Papa Leo awatetea wahamiaji wa Kiafrika kwenye kisiwa cha Mediterania

Papa Leo wa 14 anasema wahamiaji lazima wapokelewe kwa “huruma na ukarimu”.
4 Julai, 2026
Maelfu wakusanyika karibu na mpaka wa Afrika Kusini na Zimbabwe huku wimbi la wahamiaji likiondoka

Takriban watu 11,000, wengi wao wakiwa raia wa Malawi na Zimbabwe, walikuwa karibu na mji wa mpakani wa Musina kwa ajili ya usajili na uhakiki.
4 Julai, 2026
Afrika Kusini yapoteza kesi ya kuzuia usafirishaji wa pembe za faru

Wicus Diedericks, mmiliki wa hifadhi kubwa ya wanyamapori nchini Afrika Kusini, aliishtaki serikali ili kuilazimisha kuidhinisha usafirishaji wa nje wa pembe zaidi ya 500 za vifaru weupe.
4 Julai, 2026
Sudan iko tayari kumaliza vita, yaitaka RSF itangazwe kuwa kundi la kigaidi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema juhudi za kumaliza vita lazima zifuate mpango wa serikali, akitoa wito wa kusitishwa kwa usambazaji wa silaha kwa vikosi vya RSF na pia kutangazwa kwa kundi hilo kuwa la “kigaidi.”
3 Julai, 2026

UN yafunga ofisi ya haki za binadamu nchini Burkina Faso

Burkina Faso, Mali na Niger zimeanza rasmi mchakato wa kujiondoa ICC

Raia wa Algeria wachagua bunge jipya

Watu 5 wauawa katika mlipuko wa bomu nchini Syria na wengine 16 kujeruhiwa

16 wapoteza maisha, 20 wajeruhiwa ajali ya basi Afrika Kusini
2 Julai, 2026
Tanzania: Rais Samia aitaka TRA kukusanya kodi kwa haki
Rais Samia alisisitiza kuwa vita dhidi ya ukwepaji kodi, magendo na mianya ya upotevu wa mapato, ni lazima viende sambamba na huduma rafiki kwa walipakodi na mazingira bora ya biashara.

2 Julai, 2026
Ubelgiji yaiondoa Senegal Kombe la Dunia 2026
Ubelgiji ilifuzu kwa hatua ya timu 16 ya Kombe la Dunia baada ya ushindi 3-2 dhidi ya Senegal siku ya Jumatano, wakifunga magoli mawili dakika za mwisho mwisho kulazimisha muda wa zaida ambapo penati ya Youri Tielemans dakika 125 ilimaliza kazi.

1 Julai, 2026
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 120 Sudan tangu Mei 2026
Mlipuko wa kipindupindu nchini Sudan umeua watu 120, huku watu 1,102 wakiripotiwa kuambukizwa tangu mwezi Mei katika maeneo ya vita, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema Jumatano.

1 Julai, 2026
Wasichana 8 wa shule nchini Kenya washtakiwa kwa mauaji ya wanafunzi wenzao katika moto wa bweni
Kenya imekumbwa na matukio kadhaa ya moto shuleni huku mengi yakichomwa na wanafunzi.

1 Julai, 2026
Zaidi ya 900 wakamatwa wakati wa maandamano ya kupinga wahamiaji Afrika Kusini
Waandalizi wa maandamano hayo wanasema wataendelea na maandamano kwa muda wa miezi mitatu ijayo.

1 Julai, 2026
Basi la kuwarejesha raia wa Malawi kutoka Afrika Kusini laanguka na kuwajeruhi wengi
Abiria 11 waliojeruhiwa walipelekwa katika hospitali ya Musina kwa matibabu.

30 Juni, 2026
Maelfu waandamana dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini
Maelfu ya watu wameandamana nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne wakidai wahamiaji wasio na nyaraka halali wafukuzwe nchini humo na sheria za uhamiaji zifanyiwe marekebisho ili ziwe kali zaidi.

30 Juni, 2026
Vyombo vya habari vilivyofungwa na jeshi la Uganda vinasema mazungumzo yanaendelea ili kufungua tena
Wanajeshi wameendelea kuwazuia wafanyakazi kuingia katika majengo ya kampuni hiyo mjini Kampala huku majadiliano yakiendelea.

30 Juni, 2026
Raia wa Afrika Magharibi waliofurushwa Marekani waishitaki Ghana kwa kukubali mpango wa nchi ya tatu
Kesi hiyo inadai Ghana inakiuka sheria za ndani na kikanda kwa “kuwezesha uondoaji kwa nchi zisizo salama.”

30 Juni, 2026
Kenya na Rwanda zatia saini mkataba wa usafirishaji na uhifadhi wa mafuta kujiepusha na misukosuko
Nchi za Afrika Mashariki zinajaribu kuimarisha ustahimilivu wa nishati kufuatia kuyumba kwa soko la mafuta duniani hali ambayo imefichua hatari ya nchi zinazotegemea uagizaji bidhaa kutoka nje



