Rais wa Afrika Kusini asema wananchi wote nchini mwake wana haki sawa

Rais huyo amesema serikali imeanzisha sheria katika maeneo kama vile umiliki wa ardhi, usawa wa ajira na uwezeshaji wa kiuchumi kwa ajili ya kuhakikisha kila mtu anapata haki sawa.
28 Mei, 2025
Ethiopia yaadhimisha miaka 34 tangu kuanguka kwa uongozi wa Derg

Derg haikuwa maarufu kwa sababu ya sera mbaya na mauaji ya watu wengi, ambayo yalisababisha mshtuko kote nchini.
28 Mei, 2025
Kipindipindu chaongezeka katikati ya vita Sudan

Taarifa ya Wizara imesema kuwa watu 2,700 walipata ugonjwa huo ndani ya wiki moja tu, kati yao 172 walikufa.
28 Mei, 2025
Wanafunzi wa chuo Senegal wamzomea na kumfurusha balozi wa Israel chuoni mwao

Video zinaonyesha wanafunzi wakipeperusha bendera za Palestina, wakiimba “Palestine Huru” na wakimzomea mjumbe huyo mpya.
28 Mei, 2025

DRC inakabiliwa na kuongezeka gharama za kijeshi, nakisi ya kodi katika ‘bajeti mpya ya vita’

Utawala wa Trump waitaka mahakama kuruhusu kuhamishwa wahamiaji Sudan Kusini

Rwanda yafanya makubaliano ya usafiri wa anga na nchi 12

Zaidi ya maafisa polisi 1000 wamekufa katika kipindi cha miaka mitatu Kenya

Benki ya Dunia yashusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2025
27 Mei, 2025
Ujerumani inakanusha shutuma dhidi ya balozi wake baada ya jeshi la Uganda kukata uhusiano
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Berlin siku ya Jumatatu kuwa shutuma hizo ni “upuuzi na hazina mashiko

27 Mei, 2025
Kenya inaunga mkono mpango wa mamlaka ya kujisimamia Sahara Magharibi chini ya ufalme wa Morocco
Kenya, baada ya miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi mbili na Morocco, pia ilifungua ubalozi huko Rabat siku ya Jumatatu.

27 Mei, 2025
Nigeria yaondoa mswada unaotaka wasiopiga kura kufungwa hadi miezi sita
Bunge la Kitaifa la Nigeria limetupilia mbali mswada ambao ungefanya upigaji kura kuwa wa lazima, taarifa kutoka kwa spika wa Baraza la Wawakilishi alisema Jumatatu.

26 Mei, 2025
Salim Mvurya: Kenya iko tayari kuandaa michuano ya CHAN 2025
Michuano hiyo imepangwa kufanyika mwezi Agosti, 2025.

26 Mei, 2025
Kikundi cha M23 chafurahia Joseph Kabila kurejea nchini DRC
Kabila, mwenye umri wa miaka 53, alikuwa kiongozi wa DRC kutoka mwaka 2001 hadi 2019, aliporithiwa na Tshisekedi.

26 Mei, 2025
Mashirika binafsi ya matibabu Rwanda yataka mfumo wa ushuru kurekebishwa
Mashirika binafsi ya matibabu nchini Rwanda yanasema kutobadilishwa kwa ushuru tangu 2017 ni chnagamoto kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la gharama za uendeshaji, ikiwa ni pamoja na mishahara kwa wafanyakazi wa sekta ya afya na bidhaa.

26 Mei, 2025
Serikali ya Kenya kuuza zaidi hisa zake Safaricom, waziri wa fedha amesema
Serikali ya Kenya inapanga kuuza hisa zaidi katika kampuni kubwa ya mawasiliano nchini humo Safaricom, Waziri wa Fedha John Mbadi alinukuliwa na gazeti moja nchini humo siku ya Jumatatu.

26 Mei, 2025
Uganda yasitisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani
Uganda “imesimamisha” ushirikiano wote wa kijeshi na Ujerumani, huku jeshi likisema kuwa balozi wa Ujerumani mjini Kampala “anajishughulisha na vitendo vya uasi” katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

26 Mei, 2025
Ethiopia yathibitisha visa vya kwanza vya ugonjwa wa mpox kwa mtoto mchanga na mama
Chanzo cha maambukizi kinachunguzwa, lakini matokeo ya awali yanaonyesha maambukizi ya kuvuka mpaka wa kusini mwa mji wa Moyale.

25 Mei, 2025
DRC yalenga makubaliano ya madini ya Marekani kufikia mwisho wa Juni
Maafisa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wana matumaini wanaweza kufikia makubaliano na Washington mwezi ujao ili kupata uwekezaji wa Marekani katika madini muhimu.




