DRC imekifuta chama cha rais wa zamani Kabila kwa madai ya kuwa na uhusiano na waasi wa M23

Joseph Kabila aliongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka 2001 hadi 2019.
21 Aprili, 2025
Vita vya Sudan: Familia zahangaika kusaidia waliojeruhiwa katika mji uliozingirwa wa El-Fasher

Huku kukiwa na uhaba mkubwa wa mahitaji muhimu huko El-Fasher, familia na majirani wanatumia maarifa kupata huduma ya kwanza kwa walioathiriwa na vita.
21 Aprili, 2025
CHADEMA: Tumethibitisha Lissu anazuiliwa gereza la Ukonga

Duru kutoka ndanxi ya Chama zinasema kuwa viongozi wawili wa chama hicho pamoja na wanafamilia wachache wameruhusiwa kumuona kupitia kizuizi cha glasi na wamezungumza kwa simu naye.
21 Aprili, 2025
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti DRC imeongezeka hadi 148

Zaidi ya wathiriwa wengine 150 waliokolewa wakiwa na viwango tofauti vya kuungua huku miili kadhaa iliyoteketea ikipatikana kutoka kwenye boti, asema afisa.
21 Aprili, 2025

Mzozo wa DRC: Rwanda kuruhusu vikosi vya Kusini mwa Afrika kupitia kwao

Watu 35 wauawa nchini Sudan kutokana na mashambulizi ya RSF El-Fasher: Jeshi

Baraza la Usalama la UN limelaani mashambulizi ya RSF dhidi ya wakimbizi huko Sudan

Uganda kuleta sheria itakayoruhusu raia kushtakiwa mahakama ya kijeshi

Polisi wa DRC wavamia maeneo ya aliyekuwa Rais Kabila – familia
21 Aprili, 2025
Afrika Kusini yashtumu mashambulizi ya Israeli kwenye hospitali Gaza kama uhalifu wa kivita
Israeli imeshambulia kwa mabomu, kuchoma na kuharibu, hospitali zisizopungua 35 Gaza tangu Oktoba 2023, Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imesema.

21 Aprili, 2025
Rwanda isitishe kuwaunga mkono kijeshi M23 – Mshauri wa Trump masuala ya Afrika
Massad Boulos amesisitiza msimamo wa Marekani wa kuitaka ‘Rwanda kusitisha kuunga mkono kijeshi kundi la M23, na kuondoa vikosi vyake kutoka DRC’

21 Aprili, 2025
Raia wasiopungua 62 wameuawa kutokana mashambulizi ya RSF katika eneo la Darfur, Sudan
Wananawake 17, na watoto 15 ni miongoni mwa waliouawa, jeshi limesema

21 Aprili, 2025
‘Magaidi’ wachoma nyumba, makanisa katika mkoa wa Cabo Delgado nchini Msumbiji
Tangu 2017, eneo hilo lenye utajiri wa gesi limekuwa likikabiliwa na machafuko ya watu wenye silaha yaliyosababisha watu 10,000 kuhama makazi yao ikiwemo wanawake na watoto.

21 Aprili, 2025
Jeshi la Somalia laua magaidi 47 wa al-Shabaab
Shambulizi hiolo linakuja siku moja baada ya magaidi hao kudhibiti mji Adan Yabaal, ulioko kilomita 245 kutoka mji mkuu wa Mogadishu.

21 Aprili, 2025
Tanzania yatishia kupiga marufuku uingizaji wa bidhaa za Malawi
Waziri Bashe amewashauri wasafirishaji wote wa Kitanzania kuacha kupakia bidha hizo mpaka mgogoro huo wa kibiashara utakapopata utatuzi.

21 Aprili, 2025
Mali yafunga ofisi za kampuni ya madini ya Canada kufuatia mvutano kuhusu kodi
Barrick Gold inasema ilitia saini makubaliano yaliyowasilishwa na serikali ya Mali mwezi Februari, lakini serikali ikashindwa kutekeleza.

21 Aprili, 2025
Maelfu ya watu waondolewa Darfur huku wapiganaji wakichukua udhibiti wa kambi ya Zamzam
Mapigano karibu na kambi na maeneo mengine yamesababisha vifo vya raia zaidi ya 300, ikiwemo wafanyakazi 10 wa shirika la misaada la Relief International.

21 Aprili, 2025
Kundi la kigaidi la al-Shabaab ladhibiti mji muhimu nchini Somalia
Miji wa Adan Ayabaal, ulioko kilomita 245 kutoka Mogadishu, ni mji wa kimkakati unaounganisha jimbo la Hirshabelle na jimbo la kati la Galmudug, ulikombolewa kutoka kwa magaidi wakati wa operesheni ya kijeshi ya 2022

21 Aprili, 2025
Mchungaji wa Marekani Josh Sullivan aliyetekwa aokolewa baada ya ufyatulianaji risasi Afrika Kusini
Josh Sullivan alipatikana akiwa “hana madhara yoyote” ndani ya gari moja wakati wa operesheni hiyo ya Jumanne usiku, polisi wamesema.




