Maelfu ya watu waondolewa Darfur huku wapiganaji wakichukua udhibiti wa kambi ya Zamzam

Mapigano karibu na kambi na maeneo mengine yamesababisha vifo vya raia zaidi ya 300, ikiwemo wafanyakazi 10 wa shirika la misaada la Relief International.
21 Aprili, 2025
Kundi la kigaidi la al-Shabaab ladhibiti mji muhimu nchini Somalia

Miji wa Adan Ayabaal, ulioko kilomita 245 kutoka Mogadishu, ni mji wa kimkakati unaounganisha jimbo la Hirshabelle na jimbo la kati la Galmudug, ulikombolewa kutoka kwa magaidi wakati wa operesheni ya kijeshi ya 2022
21 Aprili, 2025
Mchungaji wa Marekani Josh Sullivan aliyetekwa aokolewa baada ya ufyatulianaji risasi Afrika Kusini

Josh Sullivan alipatikana akiwa “hana madhara yoyote” ndani ya gari moja wakati wa operesheni hiyo ya Jumanne usiku, polisi wamesema.
21 Aprili, 2025
Ufaransa yashtumu timua timua ya Algeria, yataka kuanzishwa tena kwa ’mazungumzo ya dhati’

‘Ni wazi kuwa majadiliano hayajapewa nafasi kutokana na maamuzi yasiyo na msingi,’ anasema waziri wa mambo ya nje
21 Aprili, 2025

Mkutano wa London unataka ‘hatua madhubuti’ kutatua mgogoro wa Sudan

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimetaja marufuku ya uchaguzi kuwa ni kinyume cha katiba

Kiongozi wa wanamgambo wa Sudan Hemedti atangaza kuanzishwa kwa serikali mbadala

Ufaransa yamrejesha nyumbani balozi wake wa Algeria huku wasiwasi ukiongezeka

Matumizi ya vitambulisho zaidi ya 600,000 kusitishwa Tanzania
21 Aprili, 2025
Shirika la wakimbizi la UN laonya kuhusu ‘mzozo juu mzozo’ Congo mafuriko yakiwa kero kwa maelfu
UNHCR imetoa wito wa msaada wa dharura huku watu wengi zaidi wakihama makazi yao, na kukiwa na hatari ya magonjwa, pamoja na ukosefu wa fedha za kutosha

21 Aprili, 2025
Upinzani Sudan Kusini waitisha uchunguzi wa kimataifa wa madai ya dhulma ya serikali
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

21 Aprili, 2025
Kongamano la kimataifa laandaa misaada kwa Sudan baada ya miaka 2 ya vita, lakini amani haipatikani
Waliohudhuria ni pamoja na maafisa kutoka mataifa ya Magharibi, taasisi za kimataifa na nchi jirani – lakini hakuna hata mmoja kutoka Sudan. Jeshi la Sudan wala wapiganaji wa RSF hawakualikwa

21 Aprili, 2025
Kenya: Watu 4 wakamatwa wakijaribu kutorosha siafu kupitia uwanja wa ndege
Raia wa Vietnam, Duh Hung na Mkenya Dennis Ng’ang’a walifikishwa mbele ya Hakimu Mwandamizi Njeri Thuku wa JKIA, baada ya kukamatwa wakiwa na jumla ya siafu 300 waliohifadhiwa kwenye vichupa vidogo 140.

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi wake kufukuzwa
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

21 Aprili, 2025
Mkuu wa UN asema mauaji ya mamia ya watu Sudan ishara ya kutowajibika kwa jumuiya ya kimataifa
Volker Turk mkuu wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa anasema mashambulio katika kambi, na miji Kaskazini mwa Darfur yanazidisha matatizo, na hatari ya kusababisha machafuko kwa misingi ya kikabila

21 Aprili, 2025
SADC yakanusha madai ya M23 kuwa ilihusika katika operesheni ya kijeshi nchini DRC
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika inasema vikosi vyake vya kulinda amani havijahusika katika operesheni ya makabiliano ya kijeshi kama inavyodaiwa na kundi la waasi la M23

21 Aprili, 2025
Jeshi la wanamaji la India lazindua mazoezi ya pamoja na nchi 10 za Afrika
Mazoezi haya yanaratibiwa kwa pamoja na Jeshi la Wanamaji la India na lile la Tanzania na yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda.

21 Aprili, 2025
Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria
Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli
Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.


