ilisema itakuwa utangulizi wa kurejea kwa utawala wa kikatiba.

13 Mei, 2025
Wabunge 40 Kenya wafungiwa ofisi kwa kushindwa kulipa kodi
Wabunge na wafanyakazi wa Tume ya Huduma za Bunge (PSC) walifungiwa nje ya ofisi zao katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa madai ya kutolipa kodi kwa muda mrefu.

12 Mei, 2025
Kiongozi wa upinzani Côte d’Ivoire Thiam ajiuzulu kufuatia utata wa uraia wa Ufaransa
Kwa miezi kadhaa, kampeni ya Tidjane Thiam ya kuwania urais imekumbwa na wasiwasi kuhusu uraia wake.

12 Mei, 2025
Waafrika weupe wa Afrika Kusini wahamia Marekani kama wakimbizi
Kutoa hadhi ya ukimbizi kwa Wazungu wa Afrika Kusini kumekumbwa na hisia tofauti kutoka mamlaka za Afrika Kusini, ambazo zinasema utawala wa Trump umeingia katika suala la kisiasa la ndani ambalo halielewi.

12 Mei, 2025
Polisi Uganda yamkamata mhalifu sugu
Mhalifu aliyekamatwa anaitwa Imanantireganya Alfadudu, maarufu kama “ MCongo”.

12 Mei, 2025
Mafuriko yasababisha vifo zaidi DRC
Waziri wa Afya wa jimbo la Kivu Kusini Theophile Walulika Muzaliwa amewaambia waandishi wa habari kuwa juhudi za utafutaji na uokoaji zimetatizwa pakubwa.

12 Mei, 2025
Wakuu wa nchi, Maafisa Watendaji Wakuu wakutana Abidjan kuzungumzia uchumi wa bara la Afrika
Kongamano hilo maalumu la kiuchumi, ambalo linaanza Mei 12 hadi 13, 2025, litawaleta pamoja jumla ya washiriki 2,000 kutoka pande mbalimbali za bara la Afrika.

11 Mei, 2025
Traore wa Burkina Faso ataka ushirikiano zaidi na Urusi
Ibrahim Traore anataka ushirikiano zaidi wa kibiashara na teknolojia na amepongeza jukumu la kimataiffa la Urusi licha ya vikwazo vya Magharibi

11 Mei, 2025
Mvua kubwa yaleta uharibu Mogadishu, Somalia
Mvua ya mwishoni mwa juma iliyonyesha kwa takriban saa nane, imeleta mafuriko na uharibifu mkubwa wa miundombinu.


