21 Aprili, 2025

Shirika la wakimbizi la UN laonya kuhusu ‘mzozo juu mzozo’ Congo mafuriko yakiwa kero kwa maelfu

UNHCR imetoa wito wa msaada wa dharura huku watu wengi zaidi wakihama makazi yao, na kukiwa na hatari ya magonjwa, pamoja na ukosefu wa fedha za kutosha

drc

21 Aprili, 2025

Upinzani Sudan Kusini waitisha uchunguzi wa kimataifa wa madai ya dhulma ya serikali

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

2021 08 30t125222z 775000677 rc2j vhh rtrmadp 3 southsudan politics

21 Aprili, 2025

Kongamano la kimataifa laandaa misaada kwa Sudan baada ya miaka 2 ya vita, lakini amani haipatikani

Waliohudhuria ni pamoja na maafisa kutoka mataifa ya Magharibi, taasisi za kimataifa na nchi jirani – lakini hakuna hata mmoja kutoka Sudan. Jeshi la Sudan wala wapiganaji wa RSF hawakualikwa

fab 1 2

21 Aprili, 2025

Kenya: Watu 4 wakamatwa wakijaribu kutorosha siafu kupitia uwanja wa ndege

Raia wa Vietnam, Duh Hung na Mkenya Dennis Ng’ang’a walifikishwa mbele ya Hakimu Mwandamizi Njeri Thuku wa JKIA, baada ya kukamatwa wakiwa na jumla ya siafu 300 waliohifadhiwa kwenye vichupa vidogo 140.

1744709292784 8b2vp ants

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi wake kufukuzwa

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

2025 04 14t121128z 454097467 rc2n v3 rtrmadp 3 safrica politics usa

21 Aprili, 2025

Mkuu wa UN asema mauaji ya mamia ya watu Sudan ishara ya kutowajibika kwa jumuiya ya kimataifa

Volker Turk mkuu wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa anasema mashambulio katika kambi, na miji Kaskazini mwa Darfur yanazidisha matatizo, na hatari ya kusababisha machafuko kwa misingi ya kikabila

maktaba 20sudan 20zamzam

21 Aprili, 2025

SADC yakanusha madai ya M23 kuwa ilihusika katika operesheni ya kijeshi nchini DRC

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika inasema vikosi vyake vya kulinda amani havijahusika katika operesheni ya makabiliano ya kijeshi kama inavyodaiwa na kundi la waasi la M23

drc 20aa

21 Aprili, 2025

Jeshi la wanamaji la India lazindua mazoezi ya pamoja na nchi 10 za Afrika

Mazoezi haya yanaratibiwa kwa pamoja na Jeshi la Wanamaji la India na lile la Tanzania na yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda.

navy 20india 20africa

21 Aprili, 2025

Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria

Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

nigeria 20maktaba 1

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli

Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.

luthuli
Inapakia...