Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) kuwachagua viongozi wapya

Rais wa sasa anayeondoka ni Lady Justice Imani Daud Aboud, raia wa Tanzania.
2 Juni, 2025
Kiongozi wa Chadema Tanzania, Tundu Lissu arudishwa mahakamani

Tundu Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema akabiliwa na kesi kadhaa ikiwemo ya uhaini.
2 Juni, 2025
Waziri Mkuu mpya wa Sudan, Kamil avunja serikali ya muda

Hoja ya Kamil Idris inalenga kufungua njia kwa Baraza jipya la Mawaziri huku kukiwa na vita vinavyoendelea na ukosefu wa utulivu wa kisiasa.
2 Juni, 2025
Ndege zisizo na rubani zagonga maeneo ya wanamgambo magharibi mwa Sudan

Mashambulizi matatu ya ndege zisizo na rubani yamegonga maeneo muhimu ya kijeshi magharibi mwa Sudan, walioshuhudia walisema Jumapili.
1 Juni, 2025

Mfanyabiashara wa Namibia auawa na simba jike akiwa safari mbugani na mkewe

Raila Odinga amtaka Rais Ruto kutoa fidia kwa waliouawa wakati wa maandaman ya Gen Z Kenya

Uturuki yatuma salamu za rambirambi kwa Nigeria kutokana na maafa ya mafuriko

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laidhinisha tena vikwazo vya silaha Sudan Kusini

Marekani yataka kesi ya Boeing mahakamani itupiliwe mbali
30 Mei, 2025
Shirika la WFP kupunguza msaada kwa watu Ethiopia
WFP inaonya kwamba kuendelea kuwepo kwa upungufu wa fedha kunatatiza uwezo wake wa kuendeleza utoaji wa misaada ya chakula nchini Ethiopia kwa watu waliolazimika kuhama makazi yao na wakimbizi.

30 Mei, 2025
Serikali ya Kenya kununua mchele wote wa wakulima
Wizara ya kilimo imesema serikali itanunua zaidi ya tani 5000 za mchele kwa wakulima hao ambao wamelalamika kukwama na mazao yao kufuatia ununuzi wa mchele kutoka nje ya nchi.

30 Mei, 2025
Naibu rais wa zamani wa Kenya ataka fidia kwa kutimuliwa
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya ambaye aliondolewa madarakani na bunge sasa anataka kulipwa fidia ya miaka mitano kamili ambayo angehudumu katika wadhifa huo.

30 Mei, 2025
Rais wa zamani wa DRC akutana na viongozi wa kidini mjini Goma
Kurudi kwake katika mji wa Goma kunaweza kuashiria sura mpya katika mzozo kati ya rais Tshisekedi na waasi wa M23, ambao wamedhibiti maeneo mengi, ikiwa ni pamoja na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini, tangu mapema 2025.

30 Mei, 2025
Wabunge Uganda waidhinisha mkopo wa dola milioni 568 kwa serikali ya Rais Museveni
Deni la jumla la umma nchini Uganda limeongezeka kwa 18% hadi dola bilioni 29.1 mwaka jana kutokana na kuongezeka kwa ukopaji wa ndani, kulingana na wizara ya fedha.

29 Mei, 2025
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila arudi nchini humo kupitia Goma
Licha ya kuondoka nchini humo mwaka 2023, kiongozi huyo bado ana ushawishi mkubwa nchini DRC.

29 Mei, 2025
Maadhimisho ya walinda amani duniani
Operesheni za Umoja wa Mataifa za kulinda amani huidhinishwa na Baraza la Amani na Usalama la UN.

29 Mei, 2025
Bei ya matibabu ya saratani Kenya kupungua kwa zaidi ya mara tatu
Serikali inasema kuwa vipindi vya matibabu sasa vitagharimu dola 309 ( shilingi 40,000) badala ya bei ya awali ya zaidi ya dola 900 ( shilingi 120,000).

29 Mei, 2025
Mwanamke wa Afrika Kusini afungwa maisha kwa kumuuza binti yake
Racquel Smith na wenzake wawili wameshtakiwa kifungo cha maisha kwa usafirishaji wa binadamu kinyume cha sheria na miaka 10 ya utekaji

28 Mei, 2025
Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia
Kulingana Wanjikũ wa Ngũgĩ, ambaye ni binti wa mwanafasihi huyo mahiri barani Afrika, amefariki dunia asubuhi ya Mei 28, 2025, akiwa na umri wa miaka 87.




