21 Julai, 2025

Je, kikundi cha M23 kitaondoka mashariki mwa DRC baada ya makubaliano ya hivi majuzi?

Makubaliano kati ya DRC na kikundi cha M23 hayaamuru uondoaji wa wanajeshi au kutatua masuala ya kujenga imani kama vile kuachiliwa kwa wafungwa au ufikiaji wa benki katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi.

2025 07 18t205310z 1 lynxmpel6h107 rtroptp 3 congo security minerals

21 Julai, 2025

Rais wa Zanzibar apongeza mchango wa kambi za matibabu

Rais Mwinyi amewahakikishia wananchi kuwa kuwa serikali yake itaendelea kufanya juhudi za kuleta mageuzi katika kuimarisha sekta ya afya.

345c9cf1456df4a21d6766c8131a0185aecac6a925910e6af375354011450b9a

21 Julai, 2025

Mafuta miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuagizwa kutoka nje Rwanda

Bidhaa 10 bora za Rwanda zilizoagizwa kutoka nje mwaka 2024 zilifikia zaidi ya dola bilioni 1.95 (takriban Rwf2.8 trilioni), kulingana na takwimu ya Wizara ya Biashara na Viwanda.

2025 05 08t133948z 1 lynxmpel470pb rtroptp 3 migration britain rwanda

21 Julai, 2025

Rais Ruto wa Kenya aahidi kutimiza ahadi alizozitoa

Rais William Ruto wa Kenya anasema kuwa anasingiziwa na kwamba, aliahidi tu kinachoweza kufanyika wala hazikuwa ahadi za kupitiliza bali ni kuinua matumaini ya Wakenya.

2025 07 09t160725z 1 lynxmpel680se rtroptp 3 kenya security protests ruto

21 Julai, 2025

Shirika la Msalaba Mwekundu lasema liko tayari kuwasaidia waliokuwa wamezuiliwa na M23

Hii inafuatia makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kikundi chenye silaha cha M23 Movement (AFC/M23).

1753085554882 jhbamk f4e287692e079f6e61a87159bd9c984a6a2d0ef6d5cf1695058f8a75ea596897

21 Julai, 2025

Rais wa Eritrea aonya Ethiopia dhidi ya vita

Rais wa Eritrea, Isaias Afwerki, amewaonya jirani zao Ethiopia dhidi ya kuanzisha vita vipya kati ya nchi hizo mbili.

presos main

20 Julai, 2025

Uturuki inakaribisha makubaliano ya amani ya DRC na waasi wa M23

Wizara ya mambo ya nje ya Uturuki ilipongeza wasimamizi wa makubaliano hayo yaliyotiwa saini nchini Qatar siku ya Jumamosi.

adcab8bac3f046f2024a5f2e9fb3740e315dce77934b69815460d7e5ee6c370b

20 Julai, 2025

Rwanda yapongeza makubaliano ya DRC ya kusitisha mapigano na waasi wa M23 kama ‘hatua muhimu’

”Sote inabidi tuunge mkono mwendelezo wa maendeleo hadi tamati,” inasema taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda

ae81be9cee130b240383511982c258a645dc8a0a23a7f722975b7e93c2fc51fd

19 Julai, 2025

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wafikia makubaliano ya muda ya kumaliza mzozo

Makubaliano ya kusitisha mapigano na waasi katika jitihada za kumaliza machafuko ya muda mrefu mashariki mwa nchi hiyo na yanafuatia mkataba tofauti wa amani kati ya Congo na Rwanda uliotiwa saini mjini Washington mwezi uliopita.

2025 07 19t091643z 1596453928 rc2kpfak1ztg rtrmadp 3 congo security qatar

19 Julai, 2025

CCM yaahirisha vikao vya kitaifa bila kutangaza tarehe mpya

Katika barua iliyosambazwa mitandaoni, katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Chama alielezea kwa ufupi tu kuwa ni kutokana na sababu za kiufundi.

8450a39c358731d9e220617c895eaea2a23e83937ce5754de910fef052d3acbf
Inapakia...