Mkutano wa London unataka ‘hatua madhubuti’ kutatua mgogoro wa Sudan

Mkutano wa Sudan uliofanyika London, Uingereza, kwa kushirikian na Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya umejikita kutatua athari za vita ambavyo vimesababisha mauaji ya maelfu huku mamilioni wakikosa makazi nchini Sudan.
21 Aprili, 2025
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimetaja marufuku ya uchaguzi kuwa ni kinyume cha katiba

Mwenyekiti wa tume huru ya taifa ya Uchaguzi, Jaji Jacobs Mwambegele amesema kuwa wao kama tume wametafsiri sheria hiyo wanavyojua wao, na iwapo CHADEMA wana tafsiri tofauti ni haki yao, ila waachie uamuzi wa mwisho mahakama.
21 Aprili, 2025
Kiongozi wa wanamgambo wa Sudan Hemedti atangaza kuanzishwa kwa serikali mbadala

Mohamed Hamdan Daglo anasema serikali pinzani “inaakisi sura halisi ya Sudan” katika hatua inayokuja wakati mawaziri wa mambo ya nje na viongozi wa masuala ya kibinadamu wakikusanyika kuadhimisha miaka miwili ya mzozo wa Sudan.
21 Aprili, 2025
Ufaransa yamrejesha nyumbani balozi wake wa Algeria huku wasiwasi ukiongezeka

Haya yanatokea siku kadhaa baada ya Algeria kuwapa maafisa 12 wa Ufaransa saa 48 kuondoka nchini humo.
21 Aprili, 2025

Matumizi ya vitambulisho zaidi ya 600,000 kusitishwa Tanzania

Shirika la wakimbizi la UN laonya kuhusu ‘mzozo juu mzozo’ Congo mafuriko yakiwa kero kwa maelfu

Upinzani Sudan Kusini waitisha uchunguzi wa kimataifa wa madai ya dhulma ya serikali

Kongamano la kimataifa laandaa misaada kwa Sudan baada ya miaka 2 ya vita, lakini amani haipatikani

Kenya: Watu 4 wakamatwa wakijaribu kutorosha siafu kupitia uwanja wa ndege
21 Aprili, 2025
Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi wake kufukuzwa
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

21 Aprili, 2025
Mkuu wa UN asema mauaji ya mamia ya watu Sudan ishara ya kutowajibika kwa jumuiya ya kimataifa
Volker Turk mkuu wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa anasema mashambulio katika kambi, na miji Kaskazini mwa Darfur yanazidisha matatizo, na hatari ya kusababisha machafuko kwa misingi ya kikabila

21 Aprili, 2025
SADC yakanusha madai ya M23 kuwa ilihusika katika operesheni ya kijeshi nchini DRC
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika inasema vikosi vyake vya kulinda amani havijahusika katika operesheni ya makabiliano ya kijeshi kama inavyodaiwa na kundi la waasi la M23

21 Aprili, 2025
Jeshi la wanamaji la India lazindua mazoezi ya pamoja na nchi 10 za Afrika
Mazoezi haya yanaratibiwa kwa pamoja na Jeshi la Wanamaji la India na lile la Tanzania na yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda.

21 Aprili, 2025
Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria
Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli
Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi Ebrahim Rasool kufukuzwa
Mcebisi Hubert Jonas ni mwanaharakati mkongwe na mtumishi wa umma wa muda mrefu katika siasa na maendeleo ya Afrika Kusini.

21 Aprili, 2025
Hisia mchanganyiko baada ya Tanzania kuorodheshwa Kundi A hatari ya CAF U20
Wenyeji Misri, mabingwa mara tatu wa kundi A, watamenyana na Zambia, Sierra Leone, Afrika Kusini na Tanzania katika kundi gumu.

21 Aprili, 2025
Wanariadha wa Ethiopia na Kenya washinda mataji katika mbio za Paris Marathon
Bedatu Hirpa wa Ethiopia ameshinda mbio za wanawake katika mbio za Paris Marathon, huku Mkenya Benard Biwott akiibuka kidedea katika mbio za wanaume.

21 Aprili, 2025
Kiongozi wa mapinduzi Gabon Nguema ashinda uchaguzi wa Rais
Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa urais Jumamosi kwa 90.35% ya kura zilizopigwa, kulingana na matokeo ya awali.




