26 Septemba, 2025

Amri ya kutotoka nje yatangazwa katika mji mkuu wa Madagascar kufuatia maandamano ya fujo

Mamlaka nchini Madagascar siku ya Alhamisi iliweka amri ya kutotoka nje kuanzia jioni hadi alfajiri katika mji mkuu, kufuatia maandamano ya fujo yaliyosababishwa na ukosefu wa umeme na maji wa mara kwa mara, kwa mujibu wa afisa mwandamizi wa usalama.

93e53837caec82f070f16c4a212a8686b70b12f542c9459e08a6b1cf1e444c30

26 Septemba, 2025

Urusi na Ethiopia zasaini mpango wa kuanzisha mradi wa nishati ya nyuklia

Urusi na Ethiopia zimesaini mpango wa kuanzisha mradi wa ujenzi wa kiwanda cha nishati ya nyuklia katika nchi hiyo ya Afrika, shirika la habari la TASS limeripoti.

011bfd7c661cf76adc42a376b22567845cc04a9dd55aa25f17108fb3b4e141eb

25 Septemba, 2025

Uganda yasaini makubaliano ya kuwapokea kwa muda waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa Uholanzi

Uholanzi na Uganda wamekubaliana kushirikiana katika suala la kuwapokea waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa kwa muda, serikali ya Uholanzi ilisema siku ya Alhamisi.

5755b78cc4aafbe75cdaffb930580b64df34e1f69fbc1d9da3437210a948087e

25 Septemba, 2025

Kiongozi wa Al-Shabab miongoni mwa magaidi 24 waliouawa Somalia

Maafisa wa usalama wa Somalia wanasema wameratibu operesheni iliyowalenga viongozi wa al-Shabab na magaidi wengine, na kuwaua magaidi 24.

9f5f3b015510425dad944c91c36de47ffcc6071e3de6d5324d73d9cf29b2c26e

25 Septemba, 2025

Kenya yatarajia kufikia makubaliano ya biashara na Marekani

Kenya inatafuta kufikia soko la Marekani kwa bidhaa zake za mavazi, nguo na bidhaa za kilimo ikiwa ni pamoja na chai, kahawa na parachichi.

637cef3bce1273d3e4c383f5dfc42f910c838d53d3fdeb35fdddcb0af9f0f9cf

25 Septemba, 2025

Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa Malawi

Peter Mutharika amepata ushindi mkubwa dhidi ya Rais aliyekuwa madarakani Lazarus Chakwera, Tume ya Uchaguzi ya Malawi ilitangaza Jumatano.

59a9deacd8ad82d19db5a54bd15c361512dba40b2ec04644738d2eb12e6fdd0f

25 Septemba, 2025

DRC na Rwanda wamekubaliana kuanza kutekeleza hatua za kiusalama mwezi wa Oktoba

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda wamekubaliana kuanza kutekeleza hatua za kiusalama chini ya makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani mwezi ujao, kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa Jumatano.

1758787347650 8rfem 2a4b9f321827c3a2ea243e048ffb6d2de9c68832c206a3863f2d6dc82c414d81

24 Septemba, 2025

Tume ya Uchaguzi Malawi yamtangaza Peter Mutharika mshindi wa uchaguzi wa Septemba 16

Aliyekuwa Rais wa Malawi Peter Mutharika amepata kura milioni 3 (aslimia 56.8) kutangazwa rasmi rais-mteule, kwa kumshinda Rais aliye madarakani Lazarus Chakwera, aliyepata kura milioni 1.77 (asilimia 33) katika uchaguzi wa Septemba 16, 2025 .

bd94aacdf88f26085ee71bfb7aaef16cb920aa3a37769aff6f314182d492e94b

24 Septemba, 2025

‘Siyo fadhila kwa Afrika’: Hotuba kali ya Rais Ruto wa Kenya UNGA

Rais wa Kenya William Ruto ametoa hotuba kali katika kikao cha 80 cha Umoja wa Mataifa jijini New York, akisema mabadiliko yanahitajika UN, IMF, Benki ya Dunia na taasisi zingine, kwa kuzingatia maslahi ya Afrika kwenye mabadiliko hayo.

6b652216b88da39917350567118e5a590eec4915021b762290782a50f249a4b2

24 Septemba, 2025

Uganda : ‘Bobi Wine’ ateuliwa kama mgombea wa urais 2026

Aliwania wadhifa wa juu nchini mwaka 2021 lakini akashindwa na Rais aliye madarakani Yoweri Museveni.

ac78a2fbf543457bc0af3fb717c6ad0db03ca181ead1b2041316a78e9057d6a9
Inapakia...