Tume ya Uchaguzi Tanzania yasema hakuna muda wa ziada uandikishaji Daftari la Kudumu

Zoezi hilo pia linahusisha kuwaondoa wasio na sifa kwenye Daftari hilo.
20 Mei, 2025
Kongamano la amani Rwanda lajadili mustakbali wa Afrika

Rwanda imeandaa mkutano wa kujadili amani na usalama, wenye kuendesha mijadala ya kina juu ya changamoto za usalama za Afrika na kuhimiza suluhisho endelevu.
20 Mei, 2025
Baadhi wapongeza hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya

Ingawa baadhi wamekosowa hatua ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokwenda kushuhudia kesi ya Tundu Lissu, wengine wameipongeza
20 Mei, 2025
Rwanda yafanya matibabu ya moyo ya aina yake

Utaratibu huo ulifanyika Ijumaa, Mei 16, katika hospitali ya King Faisal kuziba tundu la moyo
20 Mei, 2025

Rais Ruto akabidhi nyumba za bei nafuu Kenya

Kongamano la kwanza la usalama barani Afrika laanza wito ukiwa uwajibikaji katika kanda

Ufaransa ‘yatupilia mbali’ kesi ya aliyekuwa mke wa Juvenal Habyarimana

Somalia yazindua chanjo ya dhidi ya suruwa, polio, na nimonia

UN, Baraza la Rais Libya waunda ‘kamati ya mapatano’ baada ya mapigano Tripoli
18 Mei, 2025
Mamia ya Wanyarwanda waliokimbilia Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994 walirudishwa nyumbani
Kurejeshwa kwao kunatokana na makubaliano ya pande tatu kati ya Rwanda, Congo na UNHCR ambayo yamekuwepo kwa zaidi ya muongo mmoja.

18 Mei, 2025
Prof Janabi ashinda uteuzi wa Mkurugenzi wa WHO – Kanda ya Afrika
Prof Janabi, daktari wa magonjwa ya moyo na msimamizi wa afya anayeheshimika sana, amekuwa na jukumu muhimu katika kuunda hali ya matibabu ya Tanzania.

18 Mei, 2025
11 wauawa katika shambulio la kujitoa mhanga Somalia
Takriban watu 11 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya mshambuliaji wa kujitoa muhanga kujilipua nje ya kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumapili.

18 Mei, 2025
Wana vuguvugu wa upinzani kutoka Kenya wazuiwa kuingia Tanzania
Martha Karua, mwanasiasa mkongwe wa upinzani kutoka Kenya pamoja na wenzake wadaiwa kurejeshwa walikotoka, bila sababu kutolewa japo wanadai kuwa walikuwa wageni wa chama cha wanasheria Tanzania.

18 Mei, 2025
Mali ya mamia ya milioni yateketea katika moto mkubwa wa soko la nguo kuu kuu la Gikomba, Kenya
Mpangilio duni na msongamano wa vibanda na maduka zimesababisha visa vingi vya moto katika soko hili kubwa zaidi nchini Kenya na hasara ya mamia ya milioni ya pesa.

18 Mei, 2025
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki azuru Burkina Faso ili kuimarisha uhusiano, kujadili usalama
Ziara ya Burhanettin Duran inaangazia kukabiliana na ugaidi, utulivu wa kikanda, na ushirikiano kati ya Uturuki na Burkina Faso.

17 Mei, 2025
Rais Bongo wa Gabon aliyeondolewa madarakani akimbilia Angola na familia yake
Familia hiyo iliyokuwa kizuizini tangu mapinduzo ya Agosti 2023, iliachiliwa kufuatia juhudi za kidiplomasia za serikali ya Angpla.

16 Mei, 2025
Mbunge wa pili wa upinzani afungwa jela Zambia kwa kauli za uchochezi
Maureen Mabonga amehukumiwa miezi minane jela kwa kuhusika na ‘mienendo ya uchochezi’ ikiwemo ‘kuchochea uasi’ kwa misingi ya kikabila.

16 Mei, 2025
Kiongozi anayetaka kujitenga kwa Biafra Nigeria ashtakiwa Ufini kwa kuchochea ugaidi
Mashtaka dhidi ya Simon Ekpa yanahusiana na juhudi zake za kutaka kujitenga kwa eneo la Biafra nchini Nigeria kama taifa huru, Ofisi ya waendesha mashtaka nchini Ufini imesema.

16 Mei, 2025
Serikali ya kijeshi ya Guinea yachukua migodi 51 baada ya kufuta leseni zao
Kuna madini mengi ya bauxite nchini Guinea-Conakry yanayotumika kuzalisha alumini.




