Kamanda wa zamani wa Israel aghairi safari ya Afrika Kusini, akihofia kukamatwa

Doron Almog, kamanda wa zamani wa Israel, amekatisha safari yake nchini Afrika Kusini kwa hofu ya kukamatwa kutokana na mchango wake katika vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza.
1 Septemba, 2025
Somalia inaipongeza Uturuki kwa Siku ya Ushindi, inasifu uhusiano thabiti

Somalia imeipongeza Uturuki kwa Siku yake ya 103 ya Ushindi, ambayo iliadhimishwa mnamo Agosti 30, 2025.
1 Septemba, 2025
Chama cha upinzani Tanzania CHAUMMA, kimezindua rasmi Jumapili Kampeni yake ya Urais

Katika hotuba yake, mgombea Urais Salum Mwalimu alizungumzia uwezeshaji wa watu mashinani, na kupendekeza uingiliaji kati wa moja kwa moja kama kufufua uchumi wa ndani na viwanda vya enzi za ukoloni.
31 Agosti, 2025
Hemetti wa RSF aapishwa kama kiongozi wa serikali sanjari huku raia wakiuawa Kordofan

Jeshi la Sudan linasema watu watano kutoka familia moja, ikiwemo wasichana wawili wadogo, waliuawa kwa shambulio la RSF la ndege zisizo na rubani Kaskazini mwa Jimbo la Kordofan kusini mwa Sudan.
30 Agosti, 2025

Mzimu wa Shakahola wazuka tena Kenya, miili 32 imefukuliwa.

Kampeni zang’oa nanga Tanzania, upinzani hauonekani

Tanzania: Jakaya Kikwete ‘awashangaa’ waliopinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan

Mchakato wa kujisajili kwa wapiga kura Kenya kuanza tena Septemba 29

Chad yapokea chanjo ya kipindupindu milioni 1.1 huku idadi ya vifo ikiongezeka
29 Agosti, 2025
Zaidi ya 6,000 waondoka kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyopo nchini Kenya
Mashirikia ya kibinadamu yameshindwa kutoa chakula kwa idadi kubwa ya wakimbizi kutokana na kupunguzwa kwa ratiba za chakula baada ya kupunguzwa kwa misaada kutoka Marekani na wahisani wengine.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea wahamiaji waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu
Rwanda imepokea wahamiaji saba waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu, msemaji wa serikali alisema kupitia taarifa siku ya Alhamisi, wiki chache baada ya nchi hizo mbili kufikia makubaliano ya kuhamisha hadi watu 250.

28 Agosti, 2025
Wakuu wa jeshi kutoka Somalia na Uturuki watembelea kambi za kijeshi za kupambana na Al-Shabaab
Wakuu hao wa kijeshi walifanya mazungumzo yaliyolenga kutathmini hali ya usalama, mahitaji ya wanajeshi, na mikakati ya kuongeza mashambulizi dhidi ya kundi la kigaidi la Al-Shabaab.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea kundi la kwanza la wahamiaji kutoka Marekani
Wahamiaji saba wamepewa makazi na Shirika la Kimataifa la Wahamiaji na ndiyo wenye idhini ya kuwatembelea, msemaji wa serikali amesema.

27 Agosti, 2025
Sudan inaripoti maambukizi 1,200 mapya ya kipindupindu na vifo 36 ndani ya wiki moja
Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Afrika ilipanda hadi kufikia 102,831, ikiwa ni pamoja na vifo 2,561 tangu kuzuka kwa Agosti 2024.

27 Agosti, 2025
Kundi lililojitenga la upinzani nchini Somalia lakubaliana na Rais juu ya uchaguzi
Kikundi cha upinzani cha Somalia kilichotenguka kutoka katika muungano wake mkuu kimesaini mkataba wa uchaguzi na Rais Hassan Sheikh Mohamud.

27 Agosti, 2025
Zambia yagundua zumaridi ya Kipekee ya karati 11,685
Zumaridi ya karati 11,685 (kilo 2.3) imepatikana nchini Zambia, kampuni ya uchimbaji madini ilisema.

26 Agosti, 2025
Tanzania yajikita kuongeza thamani ya madini ya nikeli na shaba
Licha ya Tanzania kuwa na utajiri mkubwa wa rasilimali, ikiwemo madini adimu kama nikeli na shaba, wachimbaji wa madini hayo kwa muda mrefu wamekuwa wakilalamika kutonufaika ipasavyo.

26 Agosti, 2025
DR Congo na waasi wa M23 waanzisha tena mazungumzo ya amani – Qatar
Mazungumzo hayo “yalijumuisha majadiliano juu ya kutafuta utaratibu wa kufuatilia usitishaji vita, pamoja na kubadilishana wafungwa”, wizara ya mambo ya nje ya Qatar ilisema.

26 Agosti, 2025
Uwanja wa ndege wa Entebbe waweka rekodi ya abiria wengi zaidi
Uwanja wa Kimataifa wa Entebbe nchini Uganda umepata abiria wengi zaidi mwezi Julai 2025 ikiwa ni 230,577, idadi kubwa zaidi katika historia ya uwanja huo wa ndege.



