21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yashtumu mashambulizi ya Israeli kwenye hospitali Gaza kama uhalifu wa kivita

Israeli imeshambulia kwa mabomu, kuchoma na kuharibu, hospitali zisizopungua 35 Gaza tangu Oktoba 2023, Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imesema.

gaza 1

21 Aprili, 2025

Rwanda isitishe kuwaunga mkono kijeshi M23 – Mshauri wa Trump masuala ya Afrika

Massad Boulos amesisitiza msimamo wa Marekani wa kuitaka ‘Rwanda kusitisha kuunga mkono kijeshi kundi la M23, na kuondoa vikosi vyake kutoka DRC’

2025 04 04t092137z 1 lynxnpel330gz rtroptp 3 congo security rwanda

21 Aprili, 2025

Raia wasiopungua 62 wameuawa kutokana mashambulizi ya RSF katika eneo la Darfur, Sudan

Wananawake 17, na watoto 15 ni miongoni mwa waliouawa, jeshi limesema

sudan

21 Aprili, 2025

‘Magaidi’ wachoma nyumba, makanisa katika mkoa wa Cabo Delgado nchini Msumbiji

Tangu 2017, eneo hilo lenye utajiri wa gesi limekuwa likikabiliwa na machafuko ya watu wenye silaha yaliyosababisha watu 10,000 kuhama makazi yao ikiwemo wanawake na watoto.

msumbiji 20reuters 1

21 Aprili, 2025

Jeshi la Somalia laua magaidi 47 wa al-Shabaab

Shambulizi hiolo linakuja siku moja baada ya magaidi hao kudhibiti mji Adan Yabaal, ulioko kilomita 245 kutoka mji mkuu wa Mogadishu.

fab 1

21 Aprili, 2025

Tanzania yatishia kupiga marufuku uingizaji wa bidhaa za Malawi

Waziri Bashe amewashauri wasafirishaji wote wa Kitanzania kuacha kupakia bidha hizo mpaka mgogoro huo wa kibiashara utakapopata utatuzi.

q

21 Aprili, 2025

Mali yafunga ofisi za kampuni ya madini ya Canada kufuatia mvutano kuhusu kodi

Barrick Gold inasema ilitia saini makubaliano yaliyowasilishwa na serikali ya Mali mwezi Februari, lakini serikali ikashindwa kutekeleza.

barrick

21 Aprili, 2025

Maelfu ya watu waondolewa Darfur huku wapiganaji wakichukua udhibiti wa kambi ya Zamzam

Mapigano karibu na kambi na maeneo mengine yamesababisha vifo vya raia zaidi ya 300, ikiwemo wafanyakazi 10 wa shirika la misaada la Relief International.

zamzam 20mom

21 Aprili, 2025

Kundi la kigaidi la al-Shabaab ladhibiti mji muhimu nchini Somalia

Miji wa Adan Ayabaal, ulioko kilomita 245 kutoka Mogadishu, ni mji wa kimkakati unaounganisha jimbo la Hirshabelle na jimbo la kati la Galmudug, ulikombolewa kutoka kwa magaidi wakati wa operesheni ya kijeshi ya 2022

som 20shab

21 Aprili, 2025

Mchungaji wa Marekani Josh Sullivan aliyetekwa aokolewa baada ya ufyatulianaji risasi Afrika Kusini

Josh Sullivan alipatikana akiwa “hana madhara yoyote” ndani ya gari moja wakati wa operesheni hiyo ya Jumanne usiku, polisi wamesema.

sa 20police
Inapakia...