Gabon kumuapisha kiongozi aliyefanya mapinduzi Oligui kuwa rais

Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa mwezi uliopita akipata asilimia 95 ya kura baada ya kuongoza serikali ya mpito kwa miezi 19.
3 Mei, 2025
Mkuu wa Jeshi la Uganda adai kumshikilia mpinzani nyumbani kwake

Mkuu wa jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amefanya msururu wa machapisho kwa X kuhusu mlinzi wa kiongozi mkuu wa upinzani nchini aliyeripotiwa kutekwa
2 Mei, 2025
Kenya yachunguza mauaji ya mbunge Were

Mbunge Charles Were aliuawa jioni ya Aprili 30 jijini Nairobi na watu waliokuwa na silaha ambao inaaminika walikuwa wakimfuatilia, huku taarifa sasa zikisema kuwa alipigwa risasi nne.
2 Mei, 2025
Raia 44 wa Ethiopia waokolewa Afrika Kusini

Kuna visa vya mara kwa mara za raia wa Ethiopia kuingia Afrika Kusini kwa njia zisizo halali hasa kupitia mawakala.
2 Mei, 2025

Polisi watano wauawa Kenya katika makabiliano na kundi la al-Shabaab

Serikali ya DRC yathibitisha mlipuko wa ugonjwa wa Kimeta

Tanzania: Chama Cha Mapinduzi chalaani shambulio dhidi ya Padre Charles Kitima

Wanamgambo wa RSF washambulia Ikulu ya Rais mjini Khartoum

Rais Ruto ataka uchunguzi wa kina kufanyika kuhusu mauaji ya mbunge Nairobi
1 Mei, 2025
Waziri Mkuu wa Libya aamuru kufungwa kwa balozi 25
Ofisi ya Waziri Mkuu inasema serikali itapitia upya kiwango cha wafanyakazi na mazingira ya kazi katika balozi zilizobaki.

1 Mei, 2025
Kiongozi wa Sudan al-Burhan amteua Al-Haj kama waziri mkuu wa serikali ya mpito
Al-Burhan pia ameidhinisha uteuzi wa mawaziri wengine wapya

30 Aprili, 2025
Mlima Kilimanjaro wang’ara kati ya maeneo ya kuvutia kwa picha ulimwenguni
Jumla ya wapandaji 50,000 hukwea mlima huo kila mwaka, huku ukivutia watumiaji wa mitandao zaidi ya milioni 5.5 kila mwaka.

30 Aprili, 2025
Kenya: Watu wasiojulikana wammiminia risasi na kumuua mbunge wa Kasipul Charles Were
Dereva wa mbunge huyo hakupata madhara yoyote kwenye tukio hilo.

30 Aprili, 2025
Uzalishaji wa madini ya shaba waongezeka kwa 30% Zambia
Mamlaka zinasema uzalishaji wa madini ya shaba umeongezeka licha ya kuwepo kwa mgao wa umeme kutokana na ukame

30 Aprili, 2025
Rwanda kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta
Chini ya mipango hiyo, serikali inalenga angalau miezi mitatu ya akiba ya mafuta na petroli, kutoka uwezo wa mwezi mmoja wa hivi sasa.

30 Aprili, 2025
Umoja wa Mataifa yasafirisha wanajeshi na polisi wa DRC waliokimbia vituo
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC, MONUSCO unasema maafisa hao wa usalama wamekuwa chini ya ulinzi wao kwa miezi mitatu kufuatia mashambulizi ya waasi wa M23 mashariki mwa DRC.

30 Aprili, 2025
Twiga nchini Kenya wahamishwa maeneo bora
Huduma ya Wanyamapori nchini Kenya, KWS inasema zoezi la kuhamisha wanyama linalenga kujaza makazi ambayo hayatumiki.

30 Aprili, 2025
Maiti za wafanyakazi 5 wa timboni waliouawa na al Shabaab zasafirishwa Nairobi
Polisi wanasema waliouawa walikuwa wameondoka katika mji waliokuwa bila kufahamisha maafisa wa usalama, kama ilivyo kawaida ya eneo hilo. Wote walikuwa ndani ya usafiri wa umma.

30 Aprili, 2025
Baraza la mawaziri Kenya lapitisha Muswada wa Fedha 2025
Mabadiliko muhimu ni pamoja na kurahisisha urejeshaji wa kodi, kuimarisha sheria za migogoro ya kodi, na kurekebisha sheria kuu za kodi ili kupunguza ukwepaji.


