Kiongozi wa upinzani Uganda, Bobi Wine kuwania urais

Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2021, Wine alikuwa wa pili, lakini alikataa matokeo, na kudai kulikuwa na wizi wa kura. Tuhuma ambazo serikali na Tume ya Uchaguzi ilizikana.
10 Mei, 2025
Mashambulizi ya anga Darfur yaua 14 kutoka familia moja

Watu hao wa familia moja wameuliwa baada ya kushambuliwa kwa kambi ya Abu Shouk na vikosi vya RSF Ijumaa jioni, vikosi vya uokoaji vimesema.
10 Mei, 2025
Jamhuri ya Afrika ya Kati yamshikilia kiongozi wa waasi Sayo kwa uhalifu wa kivita

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, alikamatwa nchini Cameroon tangu Januari alipokuwa akijaribu kupanda ndege na kuelekea nchini Ufaransa.
10 Mei, 2025
Waasi DRC waamuru wachimba migodi kusitisha uchimbaji kufuatia utata wa kodi

Serikali mpya ya gavana wa M23 kwenye mkoa wa Kivu ya Kusini inasema kampuni ya uchimbaji madini ya Twangiza Mining lazima ifuate sheria mpya na kulipa kodi ambazo zinadaiwa walikuwa hawalipi.
9 Mei, 2025

Zambia yawasimamisha kazi maafisa wakuu wa serikali kufuatia uwizi wa dawa

Erastus Edung Ethekon Mwenyekiti mteule wa tume huru ya uchaguzi Kenya ni nani?

Vita vya Sudan: Mashambulizi zaidi ya ndege zisizo na rubani yaikumba Port Sudan

Trump anapanga ‘kuwachukua Marekani’ wakimbizi wa Afrika Kusini

Tanzania yalitaka Bunge la Ulaya kuheshimu uhuru, sheria na maadili ya Taifa
8 Mei, 2025
Rais wa Kenya ateua makamishna wa tume huru ya uchaguzi
Rais wa Kenya William amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo.

8 Mei, 2025
Rwanda yatuma maafisa wa polisi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Rwanda ilianza oparesheni zake za usaidizi wa amani nchini CAR mwaka 2014, na kwa sasa ina vikosi vinne nchini humo.

8 Mei, 2025
Rais wa Tanzania amewafutia rasmi faini za madeni ya bili za maji raia wake
Baadhi ya raia wa Tanzania wanaodaiwa faini ya bili za maji, wamepata afuweni baada ya rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuwafutia mzigo huo wadaiwa.

8 Mei, 2025
Wanamgambo wa RSF waanzisha mashambulizi mapya katika maeneo ya mashariki, kusini mwa Sudan
Mashambulizi yamelenga maghala ya kimkakati ya mafuta na kambi za kijeshi nchini Sudan, ikijumuisha maeneo muhimu yanayodhibitiwa na jeshi kama vile Port Sudan na Kosti.

8 Mei, 2025
Kenya yasajili wafungwa katika huduma mpya ya bima ya taifa ya afya
Kuanzia Oktoba 2024, Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (SHA) umechukua nafasi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambao umekuwepo tangu 1966.

8 Mei, 2025
UAE ‘haitambui’ uamuzi wa Sudan wa kukata uhusiano wa kidiplomasia
UAE inasema serikali inayoambatana na jeshi la Sudan sio serikali halali ya nchi hiyo ya Kiafrika. Hii inakuja siku moja baada ya Sudan kukata uhusiano wa kidiplomasia na kufunga ubalozi wake na ubalozi wake katika jimbo la Ghuba.

8 Mei, 2025
Moshi mweusi Vatican mchakato wa kura siku ya kwanza wakamilika
Papa mpya hakuchaguliwa baada ya kura ya kwanza kupigwa kwa lengo la kumchagua kiongozi huyo wa 267 wa Kanisa Katoliki duniani.

7 Mei, 2025
Urusi, Jamhuri ya Congo yajadiliana kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kijeshi
Urusi imefanya mazungumzo na Jamhuri ya Congo kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa masuala ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili.

7 Mei, 2025
Serikali ya Trump inapanga kuwasafirisha wakimbizi Libya kwa kutumia ndege za kijeshi
Maafisa wa Marekani wanasema watu wanaweza kuanza kusafirishwa kutoka nchini humo kuanzia wiki hii, licha ya kuwa mpango huo umezua taharuki na watu kuupinga

7 Mei, 2025
Jela kwa wasafirishaji wa siafu Kenya
Miongoni mwa wanne hao kuna raia wawili wa Ubelgiji ambao walipatikana na hatia kwa kujaribu kusafirisha siafu hao adimu nje ya nchi.


