30 Mei, 2025

Shirika la WFP kupunguza msaada kwa watu Ethiopia

WFP inaonya kwamba kuendelea kuwepo kwa upungufu wa fedha kunatatiza uwezo wake wa kuendeleza utoaji wa misaada ya chakula nchini Ethiopia kwa watu waliolazimika kuhama makazi yao na wakimbizi.

144cbfb3d3bd22a48efd05eb54b6ba5127ef30b1d83d3ff1b44e739c14e2f8ba

30 Mei, 2025

Serikali ya Kenya kununua mchele wote wa wakulima

Wizara ya kilimo imesema serikali itanunua zaidi ya tani 5000 za mchele kwa wakulima hao ambao wamelalamika kukwama na mazao yao kufuatia ununuzi wa mchele kutoka nje ya nchi.

c5801de3130aef14f76c938f4eb19e0e146947b3599797c203ab069f2bf68117

30 Mei, 2025

Naibu rais wa zamani wa Kenya ataka fidia kwa kutimuliwa

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya ambaye aliondolewa madarakani na bunge sasa anataka kulipwa fidia ya miaka mitano kamili ambayo angehudumu katika wadhifa huo.

5db9d5c846ab3409f4555fdcdeb2d299a3a4c942c06b1e33feb5c75e9f607067

30 Mei, 2025

Rais wa zamani wa DRC akutana na viongozi wa kidini mjini Goma

Kurudi kwake katika mji wa Goma kunaweza kuashiria sura mpya katika mzozo kati ya rais Tshisekedi na waasi wa M23, ambao wamedhibiti maeneo mengi, ikiwa ni pamoja na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini, tangu mapema 2025.

2025 05 29t155217z 1065290534 rc2prea6vkhv rtrmadp 3 congo security kabila

30 Mei, 2025

Wabunge Uganda waidhinisha mkopo wa dola milioni 568 kwa serikali ya Rais Museveni

Deni la jumla la umma nchini Uganda limeongezeka kwa 18% hadi dola bilioni 29.1 mwaka jana kutokana na kuongezeka kwa ukopaji wa ndani, kulingana na wizara ya fedha.

000b03abfb73edc22ca8233e6b663a3fe94d8fa8ca78cf7186f90901301e99ac

29 Mei, 2025

Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila arudi nchini humo kupitia Goma

Licha ya kuondoka nchini humo mwaka 2023, kiongozi huyo bado ana ushawishi mkubwa nchini DRC.

1d476126807a446c66d66db45bc5ebde72d9763080b1e21ba11f040d4ed78ead

29 Mei, 2025

Maadhimisho ya walinda amani duniani

Operesheni za Umoja wa Mataifa za kulinda amani huidhinishwa na Baraza la Amani na Usalama la UN.

2025 04 15t215540z 1 lynxmpel3e13e rtroptp 3 usa trump un

29 Mei, 2025

Bei ya matibabu ya saratani Kenya kupungua kwa zaidi ya mara tatu

Serikali inasema kuwa vipindi vya matibabu sasa vitagharimu dola 309 ( shilingi 40,000) badala ya bei ya awali ya zaidi ya dola 900 ( shilingi 120,000).

duale 202

29 Mei, 2025

Mwanamke wa Afrika Kusini afungwa maisha kwa kumuuza binti yake

Racquel Smith na wenzake wawili wameshtakiwa kifungo cha maisha kwa usafirishaji wa binadamu kinyume cha sheria na miaka 10 ya utekaji

kelly 1

28 Mei, 2025

Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia

Kulingana Wanjikũ wa Ngũgĩ, ambaye ni binti wa mwanafasihi huyo mahiri barani Afrika, amefariki dunia asubuhi ya Mei 28, 2025, akiwa na umri wa miaka 87.

ngugi 20wa 20thiongo 1 2 3
Inapakia...