Ajali ya barabarani Zimbabwe yaua takriban watu 17

Takriban watu 17 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya barabarani katika mji wa Chitungwiza nchini Zimbabwe, polisi walisema Jumanne.
22 Julai, 2025
Kenya: Polisi waanza uchunguzi baada ya mafuvu mawili, mwili kufukuliwa huko Kilifi

Sehemu ya Chakama, inahusisha pia msitu wa Shakahola, ambako miili ya zaidi ya watu 450 ilifukuliwa kutoka makaburi mafupi mwaka 2023, katika tukio maarufu lililogusa hisia za wengi nchini Kenya.
22 Julai, 2025
Nini chanzo cha mvutano kati ya Ethiopia na Eritrea?

Ethiopia ilikuwa ikitumika kama kitovu muhimu cha siasa za kijiografia na kiuchumi kwa shughuli za kibiashara, biashara, na mwingiliano na mataifa kadhaa ya Asia na Ulaya.
22 Julai, 2025
Mkenya Stephen Munyakho aachiliwa huru kutoka jela Saudi Arabia

Stephen Abdulkareem Munyakho, raia wa Kenya ambaye alikuwa anakabiliwa na adhabu ya kifo Saudia Arabia, ameachiliwa huru na anatarajiwa kusafiri hadi nchini kwake, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje Korir Sing’oei alitangaza Jumanne.
22 Julai, 2025

Benki ya Dunia: Simu za mkononi zinavyoleta mageuzi katika sekta ya fedha

Kutoka chumba cha habari hadi bungeni

Rais wa Afrika Kusini amfuta kazi waziri wa elimu ya juu

Zambia inatarajia uchimbaji madini kuongeza ukuaji wa uchumi

Burundi yafuatilia uamuzi wa Marekani kuwanyima viza
21 Julai, 2025
Je, kikundi cha M23 kitaondoka mashariki mwa DRC baada ya makubaliano ya hivi majuzi?
Makubaliano kati ya DRC na kikundi cha M23 hayaamuru uondoaji wa wanajeshi au kutatua masuala ya kujenga imani kama vile kuachiliwa kwa wafungwa au ufikiaji wa benki katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi.

21 Julai, 2025
Rais wa Zanzibar apongeza mchango wa kambi za matibabu
Rais Mwinyi amewahakikishia wananchi kuwa kuwa serikali yake itaendelea kufanya juhudi za kuleta mageuzi katika kuimarisha sekta ya afya.

21 Julai, 2025
Mafuta miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuagizwa kutoka nje Rwanda
Bidhaa 10 bora za Rwanda zilizoagizwa kutoka nje mwaka 2024 zilifikia zaidi ya dola bilioni 1.95 (takriban Rwf2.8 trilioni), kulingana na takwimu ya Wizara ya Biashara na Viwanda.

21 Julai, 2025
Rais Ruto wa Kenya aahidi kutimiza ahadi alizozitoa
Rais William Ruto wa Kenya anasema kuwa anasingiziwa na kwamba, aliahidi tu kinachoweza kufanyika wala hazikuwa ahadi za kupitiliza bali ni kuinua matumaini ya Wakenya.

21 Julai, 2025
Shirika la Msalaba Mwekundu lasema liko tayari kuwasaidia waliokuwa wamezuiliwa na M23
Hii inafuatia makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kikundi chenye silaha cha M23 Movement (AFC/M23).

21 Julai, 2025
Rais wa Eritrea aonya Ethiopia dhidi ya vita
Rais wa Eritrea, Isaias Afwerki, amewaonya jirani zao Ethiopia dhidi ya kuanzisha vita vipya kati ya nchi hizo mbili.

20 Julai, 2025
Uturuki inakaribisha makubaliano ya amani ya DRC na waasi wa M23
Wizara ya mambo ya nje ya Uturuki ilipongeza wasimamizi wa makubaliano hayo yaliyotiwa saini nchini Qatar siku ya Jumamosi.

20 Julai, 2025
Rwanda yapongeza makubaliano ya DRC ya kusitisha mapigano na waasi wa M23 kama ‘hatua muhimu’
”Sote inabidi tuunge mkono mwendelezo wa maendeleo hadi tamati,” inasema taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda

19 Julai, 2025
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wafikia makubaliano ya muda ya kumaliza mzozo
Makubaliano ya kusitisha mapigano na waasi katika jitihada za kumaliza machafuko ya muda mrefu mashariki mwa nchi hiyo na yanafuatia mkataba tofauti wa amani kati ya Congo na Rwanda uliotiwa saini mjini Washington mwezi uliopita.

19 Julai, 2025
CCM yaahirisha vikao vya kitaifa bila kutangaza tarehe mpya
Katika barua iliyosambazwa mitandaoni, katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Chama alielezea kwa ufupi tu kuwa ni kutokana na sababu za kiufundi.




