1 Agosti, 2025

Magaidi waua wanakijiji 5 nchini Msumbiji katika mkoa wenye mapigano wa Cabo Delgado

Maafisa wa usalama wanasema kumekuwa na mashambulizi mapya kutoka kwa wapiganaji katika mkoa wa Cabo Delgado

9ddd107465eaddfed90fe91ba8b027682ed936639f437a57d725a7a83cc78b82

31 Julai, 2025

Mauaji ya Simba wa utafiti yazua utata nchini Zimbabwe

Hii ni baada ya mwindaji mmoja nchini humo kumuua Simba anayedaiwa kutumika kwa utafiti wa wanyamapori.

aa4f988b54f112d082a368b82187d81891fe2cebc96efbbb06baa63968e36881

31 Julai, 2025

Jumuiya ya EAC yazitaka nchi wanachama kuheshimu mpango wa soko la pamoja

Tamko hilo linakuja siku chache baada ya Tanzania kupiga marufuku raia wa kigeni kumiliki na kuendesha biashara ndogondogo, hatua iliyozua wasiwasi na upinzani kutoka nchi jirani ya Kenya.

26cbe0e1824e526771890cb985c67789ba31e48565310d75ebe80d295669d584

31 Julai, 2025

Osimhen arudi rasmi Galatasaray baada ya kumalizana na Napoli

Hatua hiyo inakuja baada ya mazungumzo ya muda mrefu na Napoli, baada ya nyota huyo Mnigeria kuichezea Galatasaray kwa mkopo, msimu uliopita.

ad1f8e1b6d513ebc442b700c77e14c2a16613021cdb7eccd4bcc2a6405a082d1

31 Julai, 2025

Somalia yashurutisha matumizi ya vitambulisho vya taifa katika shughuli za kibenki

Hatua hiyo inalenga kupambana na uhalifu wa kifedha na kurejesha imani ya umma katika taasisi za fedha, Benki Kuu ya Somalia imesema.

ce8810ef4837a38eefe0fd0e0f66c34a986ba341ac75c6d2d450122d18f70d49

31 Julai, 2025

Serikali ya Kenya yalalamika kuhusu masharti mapya ya biashara Tanzania

Kenya imewasilisha malalamiko rasmi kuhusu masharti mapya ya biashara na leseni yaliyotangazwa na Tanzania wiki hii.

1753962265569 rjjp9k bd3589c11cef9e821015020f4cf34f394208dc8c9cf05c1ebc199e3c6fd832c8

31 Julai, 2025

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Sudan wajadili juhudi za kutafuta amani nchini Sudan

Waziri wa Sudan ametoa shukrani zake kwa nchi ya Misri kuendelea kwake kuunga mkono uhuru na usalama wa Sudan.

a39f9309a3be8304e73dde7611233f964cca8645620c1837b8ba35d6ed43deac

31 Julai, 2025

Tuko tayari kwa CHAN, Uganda yasema

Serikali ya nchi hiyo imesema kuwa usalama umeimarishwa ipasavyo huku mashabiki wa soka wakitarajiwa kuelekea katika uwanja wa taifa wa Mandela ambao pia unajulikana kama Uwanja wa Namboole, kwa ajili ya michuano hiyo ya (CHAN)

0a90ce8ed1a30301f36e6eb4885308f784eaae9a8f0e90ad82d36f00026f4605

31 Julai, 2025

Watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kipindupindu Afrika Magharibi na Kati: UNICEF

Mlipuko wa kipindupindu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Nigeria umeibua tishio la maambukizi hayo kuenea nje ya mipaka, shirika la Umoja wa Mataifa limesema

08de2c19e00146961fed13b565c996bedbf28f3655cddc770994ceadadabf46c

30 Julai, 2025

Takriban wanajeshi sita wameuawa katika mapigano ya mpaka kati ya Sudan Kusini na Uganda

Mpaka huo haujafafanuliwa vizuri na mara nyingi huzua mapigano madogo madogo

71a2eb80e7f4369070770b254b44b9c2e7e808a680ddfd4567e3a480823ee46a
Inapakia...