30 Aprili, 2025

Rwanda kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta

Chini ya mipango hiyo, serikali inalenga angalau miezi mitatu ya akiba ya mafuta na petroli, kutoka uwezo wa mwezi mmoja wa hivi sasa.

rwanda 20petroleum 1

30 Aprili, 2025

Umoja wa Mataifa yasafirisha wanajeshi na polisi wa DRC waliokimbia vituo

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC, MONUSCO unasema maafisa hao wa usalama wamekuwa chini ya ulinzi wao kwa miezi mitatu kufuatia mashambulizi ya waasi wa M23 mashariki mwa DRC.

monusco

30 Aprili, 2025

Twiga nchini Kenya wahamishwa maeneo bora

Huduma ya Wanyamapori nchini Kenya, KWS inasema zoezi la kuhamisha wanyama linalenga kujaza makazi ambayo hayatumiki.

girraffe 202

30 Aprili, 2025

Maiti za wafanyakazi 5 wa timboni waliouawa na al Shabaab zasafirishwa Nairobi

Polisi wanasema waliouawa walikuwa wameondoka katika mji waliokuwa bila kufahamisha maafisa wa usalama, kama ilivyo kawaida ya eneo hilo. Wote walikuwa ndani ya usafiri wa umma.

mandera 20police 20

30 Aprili, 2025

Baraza la mawaziri Kenya lapitisha Muswada wa Fedha 2025

Mabadiliko muhimu ni pamoja na kurahisisha urejeshaji wa kodi, kuimarisha sheria za migogoro ya kodi, na kurekebisha sheria kuu za kodi ili kupunguza ukwepaji.

cabinet 20meeting 202

30 Aprili, 2025

Afrika yaadhimisha wiki ya chanjo wataalam wakihimiza uwekezaji zaidi

Takwimu zinaonyesha kuwa Afrika inachangia asilimia 58 ya vifo duniani kutokana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo.

1745927350997 lhq8b rs55244 030 gavi uganda 50epi 20 jju28152

27 Aprili, 2025

Kenya Airways ya Nairobi- Dar es Salaam ililazimika kurudi JKIA kutokana na dharura ya kiafya

Ndege hiyo ya KQ484 ilirudishwa uwanja wa Jomo Kenyatta lakini baada ya itifaki za kiafya kutimizwa iliruhusiwa kuendelea na safari yake saa mbili baadaye.

2020 08 01t112030z 848632208 rc2z health coronavirus kenya airways

27 Aprili, 2025

London Marathon: Assefa wa Ethiopia avunja rekodi ya dunia ya mbio za wanawake

Mwanariadha wa Ethiopia Tigst Assefa ameweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za marathon za wanawake baada ya kushinda mbio za London Marathon kwa saa 2 dakika 15 na sekunde 50 siku ya Jumapili.

2025 04 27t102525z 915606206 up1e 0sybph rtrmadp 3 athletics london

27 Aprili, 2025

Wafungwa 4,887 wasamehewa katika sherehe za maadhimisho ya 61 ya Muungano, Tanzania

Hata hivyo kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa, hakuna msamaha kwa watuhumiwa wa hujuma ya uchumi wa nchi, ujambazi wa kutumia silaha, mauaji ya watoto wachanga, ugaidi, biashara ya dawa za kulevya na uhalifu wa mtandaoni.

gettyimages 1246353377

27 Aprili, 2025

Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka Afrika Kusini, Malawi kuruhusu mazungumzo

Maafisa wa Tanzania wanasema kuwa nchi hizo mbili ziliwasiliana kivyake kutafuta suluhu ya mzozo wa kibiashara kwa njia ya mazungumzo.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab
Inapakia...