Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko Somalia tangu mwezi Aprili: Umoja wa Mataifa

Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko nchini Somalia tangu katikati mwa mwezi Aprili, Umoja wa Mataifa umesema, huku idadi ya waliofariki ikifikia 17.
13 Mei, 2025
Mahakama ya Kenya yaidhinisha kusafirishwa Marekani kwa naibu spika wa zamani wa Afghanistan

Mwanasiasa wa Afghanistan Abdul Zahir Qadir anakabiliwa na mashtaka kuhusu dawa za kulevya na silaha nchini Marekani lakini mawakili wake wanapinga kuwa ushahidi uliowasilishwa dhidi yake umechochewa kisiasa.
13 Mei, 2025
Uganda yasimamisha kwa muda mabasi za kampuni ya YY Coaches kutoa huduma

Katika wiki mbili mabasi ya kampuni hiyo yameripotiwa kufanya ajali mara mbili, ya hivi karibuni ilikuwa Mei 5 iliyoua abiria watatu.
13 Mei, 2025
Kenya yahitaji ufadhili zaidi kwa vyombo vya usalama

Mkurugenzi Mkuu wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi nchini Kenya amesema vikosi vya usalama vimekuwa na changamoto ya kifedha kwa muda mrefu na haviwezi kupata vifaa vya kisasa vya ulinzi.
13 Mei, 2025

Wazalishaji Uganda wataka nafaka isiuzwe nje ya nchi

Serikali ya kijeshi ya Guinea yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi

Wabunge 40 Kenya wafungiwa ofisi kwa kushindwa kulipa kodi

Kiongozi wa upinzani Côte d’Ivoire Thiam ajiuzulu kufuatia utata wa uraia wa Ufaransa

Waafrika weupe wa Afrika Kusini wahamia Marekani kama wakimbizi
12 Mei, 2025
Polisi Uganda yamkamata mhalifu sugu
Mhalifu aliyekamatwa anaitwa Imanantireganya Alfadudu, maarufu kama “ MCongo”.

12 Mei, 2025
Mafuriko yasababisha vifo zaidi DRC
Waziri wa Afya wa jimbo la Kivu Kusini Theophile Walulika Muzaliwa amewaambia waandishi wa habari kuwa juhudi za utafutaji na uokoaji zimetatizwa pakubwa.

12 Mei, 2025
Wakuu wa nchi, Maafisa Watendaji Wakuu wakutana Abidjan kuzungumzia uchumi wa bara la Afrika
Kongamano hilo maalumu la kiuchumi, ambalo linaanza Mei 12 hadi 13, 2025, litawaleta pamoja jumla ya washiriki 2,000 kutoka pande mbalimbali za bara la Afrika.

11 Mei, 2025
Traore wa Burkina Faso ataka ushirikiano zaidi na Urusi
Ibrahim Traore anataka ushirikiano zaidi wa kibiashara na teknolojia na amepongeza jukumu la kimataiffa la Urusi licha ya vikwazo vya Magharibi

11 Mei, 2025
Mvua kubwa yaleta uharibu Mogadishu, Somalia
Mvua ya mwishoni mwa juma iliyonyesha kwa takriban saa nane, imeleta mafuriko na uharibifu mkubwa wa miundombinu.

10 Mei, 2025
Viongozi zaidi wajivua uanachama Chadema, kunani?
Kuondoka Chadema kwa viongozi hawa, kunakuja siku kadhaa, za kujiondoa kwa kundi jengine la viongozi wa chama hicho kikongwe cha upinzani Tanzania, hivyo kuibua wasiwasi miongoni mwa wananchi na wadau wa kisiasa kuhusu hatma ya chama hicho

10 Mei, 2025
Kiongozi wa upinzani Uganda, Bobi Wine kuwania urais
Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2021, Wine alikuwa wa pili, lakini alikataa matokeo, na kudai kulikuwa na wizi wa kura. Tuhuma ambazo serikali na Tume ya Uchaguzi ilizikana.

10 Mei, 2025
Mashambulizi ya anga Darfur yaua 14 kutoka familia moja
Watu hao wa familia moja wameuliwa baada ya kushambuliwa kwa kambi ya Abu Shouk na vikosi vya RSF Ijumaa jioni, vikosi vya uokoaji vimesema.

10 Mei, 2025
Jamhuri ya Afrika ya Kati yamshikilia kiongozi wa waasi Sayo kwa uhalifu wa kivita
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, alikamatwa nchini Cameroon tangu Januari alipokuwa akijaribu kupanda ndege na kuelekea nchini Ufaransa.

9 Mei, 2025
Waasi DRC waamuru wachimba migodi kusitisha uchimbaji kufuatia utata wa kodi
Serikali mpya ya gavana wa M23 kwenye mkoa wa Kivu ya Kusini inasema kampuni ya uchimbaji madini ya Twangiza Mining lazima ifuate sheria mpya na kulipa kodi ambazo zinadaiwa walikuwa hawalipi.




