Uturuki, Somalia wakubali kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na taarifa potofu

Nchi zote mbili zilisisitiza dhamira yao ya kukuza uhusiano wa karibu kati ya watu wa Somalia na Uturuki na kufanya kazi pamoja ili kupambana na taarifa potofu ambazo zinaweza kuathiri urafiki wao wa muda mrefu.
25 Mei, 2025
Lissu ateuliwa katika uongozi wa Muungano wa Kimataifa wa Demokrasia – IDU

Tundu Lissu amechaguliwa katika nafasi ya mojawapo ya Makamu Wenyeviti wa Muungano huo wa Kisiasa duniani wenye lengo la kupigania sera za kisiasa za vyama vya mrengo wa kulia, akiwa bado anazuiliwa gerezani Tanzania.
24 Mei, 2025
Kiongozi wa zamani wa DRC akashifu mfumo wa haki baada ya kuondolewa kwa kinga ya kushtakiwa

Rais huyo wa zamani anasema mfumo wa haki unatumiwa waziwazi kwa malengo ya kisiasa katika nchi ambayo anasakwa kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.
24 Mei, 2025
Mwanaharakati wa Uganda apatikana ametupwa mpakani baada ya kukamatwa nchini Tanzania

Mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire alikwenda Tanzania kuonyesha mshikamano na kiongozi wa upinzani Tundu Lissu katika kusikilizwa kwa kesi yake ya uhaini Jumatatu.
24 Mei, 2025

Washukiwa watatu wa wizi kutoka Uganda wakamatwa Kenya

Karibu wachimba migodi 300 wakwama Afrika Kusini

Uganda kufunga baadhi ya balozi zake

Marekani kuiwekea vikwazo Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali

Tanzania yamuachilia Agather, mwanaharakati wa Uganda
23 Mei, 2025
DRC yamuondolea kinga rais mstaafu Joseph Kabila
Joseph Kabila ambaye aliiongoza DRC kuanzia 2001 hadi 2019, sasa anakabiliwa na uwezekano wa kufikishwa katika mahakama za kijeshi kwa tuhuma za “uhaini, uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya binadamu na kushiriki katika harakati za uasi.”

22 Mei, 2025
Ubalozi wa Uganda nchini Tanzania wafanya jitihada za kumtafuta mwanaharakati Agather Atuhaire
Agather, ni kati ya wanaharakati wanaodaiwa kukamatwa Mei 19, 2025 jijini Dar es Salaam, wakati wakijiandaa kuhudhuria usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Tundu Lissu.

22 Mei, 2025
Wakenya wakosa kulipa mikopo ya zaidi ya dola milioni 46 chini ya “Hustler Fund”
Pesa hizi zilitolewa kupitia simu chini ya fungu maalumu la “Hustler Fund” mradi wa mikopo midogo midogo iliyoanzishwa na Rais William Ruto alipoingia madarakani 2022.

22 Mei, 2025
Tanzania yamuachilia Boniface Mwangi
Boniface Mwangi mwanaharakati wa Kenya na mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.

22 Mei, 2025
Umoja wa Afrika ‘hauwezi kuwa na furaha’ kuhusu kuwafukuza Wapalestina: Angola
“Kwa hakika tunatetea suluhisho la serikali mbili,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio anasema.

22 Mei, 2025
Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi
Boniface Mwangi wa Kenya na mwanaharakati mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.

21 Mei, 2025
Waziri wa zamani wa madini nchini Senegal ashitakiwa kwa ufisadi
Gladima anakuwa kiongozi wa tatu katika uongozi uliopita wa Macky Sall kushitakiwa kwa tuhuma za ufisadi.

21 Mei, 2025
Uganda yapitisha sheria ya raia kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi
Bunge la Uganda limepitisha sheria iliyofanyiwa marekebisho ambayo sasa inayoruhusu mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia, na kutoa hukumu, jambo lililosababisha maandamano kutoka kwa upinzani.

21 Mei, 2025
DRC yamhukumu waziri mkuu wa zamani miaka 10 ya kazi ngumu kutokana na ufisadi
Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Augustin Matata Ponyo amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na kazi ngumu kwa kosa la “kufuja” dola milioni 247 za serikali.

21 Mei, 2025
Serikali ya Trump yawapeleka wahamiaji wa Asia Sudan Kusini, yakiuka agizo la mahakama
Wanasheria wa masuala ya wahamiaji wanasema wanaume wote wawili wamesafirishwa kutoka Marekani pamoja na watu wengine 10 katika ‘mataifa mengine’




