15 Mei, 2025

Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan

Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.

1747301748368 ydubkr 2023 04 27t130941z 1026433036 rc2 n0apksk7 rtrmadp 3 sudan politics

15 Mei, 2025

Naibu rais wa zamani Kenya aanzisha chama chake

Rigathi Gachagua amesema kuwa chama cha DCP kitatanguliza sauti za Wakenya, hivyo basi kauli mbiu ya chama “Skiza Wakenya” ambayo inamaanisha “Sikiliza Wakenya”

gachagua

15 Mei, 2025

Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo

Kuhamishiwa kifungo cha nyumbani – ambapo sasa wameunganishwa tena na Ali Bongo – kulikuja Mei 9 baada ya shinikizo kutoka kwa maafisa wa Umoja wa Afrika kuwaachilia.

web 20bongo 20famille thumbnail 1

14 Mei, 2025

Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu

Wizara ya Mambo ya Nje imeeleza kuwa Uturuki iko tayari kutoa mchango wake katika kuhakikisha ‘kunapatikana suluhu endelevu na ya kudumu kwa mzozo huo’

01 22 2015Benghazi Libya

14 Mei, 2025

Jaji wa Mali anatarajiwa kuruhusu kufunguliwa tena kwa mgodi wa Barrick chini ya usimamizi mpya

Jaji mmoja nchini Mali anatarajiwa kuamuru kufunguliwa tena kwa kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Barrick Loulo-Gounkoto chini ya uongozi mpya kufuatia ombi la serikali ya Mali.

1747251280092 1imers barrick

14 Mei, 2025

Mali yapiga marufuku shirika la Televisheni la Ufaransa TV5 Monde kwa taarifa za maandamano

TV5 Monde imekuwa televisheni ya Ufaransa ya hivi karibuni kupigwa marufuku kupeperusha matangazo yake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

tvmonde

14 Mei, 2025

Wazungu wa Afrika Kusini wakimbilia Marekani, kanisa lakataa kuwapokea

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema Waafrikaner waliondoka kwa sababu wanapinga sera zinazolenga kushughulikia tatizo la ubaguzi wa rangi.

south africa us refugees 68599

14 Mei, 2025

Serikali ya Kenya yakana kuuza makampuni ya sukari

Ufafanuzi huo umekuja huku kukiwa na ongezeko wa malalamiko kutoka kwa wananchi, viongozi wa kisiasa kuhusu ukodishaji wa viwanda vya sukari vinavyomilikiwa na Serikali, baadhi ya viongozi wakiibua wasiwasi juu ya uwazi na ushirikishwaji wa wananchi.

2015 03 18t120000z 1620375918 gm1eb3i1mlg01 rtrmadp 3 kenya sugar

14 Mei, 2025

Mshukiwa akamatwa kwa mauaji ya mbunge Kenya

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

new 20suspect

13 Mei, 2025

Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini Burundi kwa wabunge, serikali za mitaa

Upigaji kura unatarajiwa kufanyika tarehe tano mwezi Juni, 2025

burundi
Inapakia...