21 Aprili, 2025

Watu 35 wauawa nchini Sudan kutokana na mashambulizi ya RSF El-Fasher: Jeshi

Jeshi linasema limefanikiwa kukabiliana na mashambulizi ya wapiganaji wa RSF, na kuwaua 80, pamoja na kuharibu magari yao 10

sudan

21 Aprili, 2025

Baraza la Usalama la UN limelaani mashambulizi ya RSF dhidi ya wakimbizi huko Sudan

Baraza la Usalama la Umoja Wa Mataifa limetoa wito wa kuwajibishwa kwa kikosi cha RSF, kwa mashumbulizi dhidi ya raia.

reuters 2024 12 10 rapid support forces on omdurman

21 Aprili, 2025

Uganda kuleta sheria itakayoruhusu raia kushtakiwa mahakama ya kijeshi

Kizza Besigye anashikiliwa na serikali ya Uganda kwa tuhuma za uhaini na umiliki wa silaha bila kibali.

kizza 20besigye 20

21 Aprili, 2025

Polisi wa DRC wavamia maeneo ya aliyekuwa Rais Kabila – familia

Wachunguzi wanasema walikuwa wanatafuta vifaa vya kijeshi ambavyo huenda “viliibiwa au vimefichwa” lakini hakuna kilichopatikana, hii ni kulingana na msemaji wa familia ya Joseph Kabila.

kabila 20reuters

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yashtumu mashambulizi ya Israeli kwenye hospitali Gaza kama uhalifu wa kivita

Israeli imeshambulia kwa mabomu, kuchoma na kuharibu, hospitali zisizopungua 35 Gaza tangu Oktoba 2023, Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imesema.

gaza 1

21 Aprili, 2025

Rwanda isitishe kuwaunga mkono kijeshi M23 – Mshauri wa Trump masuala ya Afrika

Massad Boulos amesisitiza msimamo wa Marekani wa kuitaka ‘Rwanda kusitisha kuunga mkono kijeshi kundi la M23, na kuondoa vikosi vyake kutoka DRC’

2025 04 04t092137z 1 lynxnpel330gz rtroptp 3 congo security rwanda

21 Aprili, 2025

Raia wasiopungua 62 wameuawa kutokana mashambulizi ya RSF katika eneo la Darfur, Sudan

Wananawake 17, na watoto 15 ni miongoni mwa waliouawa, jeshi limesema

sudan

21 Aprili, 2025

‘Magaidi’ wachoma nyumba, makanisa katika mkoa wa Cabo Delgado nchini Msumbiji

Tangu 2017, eneo hilo lenye utajiri wa gesi limekuwa likikabiliwa na machafuko ya watu wenye silaha yaliyosababisha watu 10,000 kuhama makazi yao ikiwemo wanawake na watoto.

msumbiji 20reuters 1

21 Aprili, 2025

Jeshi la Somalia laua magaidi 47 wa al-Shabaab

Shambulizi hiolo linakuja siku moja baada ya magaidi hao kudhibiti mji Adan Yabaal, ulioko kilomita 245 kutoka mji mkuu wa Mogadishu.

fab 1

21 Aprili, 2025

Tanzania yatishia kupiga marufuku uingizaji wa bidhaa za Malawi

Waziri Bashe amewashauri wasafirishaji wote wa Kitanzania kuacha kupakia bidha hizo mpaka mgogoro huo wa kibiashara utakapopata utatuzi.

q
Inapakia...