Watu sita wamefariki na wengine 20 wanaswa kwenye mgodi wa dhahabu ulioporomoka Sudan

Juhudi zinaendelea kuwaokoa waliokwama chini ya vifusi, kulingana na afisa.
6 Septemba, 2025
Trump kutohudhuria mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini, na badala yake kumtuma makamu, Vance

Rais Trump mnamo Julai aliashiria kutohudhuria mkutano huo na kutuma mtu mwingine kuiwakilisha Marekani, akitaja kutoidhinisha kwake sera za Afrika Kusini.
6 Septemba, 2025
Marekani inaibadilisha Uganda na Eswatini kumhamishia mhamiaji mwenye utata, Garcia

Afisa wa Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani alituma barua pepe kwa wakili wa Abrego kumwambia kwamba nchi yake mpya ya kuhamishiwa sasa ni Eswatini baada ya kueleza hofu yake ya kukabiliwa na mashtaka nchini Uganda.
6 Septemba, 2025
Watoto 200 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan – shirika la misaada

Shirika la Save the Children linasema watu 150, ikiwemo watoto 40, wamenusurika na wanatibiwa kwa sasa.
5 Septemba, 2025

Mlipuko wa Mpox Afrika siyo suala la dharura duniani tena – WHO

Waasi wa Sudan wametekeleza uhalifu dhidi ya binadamu katika mji wa El-Fasher – Umoja wa Mataifa

Maulidi yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia

Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan

DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani
4 Septemba, 2025
DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki
Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba

4 Septemba, 2025
Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu
Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria

4 Septemba, 2025
CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko
Chama hicho cha upinzani kimeendelea kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania, siku sita toka kuanza kwa kampeni za nchi nzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

4 Septemba, 2025
Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan
Ni wakati wa kuanzisha mazungumzo ya kina, ya dhati na jumuishi ili kumaliza mzozo huo,” Papa anasema.

4 Septemba, 2025
Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe
Mpango huu unaimarisha nafasi ya Rwanda kama kitovu cha Afrika cha majaribio ya teknolojia ya kisasa ya anga, ilisema serikali ya nchi hiyo.

4 Septemba, 2025
Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi
Waziri Mkuu Abiy Ahmed alimteua Mamo kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia, NBE mnamo Januari 2023.

3 Septemba, 2025
Ethiopia yawania kuandaa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu tabianchi 2027
Ethiopia inawania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi 2027 katika mji mkuu Addis Ababa, wakiwa kwenye ushindani na Nigeria.

3 Septemba, 2025
Mwanamfalme wa Qatar ataka kuwekeza dola bilioni 21 DRC,serikali ya nchi hiyo imesema
Mwanamfalme wa Qatar Sheikh Mansour bin Jabr bin Jassim Al Thani anataka kuwekeza dola bilioni 21 nchini DRC, serikali ya nchi hiyo ilitangaza siku ya Jumatano.

3 Septemba, 2025
DR Congo yashtumu waasi wa M23 kwa kukiuka haki za binadamu, kulazimisha watu kujiunga nao
Utekaji nyara wa vijana unaendelea, hadi kulazimisha watu kujiunga nao katika mapigano , amesema afisa mmoja

3 Septemba, 2025
Luhaga Mpina: Sirudi CCM ng’o
Mwanasiasa huyo, ambaye uteuzi wake wa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ulitenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo (INEC), amesema kuwa hana nia ya kurejea kwenye chama chake cha CCM.



