23 Mei, 2025

DRC yamuondolea kinga rais mstaafu Joseph Kabila

Joseph Kabila ambaye aliiongoza DRC kuanzia 2001 hadi 2019, sasa anakabiliwa na uwezekano wa kufikishwa katika mahakama za kijeshi kwa tuhuma za “uhaini, uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya binadamu na kushiriki katika harakati za uasi.”

2018 01 26t160430z 1909374023 rc1 0000 rtrmadp 3 congo protests 20 1

22 Mei, 2025

Ubalozi wa Uganda nchini Tanzania wafanya jitihada za kumtafuta mwanaharakati Agather Atuhaire

Agather, ni kati ya wanaharakati wanaodaiwa kukamatwa Mei 19, 2025 jijini Dar es Salaam, wakati wakijiandaa kuhudhuria usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Tundu Lissu.

agather 202 main 1

22 Mei, 2025

Wakenya wakosa kulipa mikopo ya zaidi ya dola milioni 46 chini ya “Hustler Fund”

Pesa hizi zilitolewa kupitia simu chini ya fungu maalumu la “Hustler Fund” mradi wa mikopo midogo midogo iliyoanzishwa na Rais William Ruto alipoingia madarakani 2022.

ruto 20rut

22 Mei, 2025

Tanzania yamuachilia Boniface Mwangi

Boniface Mwangi mwanaharakati wa Kenya na mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.

2025 05 21t121441z 1 lynxmpel4k0lt rtroptp 3 tanzania politics 1 2

22 Mei, 2025

Umoja wa Afrika ‘hauwezi kuwa na furaha’ kuhusu kuwafukuza Wapalestina: Angola

“Kwa hakika tunatetea suluhisho la serikali mbili,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio anasema.

whatsapp 20image 202025 05 12 20at 2013 57 49

22 Mei, 2025

Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi

Boniface Mwangi wa Kenya na mwanaharakati mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.

2025 05 21t121441z 1 lynxmpel4k0lt rtroptp 3 tanzania politics 1 2

21 Mei, 2025

Waziri wa zamani wa madini nchini Senegal ashitakiwa kwa ufisadi

Gladima anakuwa kiongozi wa tatu katika uongozi uliopita wa Macky Sall kushitakiwa kwa tuhuma za ufisadi.

emmanuel chukwu of nigeria challe match between nigeria and senegal

21 Mei, 2025

Uganda yapitisha sheria ya raia kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi

Bunge la Uganda limepitisha sheria iliyofanyiwa marekebisho ambayo sasa inayoruhusu mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia, na kutoa hukumu, jambo lililosababisha maandamano kutoka kwa upinzani.

uganda military trials 00726

21 Mei, 2025

DRC yamhukumu waziri mkuu wa zamani miaka 10 ya kazi ngumu kutokana na ufisadi

Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Augustin Matata Ponyo amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na kazi ngumu kwa kosa la “kufuja” dola milioni 247 za serikali.

augustine

21 Mei, 2025

Serikali ya Trump yawapeleka wahamiaji wa Asia Sudan Kusini, yakiuka agizo la mahakama

Wanasheria wa masuala ya wahamiaji wanasema wanaume wote wawili wamesafirishwa kutoka Marekani pamoja na watu wengine 10 katika ‘mataifa mengine’

south 20sudan
Inapakia...