21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi wake kufukuzwa

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

2025 04 14t121128z 454097467 rc2n v3 rtrmadp 3 safrica politics usa

21 Aprili, 2025

Mkuu wa UN asema mauaji ya mamia ya watu Sudan ishara ya kutowajibika kwa jumuiya ya kimataifa

Volker Turk mkuu wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa anasema mashambulio katika kambi, na miji Kaskazini mwa Darfur yanazidisha matatizo, na hatari ya kusababisha machafuko kwa misingi ya kikabila

maktaba 20sudan 20zamzam

21 Aprili, 2025

SADC yakanusha madai ya M23 kuwa ilihusika katika operesheni ya kijeshi nchini DRC

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika inasema vikosi vyake vya kulinda amani havijahusika katika operesheni ya makabiliano ya kijeshi kama inavyodaiwa na kundi la waasi la M23

drc 20aa

21 Aprili, 2025

Jeshi la wanamaji la India lazindua mazoezi ya pamoja na nchi 10 za Afrika

Mazoezi haya yanaratibiwa kwa pamoja na Jeshi la Wanamaji la India na lile la Tanzania na yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda.

navy 20india 20africa

21 Aprili, 2025

Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria

Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

nigeria 20maktaba 1

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli

Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.

luthuli

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi Ebrahim Rasool kufukuzwa

Mcebisi Hubert Jonas ni mwanaharakati mkongwe na mtumishi wa umma wa muda mrefu katika siasa na maendeleo ya Afrika Kusini.

sa 20new 20us 20ambo

21 Aprili, 2025

Hisia mchanganyiko baada ya Tanzania kuorodheshwa Kundi A hatari ya CAF U20

Wenyeji Misri, mabingwa mara tatu wa kundi A, watamenyana na Zambia, Sierra Leone, Afrika Kusini na Tanzania katika kundi gumu.

ngrongoro

21 Aprili, 2025

Wanariadha wa Ethiopia na Kenya washinda mataji katika mbio za Paris Marathon

Bedatu Hirpa wa Ethiopia ameshinda mbio za wanawake katika mbio za Paris Marathon, huku Mkenya Benard Biwott akiibuka kidedea katika mbio za wanaume.

1744542304476 a0k2ee 2025 04 13t085622z 1645452065 up1 d0otwg3 rtrmadp 3 athletics paris

21 Aprili, 2025

Kiongozi wa mapinduzi Gabon Nguema ashinda uchaguzi wa Rais

Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa urais Jumamosi kwa 90.35% ya kura zilizopigwa, kulingana na matokeo ya awali.

fab 1
Inapakia...