23 Agosti, 2025

Mamilioni ya Waafrika walipotea: Trump akashifiwa kwa kudharau mambo ya kutisha ya utumwa

Donald Trump amekashifu Smithsonian kwa kuzingatia “jinsi utumwa ulivyokuwa mbaya”. Wanahistoria wanasema biashara ya utumwa ya Atlantiki ilikuwa miongoni mwa makosa makubwa zaidi ya utumwa na haki za binadamu.

95b487e81bca4df9131e079f50fd0070d5fa91e0659ad25f3b78b5e91d546f1a

22 Agosti, 2025

Maporomoko mabaya yasababisha majengo kufukiwa karibu na mji mkuu wa Guinea

Maporomoko hayo yanafuatia mvua mvua kubwa katika eneo hilo na kuja wakati Afrika Magharibi ikikumbwa na mafuriko, na kusababisha kufariki kwa watu zaidi ya 1,000 katika kipindi cha kwa mwaka uliopita.

f1c02af10a1aa644a314e464d01f3c2704a0992fd30d402abf638e3d4f88d881

22 Agosti, 2025

CHAN 2024: Tanzania kuvunja mwiko wa kufungwa na Morocco?

Timu ya taifa ya Tanzania, maarufu kama ‘Taifa Stars’, inajitupa uwanjani Agosti 22, 2025, kukabiliana na Morocco, katika mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024.

231c617981bcb5910bf609372502053ead9c37ede6d2552e2122d8fdd8cf4fc4

21 Agosti, 2025

Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia kwa bomu msafara wa msaada wa WFP Darfur

Jeshi la Sudan limekanusha madai ya wapiganaji wa RSF kuwa limefanya mashambulizi ya angani dhidi ya msafara wa misaada wa shirika la Mpango wa Chakula (WFP) uliokuwa unapeleka misaada Darfur.

9ed1b057c7420e7a4b1eff632749f379921dbb8c05844300c97ba9814b516c67

21 Agosti, 2025

Nigeria yawaondoa nchini raia wa kigeni matapeli 102, wengi wao wakiwa raia wa China

Waliofukuzwa nchini humo walikuwa miongoni mwa washukiwa 792 wanaoaminika kuhusika na wizi wa mitandaoni waliokamatwa katika msako jijini Lagos.

dbd4137efb9b93aa86d1064c3490a765d29259c287a260238cd76a573222dbbf

21 Agosti, 2025

Uganda yakubali kupokea wahamiaji walionyimwa kuingia nchini Marekani

Mpango huo unahusisha watu wenye rekodi za uhalifu, watoto wasio na walezi, na wale wanaosita kurudi makwao, kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

e555234f549cd700fb72cbcd18e9276149f9c5cabeef8ffc671f21ab7591ac6b

21 Agosti, 2025

Sudan yaanza kuijenga upya Khartoum huku vita vikiendelea

Umoja wa Mataifa (UN) inakadiria kuwa ukarabati wa miundombinu muhimu ya mji mkuu utahitaji karibu dola milioni 350, wakati ujenzi mzima wa Khartoum “utachukua miaka.”

sudan daily life 50623

21 Agosti, 2025

Uganda yafanya makubaliano na Trump ya kupokea wahamiaji kutoka Marekani

Uganda inakuwa nchi ya Afrika ya mwisho kukubali wahamiaji waliotimuliwa kutoka Marekani baada ya Eswatini, Sudan Kusini na Rwanda.

f91fb637 ca6e 4126 9de0 d914823e66dc

21 Agosti, 2025

47 wafariki huku maelfu wakiachwa bila makazi kufuatia mafuriko nchini Niger

Maelfu ya watu wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko ambayo yameharibu nyumba na kuua mifugo, kama ilivyosemwa na mamlaka.

e41edb193e1c7827bf87a92be95b82de020b539605c235fb02d8d959f9c42075

20 Agosti, 2025

Watu wasiopungua 22 wanaaminika kufariki katika ajali ya boti Nigeria

Watu wasiopungua 22 wanaaminika kufariki baada ya boti kuzama kaskazini magharibi mwa Nigeria, shirika la huduma ya dharura la nchi hiyo limesema siku ya Jumatano.

aac9d7628b505147326aeac39bda68020b7cad4e9c79e5e2455858449928f0cd
Inapakia...