Bunge la Uganda laidhinisha pendekezo la bajeti ya Dola Bilioni 20

Serikali imesema itaweka kipaumbele katika sekta ya kilimo-viwanda, utalii na madini.
16 Mei, 2025
Chama cha TPLF Ethiopia chailalamikia AU baada ya kufutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi

Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imedai kuwa TPLF imeshindwa kutekeleza “hatua za marekebisho” zinazotakiwa.
16 Mei, 2025
Rais wa zamani wa Gabon aelekea Angola na familia yake

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo, aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi mwaka 2023, amesafiri kwa ndege hadi Angola pamoja na mkewe na mwanae, ambao walihamishwa kutoka jela hadi kifungo cha nyumbani wiki iliyopita.
16 Mei, 2025
Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake

Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.
16 Mei, 2025

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaua kadhaa hospitali ya Sudan

Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu

Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka

Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir
15 Mei, 2025
Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan
Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.

15 Mei, 2025
Naibu rais wa zamani Kenya aanzisha chama chake
Rigathi Gachagua amesema kuwa chama cha DCP kitatanguliza sauti za Wakenya, hivyo basi kauli mbiu ya chama “Skiza Wakenya” ambayo inamaanisha “Sikiliza Wakenya”

15 Mei, 2025
Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo
Kuhamishiwa kifungo cha nyumbani – ambapo sasa wameunganishwa tena na Ali Bongo – kulikuja Mei 9 baada ya shinikizo kutoka kwa maafisa wa Umoja wa Afrika kuwaachilia.

14 Mei, 2025
Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu
Wizara ya Mambo ya Nje imeeleza kuwa Uturuki iko tayari kutoa mchango wake katika kuhakikisha ‘kunapatikana suluhu endelevu na ya kudumu kwa mzozo huo’

14 Mei, 2025
Jaji wa Mali anatarajiwa kuruhusu kufunguliwa tena kwa mgodi wa Barrick chini ya usimamizi mpya
Jaji mmoja nchini Mali anatarajiwa kuamuru kufunguliwa tena kwa kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Barrick Loulo-Gounkoto chini ya uongozi mpya kufuatia ombi la serikali ya Mali.

14 Mei, 2025
Mali yapiga marufuku shirika la Televisheni la Ufaransa TV5 Monde kwa taarifa za maandamano
TV5 Monde imekuwa televisheni ya Ufaransa ya hivi karibuni kupigwa marufuku kupeperusha matangazo yake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

14 Mei, 2025
Wazungu wa Afrika Kusini wakimbilia Marekani, kanisa lakataa kuwapokea
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema Waafrikaner waliondoka kwa sababu wanapinga sera zinazolenga kushughulikia tatizo la ubaguzi wa rangi.

14 Mei, 2025
Serikali ya Kenya yakana kuuza makampuni ya sukari
Ufafanuzi huo umekuja huku kukiwa na ongezeko wa malalamiko kutoka kwa wananchi, viongozi wa kisiasa kuhusu ukodishaji wa viwanda vya sukari vinavyomilikiwa na Serikali, baadhi ya viongozi wakiibua wasiwasi juu ya uwazi na ushirikishwaji wa wananchi.

14 Mei, 2025
Mshukiwa akamatwa kwa mauaji ya mbunge Kenya
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

13 Mei, 2025
Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini Burundi kwa wabunge, serikali za mitaa
Upigaji kura unatarajiwa kufanyika tarehe tano mwezi Juni, 2025




