27 Mei, 2025

Ujerumani inakanusha shutuma dhidi ya balozi wake baada ya jeshi la Uganda kukata uhusiano

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Berlin siku ya Jumatatu kuwa shutuma hizo ni “upuuzi na hazina mashiko

fab 1

27 Mei, 2025

Kenya inaunga mkono mpango wa mamlaka ya kujisimamia Sahara Magharibi chini ya ufalme wa Morocco

Kenya, baada ya miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi mbili na Morocco, pia ilifungua ubalozi huko Rabat siku ya Jumatatu.

2025 05 26t231638z 1 lynxnpel4p0rc rtroptp 3 morocco kenya westernsahara

27 Mei, 2025

Nigeria yaondoa mswada unaotaka wasiopiga kura kufungwa hadi miezi sita

Bunge la Kitaifa la Nigeria limetupilia mbali mswada ambao ungefanya upigaji kura kuwa wa lazima, taarifa kutoka kwa spika wa Baraza la Wawakilishi alisema Jumatatu.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

26 Mei, 2025

Salim Mvurya: Kenya iko tayari kuandaa michuano ya CHAN 2025

Michuano hiyo imepangwa kufanyika mwezi Agosti, 2025.

mvurya

26 Mei, 2025

Kikundi cha M23 chafurahia Joseph Kabila kurejea nchini DRC

Kabila, mwenye umri wa miaka 53, alikuwa kiongozi wa DRC kutoka mwaka 2001 hadi 2019, aliporithiwa na Tshisekedi.

kabila 1

26 Mei, 2025

Mashirika binafsi ya matibabu Rwanda yataka mfumo wa ushuru kurekebishwa

Mashirika binafsi ya matibabu nchini Rwanda yanasema kutobadilishwa kwa ushuru tangu 2017 ni chnagamoto kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la gharama za uendeshaji, ikiwa ni pamoja na mishahara kwa wafanyakazi wa sekta ya afya na bidhaa.

hospital

26 Mei, 2025

Serikali ya Kenya kuuza zaidi hisa zake Safaricom, waziri wa fedha amesema

Serikali ya Kenya inapanga kuuza hisa zaidi katika kampuni kubwa ya mawasiliano nchini humo Safaricom, Waziri wa Fedha John Mbadi alinukuliwa na gazeti moja nchini humo siku ya Jumatatu.

safaricom

26 Mei, 2025

Uganda yasitisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani

Uganda “imesimamisha” ushirikiano wote wa kijeshi na Ujerumani, huku jeshi likisema kuwa balozi wa Ujerumani mjini Kampala “anajishughulisha na vitendo vya uasi” katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

2025 05 20t164838z 1 lynxmpel4j0u6 rtroptp 3 uganda politics

26 Mei, 2025

Ethiopia yathibitisha visa vya kwanza vya ugonjwa wa mpox kwa mtoto mchanga na mama

Chanzo cha maambukizi kinachunguzwa, lakini matokeo ya awali yanaonyesha maambukizi ya kuvuka mpaka wa kusini mwa mji wa Moyale.

2024 09 02t181309z 335071699 rc2e eh5u9 rtrmadp 3 health mpox congo

25 Mei, 2025

DRC yalenga makubaliano ya madini ya Marekani kufikia mwisho wa Juni

Maafisa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wana matumaini wanaweza kufikia makubaliano na Washington mwezi ujao ili kupata uwekezaji wa Marekani katika madini muhimu.

fabe
Inapakia...