18 Mei, 2025

Mamia ya Wanyarwanda waliokimbilia Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994 walirudishwa nyumbani

Kurejeshwa kwao kunatokana na makubaliano ya pande tatu kati ya Rwanda, Congo na UNHCR ambayo yamekuwepo kwa zaidi ya muongo mmoja.

fab 1 2 3 4 5

18 Mei, 2025

Prof Janabi ashinda uteuzi wa Mkurugenzi wa WHO – Kanda ya Afrika

Prof Janabi, daktari wa magonjwa ya moyo na msimamizi wa afya anayeheshimika sana, amekuwa na jukumu muhimu katika kuunda hali ya matibabu ya Tanzania.

fab 1 2

18 Mei, 2025

11 wauawa katika shambulio la kujitoa mhanga Somalia

Takriban watu 11 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya mshambuliaji wa kujitoa muhanga kujilipua nje ya kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumapili.

fab 1 2 3

18 Mei, 2025

Wana vuguvugu wa upinzani kutoka Kenya wazuiwa kuingia Tanzania

Martha Karua, mwanasiasa mkongwe wa upinzani kutoka Kenya pamoja na wenzake wadaiwa kurejeshwa walikotoka, bila sababu kutolewa japo wanadai kuwa walikuwa wageni wa chama cha wanasheria Tanzania.

fab 1

18 Mei, 2025

Mali ya mamia ya milioni yateketea katika moto mkubwa wa soko la nguo kuu kuu la Gikomba, Kenya

Mpangilio duni na msongamano wa vibanda na maduka zimesababisha visa vingi vya moto katika soko hili kubwa zaidi nchini Kenya na hasara ya mamia ya milioni ya pesa.

fire

18 Mei, 2025

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki azuru Burkina Faso ili kuimarisha uhusiano, kujadili usalama

Ziara ya Burhanettin Duran inaangazia kukabiliana na ugaidi, utulivu wa kikanda, na ushirikiano kati ya Uturuki na Burkina Faso.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

17 Mei, 2025

Rais Bongo wa Gabon aliyeondolewa madarakani akimbilia Angola na familia yake

Familia hiyo iliyokuwa kizuizini tangu mapinduzo ya Agosti 2023, iliachiliwa kufuatia juhudi za kidiplomasia za serikali ya Angpla.

1747472761448 3qlyzd 2022 02 18t090801z 317979431 rc29 9z5gsx rtrmadp 3 eu africa summit

16 Mei, 2025

Mbunge wa pili wa upinzani afungwa jela Zambia kwa kauli za uchochezi

Maureen Mabonga amehukumiwa miezi minane jela kwa kuhusika na ‘mienendo ya uchochezi’ ikiwemo ‘kuchochea uasi’ kwa misingi ya kikabila.

zambia 1

16 Mei, 2025

Kiongozi anayetaka kujitenga kwa Biafra Nigeria ashtakiwa Ufini kwa kuchochea ugaidi

Mashtaka dhidi ya Simon Ekpa yanahusiana na juhudi zake za kutaka kujitenga kwa eneo la Biafra nchini Nigeria kama taifa huru, Ofisi ya waendesha mashtaka nchini Ufini imesema.

ekpa

16 Mei, 2025

Serikali ya kijeshi ya Guinea yachukua migodi 51 baada ya kufuta leseni zao

Kuna madini mengi ya bauxite nchini Guinea-Conakry yanayotumika kuzalisha alumini.

guinea 20reuters
Inapakia...