12 Agosti, 2025

Watu 80 wamefariki dunia nchini Kenya katika ajali za barabarani ndani ya siku nne

Kenya imerekodi vifo 2,933 vya barabarani kufikia sasa mwaka wa 2025, huku vifo 80 vimeripotiwa katika muda wa siku nne zilizopita, amesema Waziri wa Barabara na Uchukuzi Davis Chirchir.

471560bdf8025c427f80f449004a365a66b2619c94ed36a245a78eac9bfd4700

12 Agosti, 2025

Somalia yawanyonga wanajeshi kwa kula njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda mkuu

Wanajeshi wawili wa Somalia waliohukumiwa kifo kwa kula njama na kundi la kigaidi la Al Shabab kumuua kamanda mmoja walinyongwa siku ya Jumatatu, maafisa wa mahakama ya kijeshi walisema.

dcc230e8ef01251d3605c2226eb7b7fb44d149a66905611f93e28bd65118b774 main

12 Agosti, 2025

Wanajeshi wa RSF waua zaidi ya 40 katika kambi ya Darfur: waokoaji

Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vilishambulia kambi ya wakimbizi huko Darfur siku ya Jumatatu, na kuua takriban raia 40 na kuwajeruhi wengine 19, waokoaji walisema.

1748263774071 w5vsw 2025 04 18t130536z 110235616 rc27 h rtrmadp 3 sudan politics zamzam main

11 Agosti, 2025

Jeshi la Nigeria laua zaidi ya ‘wapiganaji’ 100 katika mashambulizi ya angani,ardhini

Kulingana na taarifa, mashambulizi hayo ya kijeshi yanaweza kuwa ni kujibu uvamizi wa wapiganaji wa mara kwa mara, hasa utekaji mwezi uliopita.

c64291db22760ab2033bdc3129e88f883e0ecff9fb4172320a62655abd00c75b

11 Agosti, 2025

Maafisa waliofariki katika ajali ya helikopta Ghana wazikwa

Waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia Ibrahim Murtala Muhammed na Naibu Mratibu wa Usalama Limuna Muniru Mohammed walizikwa siku ya Jumapili.

dafb1b87ba0dc5efff1b3628fce5fee10f7c9b6778ace698f6de63a12e3acf41

11 Agosti, 2025

Chad yaadhimisha siku ya uhuru

Nchi hiyo kwa sasa iko chini ya uongozi wa Rais Mahamat Deby, ambaye aliapishwa tarehe 23 Mei 2024 kufuatia uchaguzi wa rais wa 2024.

tchad

11 Agosti, 2025

Wagombea zaidi wa Urais Tanzania wapokea fomu zao za uteuzi kutoka kwa Tume huru ya Uchaguzi

Miongoni mwa wagombea waliokabidhiwa fomu zao za kugombea urais na makamu wa rais, ni George Gabriel Bussungu kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA).

a118771bfdc49a3026dc1bf0f3513e35d950e8abb4a804c7a7646522330bc64c

11 Agosti, 2025

Utapiamlo waua watu 63 kwa wiki katika jimbo la El-Fasher Sudan

Upungufu wa lishe umekuwa ukisababisha vifo vya angalau watu 63, wengi wakiwa wanawake na watoto, katika wiki moja katika mji uliozingirwa wa El-Fasher nchini Sudan, afisa wa afya alisema Jumapili.

1754818985171 xaqi2 70b521da2ae9deec2a6ca194f15fb293fb63bb1a77cc8e7c1b0e7fc949f6925d main

11 Agosti, 2025

Sudan Kusini, Uganda kuchunguza mapigano ya mpakani

Sudan Kusini na Uganda kwa pamoja zitachunguza mapigano makali ya hivi majuzi kwenye mpaka wao, jeshi la Sudan Kusini lilisema Jumapili.

yoweri main

10 Agosti, 2025

Waziri wa Ulinzi wa Somalia Fiqi awapongeza wanajeshi kwa ‘ushujaa’ dhidi ya magaidi wa Al Shabab

Mji wa Bariire nchini Somalia ulikombolewa kutoka kwa magaidi wa Al Shabab kufuatia siku kadhaa za operesheni za kijeshi.

085d032e5761365cdc870479ef82402b264de4e36603c76f4248a9c161e3e25a
Inapakia...