12 Mei, 2025

Polisi Uganda yamkamata mhalifu sugu

Mhalifu aliyekamatwa anaitwa Imanantireganya Alfadudu, maarufu kama “ MCongo”.

police 20uganda

12 Mei, 2025

Mafuriko yasababisha vifo zaidi DRC

Waziri wa Afya wa jimbo la Kivu Kusini Theophile Walulika Muzaliwa amewaambia waandishi wa habari kuwa juhudi za utafutaji na uokoaji zimetatizwa pakubwa.

drc 20floods

12 Mei, 2025

Wakuu wa nchi, Maafisa Watendaji Wakuu wakutana Abidjan kuzungumzia uchumi wa bara la Afrika

Kongamano hilo maalumu la kiuchumi, ambalo linaanza Mei 12 hadi 13, 2025, litawaleta pamoja jumla ya washiriki 2,000 kutoka pande mbalimbali za bara la Afrika.

trump and ramaphosa

11 Mei, 2025

Traore wa Burkina Faso ataka ushirikiano zaidi na Urusi

Ibrahim Traore anataka ushirikiano zaidi wa kibiashara na teknolojia na amepongeza jukumu la kimataiffa la Urusi licha ya vikwazo vya Magharibi

russia victory day 51351

11 Mei, 2025

Mvua kubwa yaleta uharibu Mogadishu, Somalia

Mvua ya mwishoni mwa juma iliyonyesha kwa takriban saa nane, imeleta mafuriko na uharibifu mkubwa wa miundombinu.

somalia floods 08518

10 Mei, 2025

Viongozi zaidi wajivua uanachama Chadema, kunani?

Kuondoka Chadema kwa viongozi hawa, kunakuja siku kadhaa, za kujiondoa kwa kundi jengine la viongozi wa chama hicho kikongwe cha upinzani Tanzania, hivyo kuibua wasiwasi miongoni mwa wananchi na wadau wa kisiasa kuhusu hatma ya chama hicho

chadema web

10 Mei, 2025

Kiongozi wa upinzani Uganda, Bobi Wine kuwania urais

Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2021, Wine alikuwa wa pili, lakini alikataa matokeo, na kudai kulikuwa na wizi wa kura. Tuhuma ambazo serikali na Tume ya Uchaguzi ilizikana.

2025 05 09t132217z 1 lynxmpel480iz rtroptp 3 uganda politics wine

10 Mei, 2025

Mashambulizi ya anga Darfur yaua 14 kutoka familia moja

Watu hao wa familia moja wameuliwa baada ya kushambuliwa kwa kambi ya Abu Shouk na vikosi vya RSF Ijumaa jioni, vikosi vya uokoaji vimesema.

gettyimages 564036277

10 Mei, 2025

Jamhuri ya Afrika ya Kati yamshikilia kiongozi wa waasi Sayo kwa uhalifu wa kivita

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, alikamatwa nchini Cameroon tangu Januari alipokuwa akijaribu kupanda ndege na kuelekea nchini Ufaransa.

gettyimages 2157386857

9 Mei, 2025

Waasi DRC waamuru wachimba migodi kusitisha uchimbaji kufuatia utata wa kodi

Serikali mpya ya gavana wa M23 kwenye mkoa wa Kivu ya Kusini inasema kampuni ya uchimbaji madini ya Twangiza Mining lazima ifuate sheria mpya na kulipa kodi ambazo zinadaiwa walikuwa hawalipi.

dr 20twangiza
Inapakia...