Mashirika ya utangazaji ya Malawi yasitisha kujumlisha kura huku wakisubiri matokeo rasmi

Angalau vyombo vya habari vinne vya televisheni, ikiwa ni pamoja na shirika la utangazaji la umma la MBC, viliondoa mabango yao ya matokeo waliyokusanya kutoka kwa vituo vya kupigia kura.
24 Septemba, 2025
Gharama ya ulipaji madeni Uganda kikwazo cha maendeleo katika sekta muhimu

Benki Kuu ya Uganda na nyengine zimeonya kuwa gharama ya ulipaji madeni inatafuna rasilimali zinazohitajika katika sekta nyengine muhimu kama vile elimu na afya.
24 Septemba, 2025
Kenya yaboresha uwezo wake wa kubaini Polio

Maabara ya taifa imeimarishwa na teknolojia ya hali ya juu ya kupanga jeni, uwezo wa kutenganisha virusi, majukwaa ya uchunguzi wa molekuli, na uhifadhi ulioongezwa ambao utapunguza wakati wa uchunguzi wa virusi vya polio na magonjwa mengine.
24 Septemba, 2025
Vyama vikuu vya Malawi vyadai kushinda uchaguzi kabla ya matokeo rasmi kutangazwa

Vyama vya wagombea wawili wakuu katika uchaguzi wa rais wa Malawi vilitangaza ushindi Alhamisi, huku vikikemewa na tume ya uchaguzi ambayo bado haijatangaza matokeo.
24 Septemba, 2025

Idadi ya vifo vya Ebola nchini DRC yafikia 31

Tanzania yashuka viwango vya ubora vya FIFA, Uganda yapanda

Misri yasema bangili ya dhahabu yenye umri wa miaka 3,000 iliibiwa na kuyeyushwa

Tofauti ya uchaguzi wa Tanzania 2025

Ghana kupokea wahamiaji 40 zaidi wa Afrika Magharibi waliotimuliwa kutoka Marekani
18 Septemba, 2025
Wakimbizi 61 kutoka Sudan wafa maji katika ajali ya meli Libya: Ripoti ya UNCHR
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi limesema ni watu 13 pekee walionusurika baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi 74 kutoka Sudan kuzama katika pwani ya Libya.

17 Septemba, 2025
Vurugu Niger: Wenyeji waliuawa wakati wa sherehe ya ubatizo
Mashambulizi haya yametokea katika mkoa wa Tillaberi, karibu na Burkina Faso na Mali, ambapo vikundi vya watuhumiwa vinavyohusishwa na Al-Qaeda na Daesh viko hai.

17 Septemba, 2025
Raia wa Malawi wanasubiria matokeo ya uchaguzi wa urais uliokuwa na ushindani mkali
Matokeo kutoka vituo vya upigaji kura yanatumwa katika vituo vya kuhesabu kura za majimbo kabla ya kutumwa katika kituo kikuu cha kuhesabu kura.

17 Septemba, 2025
Ndege isiyokuwa na rubani yawajeruhi wanafunzi nchini Rwanda
Kulingana na jeshi la Taifa la Rwanda, UAV hiyo ilikuwa sehemu katika mazoezi ya kawaida

17 Septemba, 2025
Kenya yatoa hati ya kukamtwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Mkenya mwaka 2012
Mwaka 2012, Agnes Wanjiru alipatikana akiwa amefariki ndani ya tanki la majitaka katika Hoteli ya Lion’s Court katikati ya mji wa Nanyuki, baada ya kuonekana kwa mara ya mwisho akiwa na kundi la wanajeshi wa Uingereza katika hoteli hiyo.

17 Septemba, 2025
Uganda kukopa zaidi ya dola milioni 350 kuendesha miradi yake
Mkopo huo ni kwa ajili ya kuunganisha gridi ya umeme na taifa jirani la Sudan Kusini.

17 Septemba, 2025
Mahakama ya Afrika Kusini yatupa nje kesi ya kukataza mwili wa Lungu kurudishwa Zambia
Mahakama kuu nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya familia ya marehemu Rais wa Zambia Edgar Lungu iliyotaka kusimamisha kurejeshwa kwa mwili wake Zambia kwa mazishi.

17 Septemba, 2025
Senegal imekamata mashua ya mbao iliyobeba wahamiaji 112 wakijaribu kuvuka Atlantiki
Mamlaka ya Senegal imewakamata wahamiaji 112 waliokuwa kwenye mashua ndefu ya uvuvi ya mbao nje ya pwani ya Dakar walipokuwa wakijaribu kufika Ulaya kupitia njia ya Bahari ya Atlantiki, maafisa walisema Jumanne.

17 Septemba, 2025
Mahakama ya Kenya yatoa hati ya kukamatwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Agnes Wanjiru
Kulingana na Alexander Muteti, ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Nairobi, kulikuwa na sababu za kutoa hati ya kukamatwa kwa mshukiwa huyo ambaye ni mkazi wa Uingereza.

17 Septemba, 2025
Tanzania: Yanga yatwaa taji la Ngao ya Jamii ikiifunga Simba 1-0
Bao pekee la ‘Wananchi’ lilipatikana katika dakika 53 ya mchezo, kupitia kwa mchezaji wao nyota, Pacome Zouzoua, na hivyo kuifanya Simba kupoteza mchezo wao wa sita mfululizo katika michezo tofauti, mbele ya mahasimu wao wa jadi.



