Serikali ya DRC yathibitisha mlipuko wa ugonjwa wa Kimeta

Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, kimeta ni ugonjwa wa mlipuko utokanao na vimelea vya bakteria vinavyojulikana kitaalamu kwa jina la ‘bacillus anthracis’.
1 Mei, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi chalaani shambulio dhidi ya Padre Charles Kitima

Chama hicho kimeahidi kuendelea kushirikiana na taasisi zote za dini katika kujenga taifa lenye kulinda na kuendeleza misingi ya amani, umoja wa kitaifa, mshikamano, heshima na linaloheshimu haki za binadamu.
1 Mei, 2025
Wanamgambo wa RSF washambulia Ikulu ya Rais mjini Khartoum

Wanamgambo hao wamekuwa katika mapigano na jeshi la nchi hiyo toka Aprili 2023, katika machafuko yalioua maelfu ya watu na kuwaacha wengine takribani milioni 13 bila makazi.
1 Mei, 2025
Rais Ruto ataka uchunguzi wa kina kufanyika kuhusu mauaji ya mbunge Nairobi

Polisi nchini Kenya wanasema mauaji ya kiongozi huyo ‘yalipangwa na yalikuwa mahsusi’
1 Mei, 2025

Waziri Mkuu wa Libya aamuru kufungwa kwa balozi 25

Kiongozi wa Sudan al-Burhan amteua Al-Haj kama waziri mkuu wa serikali ya mpito

Mlima Kilimanjaro wang’ara kati ya maeneo ya kuvutia kwa picha ulimwenguni

Kenya: Watu wasiojulikana wammiminia risasi na kumuua mbunge wa Kasipul Charles Were

Uzalishaji wa madini ya shaba waongezeka kwa 30% Zambia
30 Aprili, 2025
Rwanda kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta
Chini ya mipango hiyo, serikali inalenga angalau miezi mitatu ya akiba ya mafuta na petroli, kutoka uwezo wa mwezi mmoja wa hivi sasa.

30 Aprili, 2025
Umoja wa Mataifa yasafirisha wanajeshi na polisi wa DRC waliokimbia vituo
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC, MONUSCO unasema maafisa hao wa usalama wamekuwa chini ya ulinzi wao kwa miezi mitatu kufuatia mashambulizi ya waasi wa M23 mashariki mwa DRC.

30 Aprili, 2025
Twiga nchini Kenya wahamishwa maeneo bora
Huduma ya Wanyamapori nchini Kenya, KWS inasema zoezi la kuhamisha wanyama linalenga kujaza makazi ambayo hayatumiki.

30 Aprili, 2025
Maiti za wafanyakazi 5 wa timboni waliouawa na al Shabaab zasafirishwa Nairobi
Polisi wanasema waliouawa walikuwa wameondoka katika mji waliokuwa bila kufahamisha maafisa wa usalama, kama ilivyo kawaida ya eneo hilo. Wote walikuwa ndani ya usafiri wa umma.

30 Aprili, 2025
Baraza la mawaziri Kenya lapitisha Muswada wa Fedha 2025
Mabadiliko muhimu ni pamoja na kurahisisha urejeshaji wa kodi, kuimarisha sheria za migogoro ya kodi, na kurekebisha sheria kuu za kodi ili kupunguza ukwepaji.

30 Aprili, 2025
Afrika yaadhimisha wiki ya chanjo wataalam wakihimiza uwekezaji zaidi
Takwimu zinaonyesha kuwa Afrika inachangia asilimia 58 ya vifo duniani kutokana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo.

27 Aprili, 2025
Kenya Airways ya Nairobi- Dar es Salaam ililazimika kurudi JKIA kutokana na dharura ya kiafya
Ndege hiyo ya KQ484 ilirudishwa uwanja wa Jomo Kenyatta lakini baada ya itifaki za kiafya kutimizwa iliruhusiwa kuendelea na safari yake saa mbili baadaye.

27 Aprili, 2025
London Marathon: Assefa wa Ethiopia avunja rekodi ya dunia ya mbio za wanawake
Mwanariadha wa Ethiopia Tigst Assefa ameweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za marathon za wanawake baada ya kushinda mbio za London Marathon kwa saa 2 dakika 15 na sekunde 50 siku ya Jumapili.

27 Aprili, 2025
Wafungwa 4,887 wasamehewa katika sherehe za maadhimisho ya 61 ya Muungano, Tanzania
Hata hivyo kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa, hakuna msamaha kwa watuhumiwa wa hujuma ya uchumi wa nchi, ujambazi wa kutumia silaha, mauaji ya watoto wachanga, ugaidi, biashara ya dawa za kulevya na uhalifu wa mtandaoni.

27 Aprili, 2025
Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka Afrika Kusini, Malawi kuruhusu mazungumzo
Maafisa wa Tanzania wanasema kuwa nchi hizo mbili ziliwasiliana kivyake kutafuta suluhu ya mzozo wa kibiashara kwa njia ya mazungumzo.




