5 Mei, 2025

Uganda yamkamata anayeshukiwa kuwateka nyara watalii baada ya miaka sita

Jeshi la Uganda linasema limemkamata mshukiwa huyo katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrais ya Congo, DRC miaka sita baada ya kuteka nyara watalii.

1746436440943 sy1n1f 21558176 0 0 7360 4912

5 Mei, 2025

Benki Kuu Tanzania yakazia matumizi ya fedha za nchi kwa biashara za ndani

Benki kuu ya Tanzania mapema mwezi huu, imetoa taarifa inayosisitiza matumizi ya fedha za ndani katika manunuzi na biashara zote za ndani huku ikisema kuwa matumizi ya fedha za kigeni ndani ya nchi ni kinyume cha sheria.

1746435910433 knr1nn gettyimages 1416886403

5 Mei, 2025

M23 yadhibiti mji wa kimkakati wa wavuvi mashariki mwa DRC licha ya makubaliano ya amani

Waasi wa M23 na washirika wake wachukua udhibiti wa mji wa Lunyasenge magharibi mwa pwani ya Ziwa Edward kaskazini mwa DRC.

m23

5 Mei, 2025

Watatu mbaroni baada ya Rais Ruto kurushiwa kiatu

Rais William Ruto alirushiwa kiatu alipokuwa anawahutubia wakazi wa eneo la Kehancha, kaunti ya Migor siku ya Jumapili.

ruto 20shoe picsart aiimageenhancer

4 Mei, 2025

Jeshi la Sudan lasema RSF imelenga miundombinu karibu na uwanja wa ndege Port Sudan

Msemaji wa jeshi la Sudan amesema vikosi vya RSF vimelenga kambi ya jeshi la anga na miundombinu mengine karibu na eneo la uwanja wa ndege uliopo Port Sudan

1746112210961 6ggstu 2025 04 18t130528z 249290311 rc26 9 rtrmadp 3 sudan politics zamzam 1

3 Mei, 2025

Idadi ya waliouawa katika shambulizi la Al-Nahud Sudan yafika 300: Tume ya haki

Tume ya kitaifa ya haki za binadamu nchini Sudan imeshtumu ‘ukiukwaji mkubwa uliotekelezwa na vikosi vya RSF dhidi ya raia huko Al-Nahud’

sudan

3 Mei, 2025

Gabon kumuapisha kiongozi aliyefanya mapinduzi Oligui kuwa rais

Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa mwezi uliopita akipata asilimia 95 ya kura baada ya kuongoza serikali ya mpito kwa miezi 19.

gabon 20presi

2 Mei, 2025

Mkuu wa Jeshi la Uganda adai kumshikilia mpinzani nyumbani kwake

Mkuu wa jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amefanya msururu wa machapisho kwa X kuhusu mlinzi wa kiongozi mkuu wa upinzani nchini aliyeripotiwa kutekwa

2025 03 28t151806z 1 lynxnpel2r0tr rtroptp 3 uganda politics

2 Mei, 2025

Kenya yachunguza mauaji ya mbunge Were

Mbunge Charles Were aliuawa jioni ya Aprili 30 jijini Nairobi na watu waliokuwa na silaha ambao inaaminika walikuwa wakimfuatilia, huku taarifa sasa zikisema kuwa alipigwa risasi nne.

2025 05 02t081149z 2098145184 rc2k9eaxqzoh rtrmadp 3 kenya crime

2 Mei, 2025

Raia 44 wa Ethiopia waokolewa Afrika Kusini

Kuna visa vya mara kwa mara za raia wa Ethiopia kuingia Afrika Kusini kwa njia zisizo halali hasa kupitia mawakala.

2014 10 27t120000z 376010863 gm1e ox02 rtrmadp 3 france immigration
Inapakia...